STORY: Binti wa Rais - Full

endrizzy

Senior Member
Oct 19, 2015
186
137
MTUNZI: ERICK NZIKU
SEHEMU YA KWANZA
BINTI WA RAISI


Naitwa James david Massawe ni mzaliwa wa Same, Kilimanjaro, naishi na wazazi wangu wote wawili na nna wadogo wawili john na jenny. Maisha katika familia yangu ni magumu sana ndo maana inanibidi nifanye kazi huku nasoma katika chuo cha ualimu Moshi, na kuuza mboga mgoga katika Soko kuu la same na stori inaanzia hapa.

Baada ya kumaliza form four nilipata nafasi ya kujiunga na jeshi so nkaingia jeshini na kuajiriwa baada ya mwaka mmoja, nilifanya kazi jeshini kwa mwaka mmoja na kupata ofa ya kwenda kusomea masuala ya mawasiliano india kwa mwaka, nilikuwa nasomea cyber crime and security.

Baada ya kumaliza mafunzo yangu India nikarud Tausi lakini nkafukuzwa jeshi baada ya mwezi tu kwa kukutwa na hatia ya kuhack siri za jeshi.

Baada ya kuona maisha magumu nkaamua kujiunga na chuo cha ualimu ndo mpaka sasa nasoma hapo.

************************************************************************
siku moja nilikuwa natoka kwenye biashara yangu mida ya usiku nilikuwa nimechoka sana ukizingatia ilikuwa jumamosi so sikwenda shule nilikuwa sokoni toka asubui, wakati nikiwa natembea ghafla nashaa gari limesimama mbele yangu na watu wenye suti nyeusi wakiwa wamenyoa vipara wakashuka na kunichukua kinguvu na kunipeleka nisipokujua,,,
Kufumbua macho nilikuwa katika bonge moja la jumba mbele yangu akiwa amesimama Mkuu wa jeshi la Polisi Tausi Juma Said, kwa kweli nilipigwa na butwaa pasi kujua nini kinaendelea.

Mwema: kijana umeletwa hapa kwa dhumuni moja tu, tumekuwa tukikufuatilia toka mda mrefu tunajua kuwa ni wewe ndiye uliye hack system yetu mara mbili so tunakupa nafasi ya kujiunga na sisi ili siri zetu zisivuje kama hutaki hatuna jinsi bali ni kukuua tu,

Mimi; Naogopa sana kifo katika misha yangu so sikuwa chaguo lingine zaidi ya kusema ndio.

Mwema: mission yako ya kwanza itakuwa kwenda Usa utafute mahali mtoto wa Raisi alipo umlete Tausi akiwa Salama bin Salmin maana hali ni mbaya sana tumepata onyo kwamba kuna watu wa vyama vya upinzani wakishirikiana na Marekani wanataka kumuua. tumekuandalia usafiri na passport yako iko tayari nenda nyumbani kesho njoo mapema kwaa jili ya Safari yako. Na kumbuka usimwambie mtu yoyote hata familia yako kuhusu mission hii kama unaipenda familia yako. Kumbuka hii ni mission kubwa mabayo kila askari anaitaka lakini nimekuchagua na kukuamini wewe.

ME: Ndio, sitomuambia mtu.

Wakanirudisha hadi nyumbani niwakuta familia yangu wote wakiwa katika mlo wa usiku bila kusita na mimi nikajongea moyoni nilikuwa na uzuni sana sababu ilikuwa siku ya mwisho mimi na familia yangu tunakaa pamoja...nikaenda zangu kulala kichwani nikifikiria safari ya kesho...

Yap..safari imewiva nipo kwa mkuu akinipa maelekezo mengine Mwema: jina anaitwa Aisha jakaya mrisho MAHMOOD anakaa west Corolado asije akajua wewe ni askari sababu apendi kuchungwa na hapendi watu wajue ye ni mtoto wa Raisi , una uhakika utaweza kazi?Me: nina uhakika ntaweza mkuu
*****************************************************************************
Nilifika Usa kesho yake na kuanza kazi yangu ya kumsaka mtoto wa Raisi, Kitu ambacho Mkuu wa jeshi la Tausi alikuwa afahamu kuwa mimi nilikuwa ni mfuasi wa chama cha upinzani DP (DEMOCRATIC PARTY) na nilipopata
nafasi ile moja kwa moja niliwataarifu viongozi wangu nao wakaniambia niende kwa dhumuni moja tu la kumuua mtoto wa raisi....

Ilikuwa kazi ngumu sana kwangu sababu nilitakiwa nimlete Tausi at the same time nimuue, katika tembea tembea zangu akatokea jamaa mbele yangu na kunipora begi wakati nataka nimkimbize akatokea msichana mmoja alimpiga yule jamaa kwa pigo ambalo sijawai kuliona duniani nilishangaa sana...


msichana: begi laki hili hapa,
Mimi: ahsante jina lake nani mrembo?
Msichana: Aisha...wewe je?
Mimi: James......Mara simu yangu ikaita kuangalia ni mkuu akitaka kujua kama nimefika nikwambia nimefika na kuniambia ananitumia picha sasa hivi nisubilie kidogo tu.......
Aisha: ah kumbe unaongea kiswahili unatokea Tausi nini?
Mimi: ndio mzaliwa wa moshi na nimekulia huku huko

Simu yangu tena ikalia kuangalia ni meseji ya picha kuangalia ile picha sikuamini macho yangu sababu msichana aliyesimama mbele yangu ndiye alikuwa mtoto wa Raisi.......................

SEHEMU YA PILI
BINTI WA RAISI

Tausi hali sio nzuri homa ya uchaguzi imetawala, kampeni zilikuwa zikiendelea maeneo mbali mbali. raisi aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho alikuwa akigombea tena kwa miaka mingine mitano.kila mTausi alikuwa na hamu ya kufahamu kitakachotokea lakini huku nyuma ya pazia kulikuwa na mchezo mchafu unafanyika,chama cha CP walikuwa wanafikiria ni jinsi gani ya kuiba kura ili waweze kurudi tena madarakani huku DP (DEMOCRATIC PARTY) wakiwaza jinsi ya kuanzisha vita katika hardhi ya Tausi.Kuangalia picha James alipagawa baada ya kuona mtu aliyetumwa aje kumlinda na kumrudisha Tausi na upande mwingine kumuua ndie aliye msaidia na alikuwa amesimama mbele yake, Baada ya kutambulishana James alimuaga Aisha na kwa kuwa James Alikuwa mgeni alimuomba Aisha kesho Amuonyeshe jiji Aisha bila kinyongo akamkubalia.

Wakaagana lakini James hakuondoka bali ali, Bakuwa anamfuatilia nyuma nyuma ili apajue anapoishi , Baada ya mwendo kidogo James alimuona Aisha akiingia kwenye nyumba yake anayoishi . alikaa hadi asubui akimlinda mtoto wa Raisi**Asubui kulivyoucha JAmes alishtushwa na mlio wa simu, alikuwa ni mwakilishi wa chama cha DP (DEMOCRATIC PARTY) kwa upande wa marekani akimwambia aende kuchukua vitu ambavyo atatumia kumuua mtoto wa Raisi bila kusita James alienda huko akapewa Bastola moja yenye silencer pia simu yenye secure line ili wawasiliane....ilikuwa kama saa sita mchana kule America naam ulikuwa ni muda wa ahadi ya James na Aisha, James alikuwa ameshafika mapema akawa akimsubili mtoto wa Raisi alikaa sana pasi na dalili ya kumuona mtoto wa raisi , alikuwa amechoka kusubili kwa hiyo akaona bora aondoke zake akiwa katika harakati za kuondoa anakutana uso kwa uso na Aisha akiwa amependeza akitabasamu kwa mbali moyo wa James ghafla ulirudi kwenye hali ya kawaida huzuni ilipotea na akaanza kutoa tabasamu lake la kuwa kamatia wasichana.

Aisha: Samahani nimechelewa...

James: usijali...

Aisha: sawa, tuendelee Na mambo mengine

James kichwani akiwa na mawazo ya jinsi ya kumuua mtoto wa raisi hana wasi wasi anatabasamu tu.Aisha alianza kazi ya kumutembeza Colorado na walizunguka sana, Aisha akamwambia James amsindikize kwake jamaa akaona hii ndo time ya kummaliza Aisha.Kumbuka james aliambiwa asipomuua Aisha wazazi wake na familia yake nzima itauliwa..wakiwa wamechoka wakawa wanaelekea nyumbani kwa AISHA njiani waliongea mengi sana wakipeana vichekesho vya hapa na pale.walipofika aisha alifungua mlango na wakaingia ndani walipoingia tu James akaomba kwenda chooni kufika chooni akaandaa Bastola yake tayari kwa kumaliza kazi ,akarudi akawa amekaa karibu na Aisha , Aisha alikuwa tayari ameshaanza kuvutiwa na james akiwa maelegeza macho na kushika kifuani james akamwambia james nakupenda..ilikuwa ni kama katoka usingizini james alishtuka na kusema nini?Unanipenda? Kumbuka James katumwa amuue.

SEHEMU YA TATU
BINTI WA RAISI

Ilikuwa ni ndoto kwake hakuamini kama angeweza kupendwa na mtoto wa raisi alishtushwa na mwanga mwekundu kwenye paji la uso wa Aisha, bila kushangaa alimsukuma Aisha na kwenda nae chini, Aisha alishtushwa na mlio wa bunduki iliyomkosa kwa haraka James alianza kufuatilia kule risasi ilipotokea lakini hakuona mtu alibaki anashangaa asijue ni nani mwingine anayetaka kumuua mtoto wa raisi?

huku kwa mwakilishi wa chama cha DP (DEMOCRATIC PARTY) alipata order kutoka Tausi kuwa amuue yule Mtoto wa raisi lakini kesi yote apewe James.kwa iyo akamuajiri mtu aende akafanye kazi.

Aisha alishikwa na kiwewe pasi kujua ni nani anayetaka kumuua anajua kuwa baba yake ana maadui wengi lakini si kufikia hatua ya kumuua. Aisha aka msichana wa kazi alikuwa na nyumba yake nyingine iliyokuwa karibu na bahari hivo akamwambia James waondoke wote kwani hali ishakuwa mbaya. Wakaondoka kwa kasi ya ajabu na gari ya aisha aina ya Hammer, walipofika wakaingia ndani haraka ili waweze kutafakari nini kimetokea kabla hawajaendelea Aisha anamwambia waende chini kwani nyumba yake ilijengwa na kuwekwa sehemu ya chini kwaajili ya kuhifadhi vitu vyake, walipofika chini huko James alipigwa na butwaa kukuta mtoto Aisha anamiliki silaha za aina mbali mbali

kabla hata hawajatoka chini wanashtushwa na mshindo mkubwa wa bomu Naam nyumba ya aisha ilikuwa ikiteketea kwa moto baada ya kupigwa bomu. Bahati yao walikuwa chini ya Ardhi la sivyo wangekwenda na maji, wanatumia escape rout kutoka kwenye ile nyumba na ile rout ilikuwa inaishia bahari wanafika baharini wakakutana na boti ya aisha wakapanda kuelekea Los Angels ili tuingie katika nchi nyingine ya mexico kwani hali ishakuwa mbaya.

kufika border tu tukashangaa kuona Askari wengi wamejaa wakifanya ukaguzi wa nguvu kwa anayeingia na kutoka tukajua tu kuwa wanatusubilia sisi watukamate, tukakaa pale kusubili usiku hali iwe sawa alafu tukavuke..Hapo hapo ikabidi Aisha awasiliane na baba yake (Raisi wa Tausi ) aweze kumsaidia Baba yake akamuaidi tuingie Mexico atatuma ndege ije kutuchukua.Nkawasiliana na mkuu wa polisi nae akanipa jibu lile lile..kumaliza kuongea tu nkapigiwa simu na viongozi wa DP (DEMOCRATIC PARTY) kutoka Tausi wakitaka kujua nimefikia wapi , lakini kabla sijajibu nkashtushwa na sauti ya mdogo Jane wangu ikiita kaka nsaidie wanataka kuniua. Dah ilikuwa ni kama kuniongezea mzigo mwingine wakati niliokuwa nao ni mzito siiuwezi, Kiongozi wa DP (democratic party) akaendela akisema " umeskia hiyo sauti?

nadhani umeitambua sasa ukitaka kumuona mdogo wako fanya ulichotumwa na urudi Tausi la sivyo utakuta maiti pia hatutaishia kwa mdogo wako tutamaliza familia nzima.

Turudi nyuma kidogo.

Kabla sijaamua kusoma ualimu nilikuwa mwanajeshi kwani baada ya kumaliza form four na kupata division four sikuwa na zaidi ya kuingia Jeshini, Nilikuwa jeshi la anga, pia nilipata bahati ya kusoma kwa mwaka mmoja course ya mawasiliano(IT) tulipelekwa na jeshi nchini India.

Machozi yalikuwa yananilenga lenga lakini nikajikaza ili Aisha asijue kinachoendelea, nguvu za kumuua Aisha nilikuwa sina tena nilikuwa nimejazwa nguvu za kutaka kumsaidia mpaka afike Tausi lakini mdogo nampenda sana kuliko maisha yangu nikabaki sina choice zaidi ya kusubili na kuona kitakachotokea mbele.

tulikaa sana lile eneo pale kwani tulikuwa tumefika mapema sana, ilipofika saa moja jioni tukaanza michakato ya kuvuka ilie border kuelekea MEXICO...

SEHEMU YA NNE
BINTI WA RAISI

Kabla hatujaanza michakato ya kuvuka boda nikamuomba udhuru kidogo Aisha nikapige simu, nikasogea pembeni nikapiga simu kwa mkuu wa jeshi la polisi Tausi nikimueleza hali halisi kuwa mdogo wangu ametekwa na viongozi wa chama cha DP (DEMOCRATIC PARTY) lakini sikumuambia kwa sababu gani, alikubali kutuma timu ya kwenda kumuokoa kidogo roho yangu ikafarijika...

nikarudi nikamkuta Aisha akiwa amejikalia chini huku akipigwa na baridi nilimuonea maisha yalivomgeukia lakini sikuwa na jingine zaidi ya kuhakikisha msichana anayenipenda anarudi kwa wazazi wake.Tukaanza safari kufika mpakani cha kushangaza hakukuwa na mtu hali ile ilintisha kidogo lakini bila kufikiria tulivuka haraka na kuingia mexico katika mji wa mexicali nilijua sehemu kwa sababu nilikuwa nna active GPS kufika tu nkapiga simu wa watu waliotumwa waje kutuchukua na helicopter haraka tuliiiona helicopter kwa mbali imepaki tulikimbia na kufika lakini moyo ulisita kupanda, kulikuwa na gari dogo pembeni mi nikawaambia chukueni hii mizigo yetu alafu si tutakuja na hili gari ddogo hapa wakakubali tukawapa kila kitu hadi bastola zetu ili tusipate usumbufu njiani hata hatujafika mbali tukasikia mlipuko mkubwa dah ilikuwa ni ile helicopter iliyokuja kutuchukua ikiteketea kwa moto..

****
Maswali mengi yalikuwa yananizunguka kichwani pasi kupata jibu , kwanza nilijiuliza kwanini inakuwa rahisi kwa wao kutupata kokote tuendapo pia kwanini wanataka kuniua mimi ambaye wamenituma kwenye mission.Nikashtuka na kuanza kujisachi kwenye nguo dah nilishangaa kukutana na tracker ikiwa active niliitupa haraka nnje na kuongeza speed ya gari , nikiwa katika mwendo mkubwa nilisimamishwa na askari wa barabarani , aliniuliza maswali mengi sikuwa na driving license wala nini ikabidi twende nae askari kituoni , akatuacha ndani baada ya kuchukua maelezo yetu ndani ya chumba cha polisi , bila woga nikasogea kwenye computer yake

Aisha: we unafanya nini hapa?

JAmes: kuna kitu naangalia, nilishtushwa na picha zetu kuwepo kwenye computer yake kuchungulia nje namuona anaongea na mtu kwenye simu. nilijua tu anawasiliana na polisi wa marekani waje kutuchukua,

James: Aisha hapa tena sio mahali salama tutumie kila njia tuweze kutoroka

Aisha: sawa nakusikiliza wewe.

nililalamika kwa kumuita yule askari alivokuja tu hata sijauliza nilimpora bastola yake na kupiga kwa kitako chake kwenye uongo wa nyuma ili azimie. tukatoka kama sio sisi vile taratibu kufika nje tunakutana na askari wa marekani wamejaa ...

SEHEMU YA TANO
BINTI WA RAISI

Tunatoka nje tunakutana na pilisi wa marekani wamejaa wakitusubili tutokee, nguvu zote ziliniishia na nilikuwa tayari kufa lakini sio kujisalimisha.

Ghafla nkshangaa umeme umekatika sehemu yote ile nikaona mtu kwa mbali anakuja karibu yetu na kutuambia Lets go, hurry hurry bila kusita tuliongozana na Yule jamaa sikuweza kuiona sura yake kwana alikuwa amevaa kitambaa usoni na kuacha macho tu wazi,tuliingia kwenye gari haraka na kuondoka kwa kasi eneo lile .Mbele kidogo Yule jamaa alifungua kile kitambaa dah sikuamini macho yangu alikuwa ni Erick rafiki yangu wa utotoni ambaye nilikuwa nasoma nae secondary moja kule moshi lakini yeye baada ya kumaliza form six alipata udhamini na kwenda kusoma America sasa sijui huku Mexico anafanya nini, huyu ndo tulikuwa tunajifunza wote hacking lakini naona mwenzangu ameendelea sana hadi kuzima umeme wa kijiji…nilifurai sana hadi Aisha alipigwa na butwaa kwani hakuwai kuniona nikifurai kiasi kile.nikamuuliza Erick

James: umefikaje hapa na umewezaje kutupata?

Erick: ni story ndefu lakini ninafanya kazi na polisi wa Tausi na nilipoona jina lako kati ya ma agent wanaotumwa America nilikuwa nakufuatilia tokea kipindi iko, najua kuhusu familia yako na huja haja ya kuwaza sana kwani polisi wa Tausi walifanikiwa kumuokoa mdogo wako na sasa wako kwenye safe house da re s salaam.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

Baada ya kutofanikiwa kuwakamata wakiwa wazima na kushindwa kuwaua Aisha na James viongozi wa DP wakishirikiana na jeshi la marekani wakaamua kuwatangaza James na Aisha kama magaidi wanaosakwa na marekani kwa udi na uvumba na yeyote atakaye fanikisha kutoa maelezo yatakayosaidia kukamatwa kwao atapata donge nono la 200,000 USD.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

Kwa Tausi hakuna aliyejua kama Aisha ni mtoto wa raisi lakini ni mkuu wa jeshi la polisi na mimi tu ndo tuliokuwa tunajua siri hiyo nzito na tulikuwa tayari kufa kumlinda mtoto wa raisi, Taarifa zilifika Tausi Raisi alichanganyikiwa kusikia mtoto wake alitajwa kama gaidi wa kutisha kwa wazazi wangu haikuwa shida kwani walinyimwa kuangalia Tv wala kusikiliza radio …

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

Erick alitupeleka hadi kwenye nyumba yake kasha akapiga simu Tausi, Raisi akahaidi asubui na mapema atatuma ndege ije ituchukue na kwa kuwa waziri wa mambo ya nnje alikuwa nchini Marekani basi yeye ndo alipewa jukumu la kutusafirisha hadi Tausi. Tulipiga story nyingi sana na Erick ilikuwa siku ya furaha sana kwangu pamoja na kupitia machungu yote yale nilistahili kufurai. tulienda kulala na ilipofika asubui na mapema tuliamka tukisubilia gari ije kutuchukua,

Gari ilipofika Erick alituaga na kuanza safari ya kwenda kupanda ndege airport. lakini nilishangazwa na sehemu tuliyokuwa tunaelekea kwani haikuwa ni airport bali ni porini, mara gari ikasimama tukalazimshwa kushuka. sikuamini macho yangu alikuwa ni waziri wa mambo ya nje Mh Bernad Mjuni amesimama mbele yetu na kutoa amri kwamba tufungwe kamba na tupeleke kwa polisi wa marekani tukajibu mashtaka.

SEHEMU YA SITA
BINTI WA RAISI

Tausi uchaguzi ulikuwa unaelekea ukingoni huku chama cha mapinduzi kikiongoza katika harakati ya kuingia ikulu, Japo Mh MAHMOOD alikuwa ana kila dalili ya kurudi ikulu lakini hakuwa mtu mwenye furaha hata kidogo huzuni ilimjaa akikujua kuwa mwanae hayuko salama na kila time anayopoteza mwanae anazidi kuangamia aliapa akiwa rahisi ataenda mwenyewe kumsaka mwanae popote pale alipo…

Erick akumuacha james hivi hivi alimuwekea tracking device so alishangaa kuona route imebadilika na wanaelekea mahali pasipojulikana aliamua kuwafuatilia ili ajue wanaelekea wapi alipigwa na butwaa kuona waziri wa mambo ya nnje akitoa amri James na Aisha wafungwe na wapelekwe kwa jeshi la marekani. Erick hakujua kuwa Aisha ni mtoto wa raisi lakini hakuwa radhi kuniona mimi rafiki yake nikifa mbele yake.

Tulipakiwa ndani ya gari tena Na kuanza safari ya kuelekea Kwa jehi la marekani nilishangazwa Na kitu ndani ya shati langu kuchungulia nikaona kitu Kama kinawaka taa nyekundu daah nikajisemea moyoni huku nikionyesha tabasamu “Erick is crazy”. Aisha alipigwa Na butwaa kuona natabasamu huku tukikabiliwa Na hatari kubwa mbele ya USO wetu nikamkonyeza Aisha nikimpa ishara ya Itakuwa sawa usijali sana.

Ghafla gari ilikuwa inatu sindikiza kwa nyuma ililipuliwa na risasi zilianza kusikika, nikamkonyeza Aisha kwa pamoja nilimpiga mlinzi aliyekukwa karibu name na Aisha nae alifanya ivo ivo na kuchukua na bastola yake na kumwambia dereva “pull over or else il kill you” akasimamisha gari na Erick alikuja na gari yake na kuondoka zetu.

Siku ya uchaguzi ilikuwa imewadia hakukuwa na mambo ya kutisha kama ilivotabiriwa, hali ilikuwa shwari sana maeneo karibia yote, Jioni ilipofika maeneo mengi yalikuwa yalikuwa yakitoa matokeo kwa kweli DP (DEMOCRATIC PARTY) alikuwa anaongoZA sehemu mbali mbali walichukua majimbo mbalimbali lakini CP bado alikuwa anaongoza kwa kuchukua majimbo.

Siku zilipita bila kujua raisi WA Tausi ni nani, huku maeneo yote ya Tausi yakiwa yameshatangaza wabunge wake. Siku ya tatu CP ilitangazwa mshindi Na mh MAHMOOD akawa raisi tena wengi walitabiri ivo lakini hakuna aliyejua nyuma ya pazia nini kilikuwa kikiendelea.

Siku ya pili ya uchaguzi CP waliona kuwa DP wanaongoza kwa hiyo walichoamua ni kuingiza kura zao za bandia na kuzichanganya zihesabiwe hivi ndipo raisi MAHMOOD aliporushwa tena madarakani

Wengi walihusika katika wizi huo na walihadiwa sehemu mbali mbali katika serikali kuu pia na uingereza na mrekaniwalihusika kwa asilimia mia moja katika wizi huu, unaweza kujiuliza kwanini marekani walihusika wakati wao ndio wanaohusika na kumsaka mototo wa raisi wakishilikiana na DP (DEMOCRATIC PARTY). Marekani walikuwa wakimuhitaji Aisha kwa aajili yaku negotiate na raisi kupata mradi wa uranium na DP (DEMOCRATIC PARTY) walikuwa wanataka kumdhoofisha MAHMOOD ili asishinde so wote walikuwa na one enemy wakiwa na malengo tofauti, Baada ya kuona kumkamata Aisha inashindikana kwa hiyo wakaamua kuisaidia CP ili waweze kushinda lakini kwa kutaka mradi wa uranium…

Walifika tena Erick, akawaacha wenyewe ye akaondoka zake. Zilipita siku nyingi toka Aisha na James waongee so ulikuwa mda mzuri wao kuongea.

Aisha: James Asante kwa yote

James: Asante Na wewe pia.

Aisha: Erick nimefikiria Sana tena Sana now I know what I said back then sikusema kimakosa I really love you James

James: My mission is to protect you and not fall in love with you.

Aisha: I don’t care what you have to do I love you.

Aisha aliinuka Na kunisogelea kasha akaja mdomoni mwangu na kuanza kuninyonya mate mi uzalendo ukanishinda nikaanza kujibu mapigo mwisho tukajikuta tuvunja amri ya sita…


SEHEMU YA SABA
BINTI WA RAISI

Mh Raisi Jakaya MAHMOOD anarudi tena madarakani huku akiwa Na mzigo wa ahadi kibao kutokana na watu waliomsaidia kurudi ikulu. Marekani ndo anakuwa mtu WA kwanza kukumbushia ahadi yao ya mradi wa uranium na mwingereza akitaka mradi wa gesi Mtwara.

MAHMOOD anagoma katu katu kuachia miradi hiyo mikubwa ya nchi ya Tausi, Marekani anashikwa na Hasira na kutaka kuanzisha vita baina ya Tausi na Marekani so kwa kubwa wanawatuma ma FBI kumi waje kuchunguza Tausi kuanzia mipaka hali ya usalama na hali ya jeshi la Tausi. Pia marekani inaongeza nguvu katika kumsaka mtoto wa raisi ili iwe raisi kwao kumshinikiza Raisi MAHMOOD aweze kuwaachia Miradi hiyo mikubwa ambayo nchi zote kubwa zinaitolea macho. Fbi wanatangaza hali ya hatari na kuanza kazi ya kumsaka Aisha popote halipo akiwa hai na mwingereza nae anajiunga katika harakati za kumsaka Aisha.

Wengi wanajiuliza marekani ni nchi kubwa duniani na wanaweza kuipiga Tausi muda wowote wanaotaka sasa kwanini waliamua kutumia mtu kuweza kufanikisha azma yao na sio kuipiga Tausi, jibu ni kwamba Raisi MAHMOOD alikuwa tayari ameshaendelea katika technologia ya nyuklia na tayari Tausi ilikuwa inamilikwa vyungu kumi vya nyuklia kwa siri kubwa na hakuna alikuwa akijua hili jambo zaidi ya wakubwa wa polisi wapelelezi (Mashushushu).

Raisi aliitisha marekani kama wakijaribu kuja kuipiga Tausi ataiangamiza marekani nzima kwa nyuklia kwa hiyo marekani hakuamua kufanya haraka na kuamua kutuma watu wake waje kuchunguza hiyo nyuklia na wengine kumsaka Aisha mtoto wa raisi

Aisha alikuwa chini yangu kitandania akilalamika unaniumiza unaniumiza haikuwa raisi kwake kwani ndo mara yake ya kwanza kukutana kimwili na mwanaume, nilipogundua kama Aisha Bikra nikaamua kwenda Taratibu hili sote tufurai na sio iwe mateso kwa mwenzangu. Haikuwa mechi ndefu kwa sababu mwenzangu alikuwa mwanafunzi kwa hiyo nilimuacha apumzike baada ya kazi nzito aliyoifanya, kwa kweri Aisha alikuwa amechoka na ukichanganya na maumizu dah alikuwa kama gunia maana alivojilaza kwenye kitanda alisahau hata kuoga, na mimi pia ikabidi niende kulala kwani nilichoka sana ukizingatia mambo tuliyokutana nayo mchana hakuna ambaye asingetaka kupata usingizi angalau hata kwa siku moja.

Tukiwa tumelala nikajisikia kama nahitaji hewa, ikanibidi nitoke nnje nipate hewa kidogo nilikaa nnje kama nusu saa hivi na kuona usingizi unakuja kuja so nikaamua kwenda tena ndani kulala, lakini ile naingia ndani tu nashangaa kuona kitanda kitupu na hakuna hata alama ya Aisha, nilizunguka huku na kule kumsaka lakini sikuweza kumuona sikuchoka kumtafuta pia sikufanikiwa , ikabidi nimpigie simu Erick nijue kama amemuona lakini anasema hajamuona na kusema anakuja haraka kujua kinachoendelea, Baada kama ya dakika kumi Erick anaingia na kuniuliza kwani imekuaje na mimi kwa haraka naanza kumsimulia.

Erick: usijali tutampata tu, alafu humu ndani kuna security camera lets check labda tutapata any lead

James: yeah let’s do it.

Wanaingia server room na kuangalia ile footage ya ile room Erick alicheka sana alipokutana na picha ya James akifanya mapenzi na Aisha mwishowe wanakutana na kipande cha video kikionyesha Aisha akiangaika lakini hatuoni anahangaika kwa sababu gani mwishoni tutaona akiwa amebebwa na video inakata kuashiria somebody tempered with the camera. Kazi inaanza upya ya kumsaka mpenzi wangu na pia mtoto wa Raisi na kazi hiyo ikifanywa na marafiki wa muda mrefu mimi na Eric

SEHEMU YA NANE
BINTI WA RAISI

Tulifanikiwa kupata sura ya Yule jamaa aliyemchukua Aisha japo haikuwa nzuri sana lakini kutumia software ambazo Erick amezibuni tuliweza kuifanya ile picha ionekene vizuri kabisa kasha tukaingia kwenye data base ya FBI tuone ka tutapata kitu kuhusu Yule mtu tulifanikiwa kupata data zake lakini baada ya muda tukashangaa kuona all his data were erased sikushtuka sana maana nilijua tu walikuwa wanataka kumtengenezea identity mpya…

Jamaa aliyemchukua Aisha alikuwa ni mwanajeshi wa marekani ivyo moja kwa moja tukajua kuwa marekani ndio waliomchukua Aisha, kama ilivyokuwa ahadi nikiwa salama nitawasiliana na mkuu wa jeshi la Tausi lakini usalama haukuwapo tena ikabidi niwasiliane na mkuu na kumjulisha yote yaliyotokea mkuu akaniambia aniongezee watu lakini mimi nikakataa nikijua kuwa kuongeza watu kutahatarisha maisha ya Aisha.

Kazi ilikuwa ngumu kumsaka Yule jamaa lakini kwa kuwa picha yake tulikuwa nayo haikuwa ngumu, tulimsaka sehemu mbali mbali lakini mwishowe tukakutana na familia yake na baada ya kuongea na mkewe akatuambia kuwa mumewe alishakufa miaka miwili iliyopita katika vita ya Iraq. Kwa kuangalia macho ya Yule dada nilijua kabisa alikuwa anatudanganya hivyo ikabidi tuage lakini tulipofika nje nkamwambia Erick kuwa Yule dada alikuwa anatuficha kitu Erick anashauri tukae nje tusubili tuone kama kuna kitu kitatokea, kwa mbali tunamuona Yule dada anapiga simu kama kawaida yangu nilikuwa tayari nimeacha listening device kwa hiyo tukasikia yote aliyokuwa akiongea akimwambia mumewe wale watu wamekuja kukutafuta mumewe akamwambia awachukue wanae na waende kwa mama yake wakaishi huko kwa muda bila kupoteza muda naitrace ile simu na kufanikiwa kupata location ya Yule jamaa pia tunacheki picha za satellite na kumuona alipo haraka sana tunaanza safari ya kumfata Yule jamaa.

Tunafika eneo alilo Yule jamaa na kuanza kumsaka lakini wakati tunaingia tunapishana na gari SSSSSSinatoka moyo unanidunda sana lakini hamu yangu ilikuwa Yule jamaa atuonyeshe Aisha yuko wapi, tukaingia ndani na kukuta Yule jamaa akiwa peke yake akutupa tabu sana maana mimi na Erick hakuna aliyekuwa anaweza kusimama na sisi haraka tukaanza kumuuliza maswali

Me: where is the girl?

Jamaa: what girl?

Mateso yanaendelea

Me: where is the girl?

Jamaa: I don’t know

Mateso yanazidi Erick alikuwa ameshinda kisu akimtoboa macho

Jamaa: ok ok ok iwill tell you

You av just missed her coz she was here and they came to take her earlier.

Dahh moyo uliniuma na kujilaumu laity ningejua lile gari lilikuwa limembebe Aisha kingenuka. Tunaachana na Yule jamaa na kuanza kumsaka Aisha upya nachukua computer na tuna hack FBI system na kuzijua safe house zote pia tunacheki camera za safe house zote na kufanikiwa kuona Safe house ya MIAMI gari tulilopishana nalo lilikuwa limewasili kama masaa mawili yaliyopita, Safari ya kwenda Miami inaanza kwenye ile safe house kwanza tunapitia nyumbani kwa Erick na kuchukua bastola na risasi za kutosha na kwa kuwa Erick alikuwa mtalaam sana wa kushuti kwa mbali alibeba rifle kwa kazi hiyo tu . kila mtu kwenye gari alikuwa na hasira sana Erick akijua anaenda kumuokoa mpenzi wangu mimi nikijua naenda kumuokoa mtoto wa raisi kwa kuwa Erick alikuwa amenisaidia sana na alikuwa mtu wangu wa karibu sana ikabidi nimwambie ukweli wote kuwa Aisha ni mtoto wa raisi jakaya na mimi nilipewa jukumu la kumrudisha Tausi akiwa salama Erick anashangaa sana lakini kwa kuwa nay eye ni usalama alinielewa mapema na kusema James your job is mine coz sisi ni ndugu.

SEHEMU YA TISA
BINTI WA RAISI

Tulifika MIAMI tukiwa tuna hari ya kutaka kumuokoa mtoto wa raisi, tulijjua kabisa kuwa lile eneo lilikuwa likilindwa kwa usalama wa hali ya juu lakini hatukujali kichwani mwangu alikuwa ametawala Aisha nikifikiria kama hakifa ntaishi bila yeye mwanamke ninayempenda pia nilikuwa nalinda kazi yangu.

Marekani pamoja Na uingereza pamoja walikuwa tayari washapanga mipango ya kumtumia Aisha katika plani zao pia walituma ujumbe Kwa Raisi Kama anataka Tausi ijue Kama Aisha ni mtoto wake akatae hilo dili pia kama akikataa Aisha atauliwa mbele ya waTausi wote wakishuhudia.

Raisi MAHMOOD alikuwa hajui afanye nini akaamua kuwasiliana na mkuu wa majeshi ampe ushauri lakini mkuu wa majeshi aliweka maslai ya nchi mbele na kumwambia kamwe asithubuku kuwapa marekani, Generali anazidi kumchanganya Raisi na atamuachia mungu amsaidie mwanae kwani mikono yake imefika mwisho awezi kumsaidia kwa hilo.

Nikiwa katika harakati za kujua ni jinsi gani twaweza ingia katika safe house aliyoko Aisha simu yangu inaita alikuwa ni mkuu wa polisi Juma Said akinipigia simu alinipa maelekezo kuwa tufanye kila tuwezalo tumuoke Aisha mikononi mwa marekani kwani Raisi awezi kumsaidia kwa mimi sikuweza kumlaumu Raisi kwani pamoja na kuwa baba wa Aisha MAHMOOD ni baba ya waTausi wote kwa hiyo awezi fanya maamuzi yatakayoumiza waTausi mwishi Mkuu akaniambia niongee na mtu, Nilishtushwa na sauti y upole iliyojaa huzuni ikiniambia naomba ufanye kila unaloweza umuokoe mwanangu kijana na nakuahidi makubwa ukifanikiwa hilo naam alikuwa ni Raisi akiongea na mimi nilijibu kwa unyenyekevu sawa mkubwa.

Tulianza mishe za kuingia katika ile safe house lakini cha kwanza tulichofanya ni kucheza na zile camera hadi tukafanikiwa kuziongoza sie zile camera pia tulifanikiwa kupata full control ya ile nyumba remotely, Erick akabaki nnje akinielekeza alipo Aisha mimi nikienda ndani kumuokoa mpenzi wangu. kwa kweli mzungu wa ajabu ile nyumba ilikuwa ikilindwa kutumia system tu hakuna mlinzi aliyehusika kulinda ile sehemu kwa hiyo sie baada ya kufanikiwa kucheza na system ilikuwa raisi sana kuingia nilipofika ndani nikamkuta Aisha akiwa mzima bin salimin ile namfungua tu kwenye sehemu aliyokuwa amefungwa alarm inaanza kulia.

James: Erick whats wrong?

Erick: I don’t know najaribu kufix hapa but inaonekana wameshagundua kama tumeingia humu ndani na wapo njiani wanakuja coz I can see them through their system na jinsi wanavyokuja you better hurry coz waweza fia humo humo ndani

Nilipomaliza tu kuongea Na Erick nikashangaa milango haifunguki na baada ya kuhangaika sana Erick akatuambia kuwa wameshafika na wanataka kulipua jengo zima wanaongea kidogo alafu mawasiliano yanakatika james akiwa ndani na Erick nje na pia jeshi la marekani likiwa limezunguka nnje pale. Wakati jeshi la marekani likiwa linajiandaa kuingia ndani mule walishtushwa Na mlipuko mkubwa Sana jengo zima lilikuwa likiteketea Kwa moto……

SEHEMU YA KUMI
BINTI WA RAISI

FBI, INTERPOL, SWAT TEAM Pamoja na jeshi la polisi la marekani walibaki nje wakiwa wameduaa wasiamini kinachotokea mbele yao jengo lilikuwa likiteketea kwa moto. Vikosi vya kuzima moto Na Ambulance zilijaa eneo la tukio wajirabu kumtafuta Aisha hata wapate mwili wake tu lakini hawakufanikiwa Kwa hilo walisachi kina kona ya jengo lakini hawakufanikiwa kuupata mwili wake.

Huku jeshi la marekani wakiamini kuwa Aisha na aliyekwenda kumuokoa wameungua ndani ya moto huku Erick na James pamoja na Aisha walikuwa salama bin salmin najua wajiuliza why, ngoja nikueleze.

Wakati Erick akiangaika kuhack tena the system ili aweze kufungua milango alifanikiwa dakika za mwisho na kufanikiwa kufungua secret passage ambayo ilitupeleka mpaka Seamans park tukasogea mpaka Fisher Island afu tukaingia pale Miami Beach kule Erick alikuwa na Apartment tukafikia hapo tukaa tukipanga jinsi ya kurudi Tausi maana maisha ya kuhangaika yalikuwa yamenichosha, kwanza kabisa ilinibidi kupiga simu Tausi kwa mkuu wa jeshi la polisi kumjulisha huko kila mtu alikuwa amekaa akitafakari Mambo yatamalizika vipi huku wakiomba tufanikiwe kumuokoa Aisha so simu ilivoita moja kwa moja raisi aliikimbilia na kuanza kuongea kwa haraka vipi mnaendeleaje huko? , mwanangu mzima?

Nikamjibu kwa Tabasamu everything is alright and Aisha yuko sawa sawia hana hata kovu but naomba utusaidie tuweze kurudi Tausi. Raisi akajibu mkiendelea kukaa kwenye ardhi ya marekani hapo siwezi kuwasaidia cha msingi nendeni Canada huko mtapata msaada kwa mtu mmoja anaitwa jones Peterson mkifika mwambieni mmetumwa na dogo kutoka Tanznia hilo ndo jina langu wakati niko shule so atawajua and remember Dogo it’s a code ukifanya ujinga wowote mmekufa hapo hapo Jones si mtu wa kuchezea hata kidogo. Erick akanifafanulia safari tuliyokuwa nayo kufika Canda inatubidi tupitie Aventura alafu Holywood kasha Fort Laurdedale hapo tutakuwa tumeingia Canada hapo tulipofika kulikuwa hamna siri tena ikanbidi nimface Aisha nimwambie ukweli kuwa mimi nimetumwa kuja kumlinda na kumrudisha Tausi salama, Aisha alikasirika sana kwani aliamini kuwa mimi ni mwanaume wa maisha yake lakini kumbe ni mfanyakazi wa baba ake nilimwambia kuwa pamoja na mimi kuwa mfanyakazi wa baba ake but sikutegemea kama ningempenda na ninampenda kweli a bado penzi langu liko pale pale Aisha hakuamini lakini haukuwa muda wa kubembelezana tena nikamwambia tuondoke tuendelee na safari.

Erick alisema hapo ndoa mwisho wake nay eye inambidi arudi kwenye kazi yake so akaatuag a na kututakia safari njema.

Tuliondoka na Aisha huku bado akiwa na hasira na mimi lakini sikujali zaidi nilijali usalama wake tukapanda boti pale nakumbuka ilikuwa saa saba usiku hivi nakuelekea Canada kupitia Holywood.

Usa walichukia sana kumkosa Aisha hivo walikuwa na mipango mingine now kumfanya James ni Gaidi na anatakiwa katika mahakama ya kimataifa ICC kujibu mshtaka na yuko Tausi so wanataka kutuma jeshi wakamtafuta.


SEHEMU YA KUMI NA MOJA
BINTI WA RAISI

Tuliingia Canada mida ya usiku sana ikatubidi tulale kwanza Aisha bado alikuwa na hasira na mimi so akaniomba tuchukue room yenye vitanda viwili, unajua Aisha pamoja na kuwa na hasira na mimi but alikuwa ananipenda sana so nkashangaa usiku anakuja kitandani kwangu akiwa hana nguo hata moja akaingia kwenye shuka na kujifunika kasha akanikumbatia na kusema James I love you sana hata nifanyaje siwezi kukuacha tulialala tu bila kufanya chochote na ilipofika alfajiri ikatubidi tuanze safari ya kwenda kwa Jones Peterson safari ilikuwa fupi sana kwani alikuwa anaishi karibu tu na border ya marekani tulipofika kulikuwa hamna tuligonga sana mwishowe kuamua kuingia ndani kufika ndani tulishtushwa na kuonyeshewa bunduki huku tukiulizwa Wewe ni nani?

Me…dogo ametuagiza tuje kwakoJones…

oh you must be James and you Aisha right

Me and Aisha…yea

Nimeandaa kila kitu kesho asubui ndo mnaondoka so mtalala kwangu leo, mtapanda ndege hapa mpaka Amsterdam then from there mtaenda Dubai afu ndo mtaenda Tausi msijari hawawezi kuwagundua jinsi ntakavyowabadilisha.

Nililala kwa furaha sana siku hiyo nikijua mateso yameisha narudi Tausi nyumbani kila nilipomtizama Aisha alikuwa ni mtu wa kutabasamu tu, kwa hata ingekuwa wewe lazima ungefuarai tu ukizingatia mambo tuliyopitia ni makubwa sana.

Ilipofika asubui ikaanza kazi ya kutubadilisha tukapigwa picha fasta na hapo hapo paper zikatengenezwa tiketi zilikuwa tayari so tukaenda zetu uwanja wa ndege na kuelekea zetu Tausi.

Taarifa zilifika katika jeshi la marekani kuwa tumepanda ndege tukitaka kutoroka kutokea Canada but hawakuweza kutupata pamoja na kukagua sana mwisho wa siku walipanga kulipua ndege na kusingizia magaidi ndo wamefanya hivo. Mipango ilikuwa ishaiva ilikuwa inasubiliwa ndege iingie zone ya bahari ndo walipue.

Kwenye ndege mimi na Aisha tulikuwa watu wenye furaha sana kutoka katika ardhi ya wamarekani, ndege ilikuwa inakaribia Amsterdam nkaomba kuingia chooni wakaniambia ndege karibia ina land so nifanye haraka nafika toilet nakuta bomu limebakia dakika kama kumi kulipuka nkashtuka sana so haraka nikamuwai Aisha.

Watu walijaa katika uwanja wa ndege wa Uholanzi katika jiji la Amsterdam wakiwasubilia ndugu na jamaa zao but walishtushwa na mshtuko mkubwa mbele ya macho yao hawakuamini hata kidogo ndege ilikuwa katika process ya kuland ikaripuka hapo hapo na ilikuwa inateketea kwa moto na kwa jinsi ilivyokuwa inaonekana hakuna uwezekano wa mtu kuepuka moto ule…

SEHEMU YA KUMI NA MBILI
BINTI WA RAISI

Katikati ya bahari tukiwa hatujui wapi kwa kuelekea tukiwa na maboya tu ukiangalia kule sioni mwisho wala sioni mtu pembeni yangu niko peke yangu katikati ya bahari ndo akili ikanjia kuwa nilikuwa na mtu ambaye ni Aisha nkaita sana hadi sauti ikankauka but wala sikupata jibu kwa mbali nkaona kama kisiwa hivi ikanbidi nianze safari ya kujisogeza karibu na kile kisiwa nkafanikiwa kufika pale na ile nimefika nchi kavu tu nkazungukwa na watu kibao ambao hata siwaelewi walikuwa wamevaa kiajabu pia waliongea lugha ambayo sikuielewa.

Dunia ikiamini kwamba james na aisha wamekufa na marekani akimframe Mwarabu kwa kulipua ile ndege watu walijaa sana katika ile ndege but katika uchuzi wao watu wawili hawakuonekana na blackbox ilithibitisha kuruka kwetu kabla ndege haijaripuka so marekani akaongeza ulinzi katika kile kisiwa ili waweze kutupata

Tausi hali so shwari kwani kila kukicha marekani anafanya kila awezalo aweze kumiliki uranium na mafuta yaliyopatikana Tausi na nguvu zao zote zilikuwa kwa Aisha mtoto wa raisi lakini wamemkosa so wanatishia kuingia vitani kuiteketeza Tausi wakidhani Tausi ni lele mama kama ya zamani wasichokijua Raisi MAHMOOD anatengeza nyuklia kwa siri na alikuwa tayari anavyungu kama kumi na viwili vingi vikiwa Arusha.Hali inazidi kuwa mbaya Raisi anatangaza hakuna raia wa marekani kuingia Tausi na marekani anatangaza vikwazo vya kiuchumi kwa Tausi but Tausi anapata support kubwa kutoka kwa nchi za kiafrika pamoja na Russia,china,german pia korea walikuwa wanaiunga mkono Tausi bega kwa bega so Tausi bado inaendelea kuwa imara pamoja na vikwazo vya marekani.

Erick alipoona kwamba ndege imeripuka haraka sana alichukua boti yake yenye kasi sana hadi shemu ambayo inasadikika kwamba tulirukia na kuanza kututafuta Erick pamoja na kuwa agent wa Tausi pia ni polisi wa marekani so ilikuwa raisi sana kwake kuruhusiwa katika hilo eneo kwani lilikuwa linalindwa balaa.

Nilichukuliwa na wale jamaa na kupelekwa nisipokujua but nilishangazwa na kumuona Aisha akiwa naye yuko huko moyo wangu ulilipuka kwa furaha sana na kwa mbali nkamuona Aisha akitabasamu, nikapelekwa sehemu nkafungwa afu nkashangaa kuona wale jamaa wanapiha ya aisha ikiwa imewekewa lile donge nono la mtu atakayempata niliamini mwisho wet undo umefika hapo hapo.

Baada ya kutafuta sana Erick anaona kisiwa so anaamua kwenda huko na kuanza kuonyesha zile picha na wale jamaa wanamleta kwetu na Erick anawaahidi kwamba donge nono lao litafuata baada ya sisi kukabidhiwa kwa polisi tunamchukua Aisha haraka tunampa huduma ya kwanza na haraka tunaondoka zetu.ilibidi tena tusiende Holland bali twende spain afu tuingie afrika huko tunaweza kusalimika maana kila nchi inaisupport tanzani safari ikaanza wale tukondoka zetu tukafika spain mida ya saa tatu za usiku so ikatubidi tupumzike kwanza Erick alienda kununua madawa tukamtibia Aisha tukauweka mguu sawa ili usiwe unacheza.

Usingizi haukuwa mtamu sana siku hiyo maana wote tulikuwa twawaza je kesho tunaweza kuingia Afrika, asubui inafika safari inaanza but ikawa ngumu sana kupitia majini so tukaamu tupitie jangwani safari ilikuwa ndefu sana lakini mwishowe tukaingia Rabat morocco pale baada ya siku mbili tukiwa salama fasta aisha tulimpeleka hospital na tuka[iga simu Tausi na Raisi alifurai sana akasema chukueini ndege yoyote iwalete Tausi so Aisha alivotoka tu kwenye matibabu tukampakia kwenye ndege na kwenda Tausi.

Safari ilikuwa ya rah sana kwani kw amara ya kwanza ilikuwa ni safari ambayo haina misukosuko na tukafanikiwa kuingia Tausi salama bin salmin, tukapokewa na watu wengi sana watu wakiamini sisi ni mashujaa tulioweza kutoroka marekani pasi kujua kuwa Aisha ni mototo wa Raisi.Baada tu ya aisha kuingia Tausi anapelekwa kwenye hospital private na huko wanamfanyia na vipimo vingine.

Nafanikiwa kupewa upolisi kamili na kupewa cheo ha juu sana na kazi yangu inakuwa kuhakikisha production ya nyuklia inaendelea bila matatizo yoyote. Baada kama ya siku tatu raisi anagundua kuwa aisha ni mjamzito na anapomuuliza aisha anasema mimba ni ya James Raisi anakasirika sana na kuapa kumfanyia kitu mbaya sana Aisha na Aisha anapigwa marufuku kutoka nje.

SEHEMU YA KUMI NA TATU
BINTI WA RAISI

Ilikuwa ni jumapili Asubuhi James alipokea Bahasha kutoka kwa Raisi ndani kulikuwa na Barua ikimuamuru Aende Iraq akasaidie Jeshi lTausi, kwa kuwa James hakuwa mwanajeshi alishangaa sana kuona kitu kama kile kinatokeaa lakini hakuwa na jinsi Amri imetoka kwa raisin a kukataa ni kosa la jinai adhabu yake ni kifo. Baru ilimuamuru James aondoke haraka pindi atakapopata tu Barua, james hakutaka kuondoka bila kumuaga Aisha so akawa anaenda kumuaga Aisha nyumbani kwake anafika nyumbani kwa Aisha anashtushwa na kukuta hamna mtu ang ghafla wanakuja watu kama sita hivi wamevalia suti nyeusi naamu niliwatambua kuwa ni maafisa upelelezi maana ndo kazi yangu hiyo wakanambia wametumwa kuja kunichukua, nikakubali nikaondoka nao nikapelekwa Jeshini nikakabidhiwa kila kitu tayri kwa safari ya kesho kuelekea Iraq kulinda Amani.

Raisi Mazanda alitoa amri kua nikifika tu Iraq wanajeshi wenzangu waniue wasingizie nimekufa katika shambulio la waasi wa Iraq, mimi japo sikuwa moyoni mwa raisi nilijuafika nini alichopanga raisi kunifanyia so na mie nkawa na plan zangu kichwani

Kesho ikafika tukaanza safari ya kuelekea Iraq tukiwa ndani ya ndege ya kijeshi,hali ya Iraq haikuwa nzuri wakati kwani waasi wallikuwa wameteka karibia nusu ya Iraq jiji la Baghdad lilijaa askari wa waasi kuanzia Al-jaheeda, Ghazaryal, Al-ubaid, dora , scade city kote kulikuwa kunalindwa vikali na wanajeshi wa waasi so tukaepuka kushukia A-Rasheed Airport badala yake tukaamua kushukia Baghdad Airport tukapitia Jihad kwenda Khadra kisha Abu-Ghraib ili tutoke nje ya jiji la Baghdad tukajipange vizuri tuliweka kambi Al-Ghraib mpakani kabisa mwa nchi ya Iraq na Syria maana hapo ndo palikuwa salama , siku hiyo ilitubidi tupumzike kabla ya kuanza kazi kesho yake.

………………………………………………………………………………………………

Aisha anaishi aisha yasiyo ya amani wala raha baba yake mzazi anaamua kumuweka ndani ili tu asiwasiliane na James kipenzi chake, Aisha anaamu kumpigia simu mama yake anayeishi Italy na kumwambia kila kitu na harka mama yake anakuja Tausi kumchukua mwanae, mama yake Aisha anamtishia Raisi mazanda kama asipomruhusu amchukue mwanae kila mwanaTasusi atajua kuwa Aisha ni nani so Raisi anakuwa hana jinsi zaidi ya kumwachia Aisha aondoke na mama yake, Aisha anaenda kuishi na mama yake Italy, huko anaahidi akijifungua tu lazima akamtafute mpenzi wake Iraq.

…………………………………………………………………………………………….

Kesho yake ilifika tukaingia kwenye magri tayri kwenda kulinda amani Baghdad mji mkuu wa Iraq, kichwani bado nilikuwa na mipango yangu ya kutoroka so nilijiandaa ipasavyo lakini nilishtushwa na gari nililopanda mimi likiacha wenzake na kuelekea nisipopajua hatukutembea sana gari ikasimama na kuamriwa wote tushuke tuliposhuka tukaona kwa mbali magai yanakuja dah sikuamini macho yangu walikuwa ni wamarekani walipokaibia tu wenzangu wote wakanigeukia na kunionyesha bunduki wakiniambia nisijarbu kufanya lolote maana ntakufa hapo hapo sikuwa na cha kufanya wale jamaa wakanikabidhi kwa wamarekani na kuniacha hapo.moyoni nilijua kabisa huo ndo mwisho wa maisha yangu na sitoweza tena kutoroka maana nikipelekwa marekani na wanavyonisaka kwa udi na uvumba lazima waniue tu.

Tuulitembea mwendo kama wa masaa manne hivi tukashuka then wakaniweka kwenye kagereza kamoja hivi nikisubiri watakachoamua, nilijikalia huku nikiwa na mawazo tele kichwani nashtushwa na mlio wa mabomu ilikuwa ikiendelea boom boom boom ghafla walinzi waliokuwa wananilinda wakauliwa wote akatokezea mtu akiwa amevaa maski akisema lets go we don’t have time to waste.,

SEHEMU YA KUMI NA NNE
BINTI WA RAISI

Sauti ilikuwa nyembamba kama mrembo Fulani hivi lakini sikujua ni nani akavua maski na kuniambia fanya haraka John atatusubiri na gari nnje mama yangu sikuamini macho yangu kwani alikuwa ni mdogo wangu wa kike Jeny nilitaka nimuulize maswali mengi lakini sikuwa na muda ikabidi tuondoke tulipofika kwenye gari ndo nilizidi kushangaa kumuona mdogo wangu John faster nkaingia kwenye gari John akaondoka kwa spidi ya hatari.

Tukiwa kwenye gari nilikuwa na shauku kubwa sana ya kujua wamefikaje huku na wamepatia wapi mafunzo ya kijeshi, Jeny aliniambia kuwa baada ya Jeshi la Tausi kuwaokoa mkuu wa majeshi aliwachukua na kuwapeleka kwenye camp ya mafunzo ya kijeshi ngere ngere huko ndipo walipopata mafunzo ya kijeshi na mkuu ndo amewatuma waje kumuokoa kaka yao.

Erick alifurai sana kutoka kwenye mikono ya kifo lakini hakutaka wadogo zake wajiusishe na matatizo yake so akawaambia tukifika Jordan mtarudi Tausi mimi nitaenda nnapopajua maana sasa hivi mimi ni mwalifu hamfai kukaa na mimi, John akasema wewe ni kaka yetu hatuendi kokote bila wewe hata wazazi wametupa Baraka tuje kukuokoa so tutakaa na wewe hadi kieleweke, James akakubali kwa shingo upande.

Italy….

Aisha anaamua kuanza mpango wa kumsaka James popote alipo cha kwanza anachofanya anamtafuta Erick ili aweze kumsaidia kumpata James. Anafanikiwa kumpata kwa simu na wanakubaliana wakutane America then ndo wapande mipango yao.

Jordan…….

James anawaambia wadodo zake kuwa yeye anataka kufanya mission moja ya hatari sana kama wapo tayari waende wote kama hawawezi ndo muda wa kurudi nyumbani huo pia anawaambia kuwa inambidi aelekee USA wote wanashangaa maana wanajua akikanyaga ardhi ya USA lazima atakamatwa tu maana anatafutwa sana na USA anawatuliza hofu na kuwaambia wasijali kila kitu kipo katika mstari kinachotakiwa ni kufata tu mstari.

Kesho yake wanaboard ndege hadi USA, na baada ya masaa kadhaa wanafika USA but wakati wanakanyaga Ardhi ya USA James anakamatwa na askari wa huko but kabla hajaachana na wadogo zake anawaachia karatasi ikiwa na jina moja tu la ERICk, Jeny na John wanamkummbuka Erick so Hawakuwa na shaka ilibidi wamtafute Erik.

Nadhani wengi hatujui hata Aisha mwenyewe Hajui anayejua ni mkuu wa polisi na Raisi mwenyewe ili kumuondoa Aisha katika mission Raisi alilazimika kumkera mwanaye kwa kumuachanisha na kipenzi wake ili James aende kwenye Mission, Erick mwenyewe alikuja kujua alivokuwa kwenye ndege baada ya kuisoma vizuri ile barua coz yeye alikuwa anaisoma direct kumbe ilikuwa imeandikwa kwa mfumo wa code,

James anapelekwa katika prison amabayo ina ulinzi mkali sana na hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kutoroka wala kujaribu kutoroka,

Jame mission yake ni moja tu kwenda kumlocate mtalaam wa nyuklia wa kutoka Tausi aliyechukuliwa na wamarekani bila idhini yake akiwa mapumzikoni Ibiza Spain kasha amrudishe Tausi……….

Je, unadhani James atafanikiwa??

SEHEMU YA KUMI NA TANO FINALE
BINTI WA RAISI
Erick alikuwa tayari alishapata ujumbe kutoka Tausi, Erick alikaa muda mrefu sana kama undercover agent na ilikuwa time yake kufanya kile kilichompeleka USA na Mkuu pamoja na Raisi wanakitegemea.

Muda mfupi tu Jeny na John wanampata Erick lakini Aisha nae anatokea kwa pamoja wanaunda timu ya watu wane jukumu lao ni moja tu kumtoa Erick pamoja na mtaalam wa nyuklia aliyetekwa pamoja na Familia yake everything was in order Aisha na Jeny wakapewa jukumu la kwenda kuichukua Familia ya Yule mtalaam wa nyuklia and John na mimi ilikuwa kazi yetu ni ngumu sana kwenda kubreak in kule Guantanamo bay na kumrudisha salama Erick pamoja na Yule mwanasayansi.

Aisha and Jeny…

Walifika nyumbani kwa Yule mtalaam wa nyuklia wakakuta walinzi ni wengi sana but kwa Erick tayari alikuwa na Security details zote za ile nyumba so ilikuwa like peace of cake, it was a mission ambayo Raisi aliipanga kwa muda mrefu sana ndo maana hata akamtuma James akamchukue mwanae Aisha ili wakifanikiwa USA wasipate sehemu ya kuanzia. Tulikaa out kama Dakika tano hivi tukisubilia John na Erick wafike kwanza tuanze mission kwa pamoja and tuweke timeframe ya kufanya ile mission.

Erick and John

Tulifika karibia na ile cell and ikatubidi tuwataarifu akina Aisha kuwa tumefika and its time to start the mission, its was like hit and run thing coz we had to do it quick and perfectly to avoid mistake and being caught. Me and my laptop and John na skills zake lakini sikusema ichi kuwa nilikuwa tayari nimegundua hardware niliioipa jina la Mwizi ambayo kazi yake ilikuwa ina uwezo wa kuzuia any electronics device kutokufanya kazi kwa muda flani ambao wewe umeamua so tukaideploy ile outside the cell and pia nika hack umeme wa mji mzima na nikazima mji wote pia ilikuwa rahisi sana sababu ni kitu ambacho nilikuwa najifunza kwa miaka mingi sana ili nije kukifanya. Tulikuwa watu wawili tu lakini ni kama Jeshi la watu mia.

Aisha and Jeny…

Tulisogea karibu tulikuwa tunajiamini coz tulijua kabisa no electronics device inayofanya kazi so milango yote itakuwa Raisi kufungua dah uwezi amini macho yako mtu na wifi ni hatare balaa walikuwa wanaua mmoja mmoja and kimya kimya until wakaingia ndani wanakutana na Yule mama na watoto wawili wanawaambia kwa Kiswahili ”hatuna muda wa kutosha tuondoke haraka” mama anawauliza “na mume wangu je” Aisha kwa haraka anasema don’t wory kuna watu watamleta tuondoke haraka kabla jeshi la marekani halijajua.


Erick and John

Ilikuwa Raisi sana kwani kila kitu nilikuwa nakontroo mimi so nilikuwa namuongoza John hadi akafanikiwa kuingia ndani kulikwa na walinzi watattu tu ndani maana kila kitu kilikuwa systematic and we killed everything faster nkamkuta James akiwa yuko hoi faster akaniambia nfungue faster twende tukamchukue , nkamfungua then hao hadi room kama ya nne hivi tukmkuta jamaa bado yupo kazini coz wao walikuwa wanabackup Generator we killed everyone and tukamwambia tuondoke haraka cha kwanza alimuwaza mke wake tukamwambia she is safe so lets go haraka

Tulikutana tulipopanga kukutana and nikamkuta Aisha na Jeny pamoja na wale watoto na mke wa Yule jamaa, nilimkimbilia Aisha nikamkumbatia. Nilifurahi sana tena sana lakini sikuwa na muda wa hayo mambo tukapanda helicopter faster hadi Mexico then kule tukapanda ndege hadi Ethiopia then hao hadi Tausi.

Tausi…

Sijawai kupokelewa na umati wa watu katika maisha yangu kama ule nashuka kwenye ndege tu napokelewa na Raisi kwa mbali nawaona wazazi wangu it was such an exciting moment coz ilikuwa miaka sijawaona al I did was mission nikawasalimia pale then kutoka nnje nakutana na umati wa watu kama million hivi, tuliandalia sherehe ikulu then Raisi aliridhia mimi kumuoa Aisha kumbuka kwanza kwa dini tulikuwa tofauti so ikatubidi tufunge ndoa ya kiserikali tuishi pamoja. Tausi ilikuwa ya amani tena.

Baada ya miezi nane….

Ilikuwa siku ya jumapili hivi Aisha anapatwa na Uchungu nampeleja Hospitali na nawataaifu ndugu zangu wote wanakuja Hospitali, tunkaa nnje ya chumba anachozalia Aisha na mimi nikiwa ndani lakini naitwa mara moja na Raisi kwenda kuongea nae nnje tunaongea sana inapita kama nusu saa ndo napatwa na wasiwasi mbona hawatoki, kuingia ndani nakuta Aisha Amezimia na hakuna mtoto wala daktari.


SEHEMU YA KWANZA
BINTI WA RAISI SEASON II
Ni usiku wa manane hakuna aliyekuwa hata na mwazo wap alipoenda mtoto wa James na nani amemfanya vile Aisha maana Aisha alizimia mpaka wakati ule na so tukawa hatuna jinsi ya kujua ni nani aliyemchukua Yule mtoto, Tukaanza na kumsaka Yule daktari pamoja na wakunga wake watueleze alipo mtoto but tunafika ofisini kwa Yule dokta tunamkuta akiwa amefariki huku hana hata Jeraha hata moja, tukaanza kazi ya kuwasaka wale wakunga tukaenda kucheki details zao kwa management na kukuta kumbe wale si raia wa Tausi walijitolea kutoa huduma kwenye ile hospital na walikuwa Raia wa Afighanstan, na kuwai kwenda Airport tunakuta walishafanya booking three weeks before na tayari walikuwa wameshaondoka.

Machozi yalikuwa yananitiririka, sikuwa na la kufanya Raisi alikasirika sana WanaTausi wote baada ya kujua kilichonikuta walifurika nje ya nyumba yangu na kuniwekea maua ya pole wengine walijaa ikulu kumpa pole Raisi. Nilirudi hospital kumchek Aisha alikuwa bado yuko vile vile daktari anasema Aisha alipata shock baada ya kumuona mwanae akichukuliwa huku yeye akiwa hana nguvu zozote zile za kumsaidia. Na tiba yake ilikuwa kumuona mwanae tu maana hata akiamka hali yake itakuwa vile vile hatoweza kuongea wala kufanya lolote. James alizidi kuchanganyikiwa alipopewa hizo habari lakini alikaza moyo konde na kuamua kuondoka zake na kwenda ikulu kujua atafanyaje ampate mwanae.

Walipanga na rais jinsi ya kwenda Afighanstan kumtafuta mwanae lakini kabla hawajaongea sana John anampigia simu na kumwambia brother relax we will do everting for you we muuguze shemeji na mimi na Jeny tayari tupo Afighanstan na pia Erick atakuja Kesho kuungana na sisi ili mradi tumpate mwanao, James anakubali kwa shingo upande na kuwaachia kazi wadogo zake na rafiki yake mpenzi,

AFIGHANSTAN….

Kazi inaanza ya kuwasaka wale manesi wawili waliondoka na yule mtoto na kazi ya kwanza inakuwa kuhack database ya Afighanstan ili nione kama ntawapata lakini naangaika bila mafanikio naamua kuxpand my search n analog in kwa FBI database and kumbuka mimi ni bado nilikuwa askari wa marekani so nilikuwa na access ya kuingia kwa database ya FBI but naandika majina yao na kutana na kitu TOP SECRET nashangazwa sana na naamua kuingia kiujanja ujanja kwenye CIA system na fanikiwa kuwaona but napigwa na butwaa kuwaona kuwa kumbe wale manesi ni BLACK AGENT wa USA kumbuka black agent ni balaa kwenye mission za hatari ndo uwaga wanatumwa wale ku neutralize hali so ikanibidi kwanza nitulie na kufikiria watakuwa wampeleka wapi na wamemchukua mtoto kwa sababu gani maana hadi BLACK AGENT wamehusika basi lazima litakuwa jambo la balaa.

USA…

Monica na kemberly wamafanikiwa kuingia USA salama wakiwa na mtoto wa Aisha moja kwa moja wanaenda hadi ikulu ya marekani na kumuonyesha Raisi, Raisi anatoa Baraka moja kwa moja mtoto anapelekwa mahabara kwenda kufanyia uchunguzi na kama walivodhania wanamkuta na chembe chembe za virus ambazo zinauwezo wa kuua karibia watu milioni na tabia za hao virus Carrier anakuwa salama na wanasambaa kwa kugusana. Marekani walijua toka mapema kuwa James anahao virus na walipanga kuwaextract toka kwenye mwili wake lakini walichelewa baada ya james kuokolewa kipindi kile so wakafanya juu chini wampate mtoto wake na watumie wale Virus kuiangamiza Tausi pamoja na Afrika nzima na wale Virus.

Wale Virus walkuwa ni hatari sana maana ukiguswa tu na mtu mwenye wale Virus ukitoa Origina Host hua wanajizalisha kwa kasi na baada ya masaa 72 mtu hufariki……

Wanaplan kuwapandikiza wale virus kwenye nyama ya kuku iliokuwa inakuja Tausi kutokea Houston.


AFIGANSTAN……

Erick anawaambia jenny na John kuwa hawana jinsi zaidi ya kurudi kwenye ardhi ambayo walikuwa hawatamani kurudi nchini USA kwenda kumsaka mjomba wao, kesho yake safari ya kwenda USA kama watalii inaanza.

Je, watampata mtoto,
 
story nzuri ila jaribu kuweka ktk mpangilio mzuri na epuka maneno ya vijana au ya kisasa,
pia inabidi utenganishe anapoongea Msimulizi,au anapoongea James,Eric ,Jonh nk
 


MTUNZI: ERICK NZIKU

SEHEMU YA KWANZA
BINTI WA RAISI


Naitwa James david Massawe ni mzaliwa wa Same, Kilimanjaro, naishi na wazazi wangu wote wawili na nna wadogo wawili john na jenny. Maisha katika familia yangu ni magumu sana ndo maana inanibidi nifanye kazi huku nasoma katika chuo cha ualimu Moshi, na kuuza mboga mgoga katika Soko kuu la same na stori inaanzia hapa.

************************************************************************

Baada ya kumaliza form four nilipata nafasi ya kujiunga na jeshi so nkaingia jeshini na kuajiriwa baada ya mwaka mmoja, nilifanya kazi jeshini kwa mwaka mmoja na kupata ofa ya kwenda kusomea masuala ya mawasiliano india kwa mwaka, nilikuwa nasomea cyber crime and security.

Baada ya kumaliza mafunzo yangu India nikarud Tausi lakini nkafukuzwa jeshi baada ya mwezi tu kwa kukutwa na hatia ya kuhack siri za jeshi.


Baada ya kuona maisha magumu nkaamua kujiunga na chuo cha ualimu ndo mpaka sasa nasoma hapo.

************************************************************************
siku moja nilikuwa natoka kwenye biashara yangu mida ya usiku nilikuwa nimechoka sana ukizingatia ilikuwa jumamosi so sikwenda shule nilikuwa sokoni toka asubui, wakati nikiwa natembea ghafla nashaa gari limesimama mbele yangu na watu wenye suti nyeusi wakiwa wamenyoa vipara wakashuka na kunichukua kinguvu na kunipeleka nisipokujua,,,
Kufumbua macho nilikuwa katika bonge moja la jumba mbele yangu akiwa amesimama Mkuu wa jeshi la Polisi Tausi Juma Said, kwa kweli nilipigwa na butwaa pasi kujua nini kinaendelea.

Mwema: kijana umeletwa hapa kwa dhumuni moja tu, tumekuwa tukikufuatilia toka mda mrefu tunajua kuwa ni wewe ndiye uliye hack system yetu mara mbili so tunakupa nafasi ya kujiunga na sisi ili siri zetu zisivuje kama hutaki hatuna jinsi bali ni kukuua tu,

Mimi; Naogopa sana kifo katika misha yangu so sikuwa chaguo lingine zaidi ya kusema ndio.

Mwema: mission yako ya kwanza itakuwa kwenda Usa utafute mahali mtoto wa Raisi alipo umlete Tausi akiwa Salama bin Salmin maana hali ni mbaya sana tumepata onyo kwamba kuna watu wa vyama vya upinzani wakishirikiana na Marekani wanataka kumuua. tumekuandalia usafiri na passport yako iko tayari nenda nyumbani kesho njoo mapema kwaa jili ya Safari yako. Na kumbuka usimwambie mtu yoyote hata familia yako kuhusu mission hii kama unaipenda familia yako. Kumbuka hii ni mission kubwa mabayo kila askari anaitaka lakini nimekuchagua na kukuamini wewe.

ME: Ndio, sitomuambia mtu.

Wakanirudisha hadi nyumbani niwakuta familia yangu wote wakiwa katika mlo wa usiku bila kusita na mimi nikajongea moyoni nilikuwa na uzuni sana sababu ilikuwa siku ya mwisho mimi na familia yangu tunakaa pamoja...nikaenda zangu kulala kichwani nikifikiria safari ya kesho...

Yap..safari imewiva nipo kwa mkuu akinipa maelekezo mengine Mwema: jina anaitwa Aisha jakaya mrisho MAHMOOD anakaa west Corolado asije akajua wewe ni askari sababu apendi kuchungwa na hapendi watu wajue ye ni mtoto wa Raisi , una uhakika utaweza kazi?Me: nina uhakika ntaweza mkuu
*****************************************************************************
Nilifika Usa kesho yake na kuanza kazi yangu ya kumsaka mtoto wa Raisi, Kitu ambacho Mkuu wa jeshi la Tausi alikuwa afahamu kuwa mimi nilikuwa ni mfuasi wa chama cha upinzani DP (DEMOCRATIC PARTY) na nilipopata
nafasi ile moja kwa moja niliwataarifu viongozi wangu nao wakaniambia niende kwa dhumuni moja tu la kumuua mtoto wa raisi....

Ilikuwa kazi ngumu sana kwangu sababu nilitakiwa nimlete Tausi at the same time nimuue, katika tembea tembea zangu akatokea jamaa mbele yangu na kunipora begi wakati nataka nimkimbize akatokea msichana mmoja alimpiga yule jamaa kwa pigo ambalo sijawai kuliona duniani nilishangaa sana...


msichana: begi laki hili hapa,
Mimi: ahsante jina lake nani mrembo?
Msichana: Aisha...wewe je?
Mimi: James......Mara simu yangu ikaita kuangalia ni mkuu akitaka kujua kama nimefika nikwambia nimefika na kuniambia ananitumia picha sasa hivi nisubilie kidogo tu.......
Aisha: ah kumbe unaongea kiswahili unatokea Tausi nini?
Mimi: ndio mzaliwa wa moshi na nimekulia huku huko

Simu yangu tena ikalia kuangalia ni meseji ya picha kuangalia ile picha sikuamini macho yangu sababu msichana aliyesimama mbele yangu ndiye alikuwa mtoto wa Raisi.......................





SEHEMU YA PILI
BINTI WA RAISI

Tausi hali sio nzuri homa ya uchaguzi imetawala, kampeni zilikuwa zikiendelea maeneo mbali mbali. raisi aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho alikuwa akigombea tena kwa miaka mingine mitano.kila mTausi alikuwa na hamu ya kufahamu kitakachotokea lakini huku nyuma ya pazia kulikuwa na mchezo mchafu unafanyika,chama cha CP walikuwa wanafikiria ni jinsi gani ya kuiba kura ili waweze kurudi tena madarakani huku DP (DEMOCRATIC PARTY) wakiwaza jinsi ya kuanzisha vita katika hardhi ya Tausi.Kuangalia picha James alipagawa baada ya kuona mtu aliyetumwa aje kumlinda na kumrudisha Tausi na upande mwingine kumuua ndie aliye msaidia na alikuwa amesimama mbele yake, Baada ya kutambulishana James alimuaga Aisha na kwa kuwa James Alikuwa mgeni alimuomba Aisha kesho Amuonyeshe jiji Aisha bila kinyongo akamkubalia.Wakaagana lakini James hakuondoka bali ali, Bakuwa anamfuatilia nyuma nyuma ili apajue anapoishi , Baada ya mwendo kidogo James alimuona Aisha akiingia kwenye nyumba yake anayoishi . alikaa hadi asubui akimlinda mtoto wa Raisi**Asubui kulivyoucha JAmes alishtushwa na mlio wa simu, alikuwa ni mwakilishi wa chama cha DP (DEMOCRATIC PARTY) kwa upande wa marekani akimwambia aende kuchukua vitu ambavyo atatumia kumuua mtoto wa Raisi bila kusita James alienda huko akapewa Bastola moja yenye silencer pia simu yenye secure line ili wawasiliane....ilikuwa kama saa sita mchana kule America naam ulikuwa ni muda wa ahadi ya James na Aisha, James alikuwa ameshafika mapema akawa akimsubili mtoto wa Raisi alikaa sana pasi na dalili ya kumuona mtoto wa raisi , alikuwa amechoka kusubili kwa hiyo akaona bora aondoke zake akiwa katika harakati za kuondoa anakutana uso kwa uso na Aisha akiwa amependeza akitabasamu kwa mbali moyo wa James ghafla ulirudi kwenye hali ya kawaida huzuni ilipotea na akaanza kutoa tabasamu lake la kuwa kamatia wasichana.

Aisha: Samahani nimechelewa...

James: usijali...

Aisha: sawa, tuendelee Na mambo mengine

James kichwani akiwa na mawazo ya jinsi ya kumuua mtoto wa raisi hana wasi wasi anatabasamu tu.Aisha alianza kazi ya kumutembeza Colorado na walizunguka sana, Aisha akamwambia James amsindikize kwake jamaa akaona hii ndo time ya kummaliza Aisha.Kumbuka james aliambiwa asipomuua Aisha wazazi wake na familia yake nzima itauliwa..wakiwa wamechoka wakawa wanaelekea nyumbani kwa AISHA njiani waliongea mengi sana wakipeana vichekesho vya hapa na pale.walipofika aisha alifungua mlango na wakaingia ndani walipoingia tu James akaomba kwenda chooni kufika chooni akaandaa Bastola yake tayari kwa kumaliza kazi ,akarudi akawa amekaa karibu na Aisha , Aisha alikuwa tayari ameshaanza kuvutiwa na james akiwa maelegeza macho na kushika kifuani james akamwambia james nakupenda..ilikuwa ni kama katoka usingizini james alishtuka na kusema nini?Unanipenda? Kumbuka James katumwa amuue.......
























SEHEMU YA TATU
BINTI WA RAISI

Ilikuwa ni ndoto kwake hakuamini kama angeweza kupendwa na mtoto wa raisi alishtushwa na mwanga mwekundu kwenye paji la uso wa Aisha, bila kushangaa alimsukuma Aisha na kwenda nae chini, Aisha alishtushwa na mlio wa bunduki iliyomkosa kwa haraka James alianza kufuatilia kule risasi ilipotokea lakini hakuona mtu alibaki anashangaa asijue ni nani mwingine anayetaka kumuua mtoto wa raisi?

huku kwa mwakilishi wa chama cha DP (DEMOCRATIC PARTY) alipata order kutoka Tausi kuwa amuue yule Mtoto wa raisi lakini kesi yote apewe James.kwa iyo akamuajiri mtu aende akafanye kazi...


Aisha alishikwa na kiwewe pasi kujua ni nani anayetaka kumuua anajua kuwa baba yake ana maadui wengi lakini si kufikia hatua ya kumuua. Aisha aka msichana wa kazi alikuwa na nyumba yake nyingine iliyokuwa karibu na bahari hivo akamwambia James waondoke wote kwani hali ishakuwa mbaya. Wakaondoka kwa kasi ya ajabu na gari ya aisha aina ya Hammer, walipofika wakaingia ndani haraka ili waweze kutafakari nini kimetokea kabla hawajaendelea Aisha anamwambia waende chini kwani nyumba yake ilijengwa na kuwekwa sehemu ya chini kwaajili ya kuhifadhi vitu vyake, walipofika chini huko James alipigwa na butwaa kukuta mtoto Aisha anamiliki silaha za aina mbali mbali

kabla hata hawajatoka chini wanashtushwa na mshindo mkubwa wa bomu Naam nyumba ya aisha ilikuwa ikiteketea kwa moto baada ya kupigwa bomu. Bahati yao walikuwa chini ya Ardhi la sivyo wangekwenda na maji, wanatumia escape rout kutoka kwenye ile nyumba na ile rout ilikuwa inaishia bahari wanafika baharini wakakutana na boti ya aisha wakapanda kuelekea Los Angels ili tuingie katika nchi nyingine ya mexico kwani hali ishakuwa mbaya.


kufika border tu tukashangaa kuona Askari wengi wamejaa wakifanya ukaguzi wa nguvu kwa anayeingia na kutoka tukajua tu kuwa wanatusubilia sisi watukamate, tukakaa pale kusubili usiku hali iwe sawa alafu tukavuke..Hapo hapo ikabidi Aisha awasiliane na baba yake (Raisi wa Tausi ) aweze kumsaidia Baba yake akamuaidi tuingie Mexico atatuma ndege ije kutuchukua.Nkawasiliana na mkuu wa polisi nae akanipa jibu lile lile..kumaliza kuongea tu nkapigiwa simu na viongozi wa DP (DEMOCRATIC PARTY) kutoka Tausi wakitaka kujua nimefikia wapi , lakini kabla sijajibu nkashtushwa na sauti ya mdogo Jane wangu ikiita kaka nsaidie wanataka kuniua. Dah ilikuwa ni kama kuniongezea mzigo mwingine wakati niliokuwa nao ni mzito siiuwezi, Kiongozi wa DP (democratic party) akaendela akisema " umeskia hiyo sauti?

nadhani umeitambua sasa ukitaka kumuona mdogo wako fanya ulichotumwa na urudi Tausi la sivyo utakuta maiti pia hatutaishia kwa mdogo wako tutamaliza familia nzima.

Turudi nyuma kidogo.

Kabla sijaamua kusoma ualimu nilikuwa mwanajeshi kwani baada ya kumaliza form four na kupata division four sikuwa na zaidi ya kuingia Jeshini, Nilikuwa jeshi la anga, pia nilipata bahati ya kusoma kwa mwaka mmoja course ya mawasiliano(IT) tulipelekwa na jeshi nchini India.


Machozi yalikuwa yananilenga lenga lakini nikajikaza ili Aisha asijue kinachoendelea, nguvu za kumuua Aisha nilikuwa sina tena nilikuwa nimejazwa nguvu za kutaka kumsaidia mpaka afike Tausi lakini mdogo nampenda sana kuliko maisha yangu nikabaki sina choice zaidi ya kusubili na kuona kitakachotokea mbele.

tulikaa sana lile eneo pale kwani tulikuwa tumefika mapema sana, ilipofika saa moja jioni tukaanza michakato ya kuvuka ilie border kuelekea MEXICO...














SEHEMU YA NNE
BINTI WA RAISI

Kabla hatujaanza michakato ya kuvuka boda nikamuomba udhuru kidogo Aisha nikapige simu, nikasogea pembeni nikapiga simu kwa mkuu wa jeshi la polisi Tausi nikimueleza hali halisi kuwa mdogo wangu ametekwa na viongozi wa chama cha DP (DEMOCRATIC PARTY) lakini sikumuambia kwa sababu gani, alikubali kutuma timu ya kwenda kumuokoa kidogo roho yangu ikafarijika...

nikarudi nikamkuta Aisha akiwa amejikalia chini huku akipigwa na baridi nilimuonea maisha yalivomgeukia lakini sikuwa na jingine zaidi ya kuhakikisha msichana anayenipenda anarudi kwa wazazi wake.Tukaanza safari kufika mpakani cha kushangaza hakukuwa na mtu hali ile ilintisha kidogo lakini bila kufikiria tulivuka haraka na kuingia mexico katika mji wa mexicali nilijua sehemu kwa sababu nilikuwa nna active GPS kufika tu nkapiga simu wa watu waliotumwa waje kutuchukua na helicopter haraka tuliiiona helicopter kwa mbali imepaki tulikimbia na kufika lakini moyo ulisita kupanda, kulikuwa na gari dogo pembeni mi nikawaambia chukueni hii mizigo yetu alafu si tutakuja na hili gari ddogo hapa wakakubali tukawapa kila kitu hadi bastola zetu ili tusipate usumbufu njiani hata hatujafika mbali tukasikia mlipuko mkubwa dah ilikuwa ni ile helicopter iliyokuja kutuchukua ikiteketea kwa moto..


****

Maswali mengi yalikuwa yananizunguka kichwani pasi kupata jibu , kwanza nilijiuliza kwanini inakuwa rahisi kwa wao kutupata kokote tuendapo pia kwanini wanataka kuniua mimi ambaye wamenituma kwenye mission.Nikashtuka na kuanza kujisachi kwenye nguo dah nilishangaa kukutana na tracker ikiwa active niliitupa haraka nnje na kuongeza speed ya gari , nikiwa katika mwendo mkubwa nilisimamishwa na askari wa barabarani , aliniuliza maswali mengi sikuwa na driving license wala nini ikabidi twende nae askari kituoni , akatuacha ndani baada ya kuchukua maelezo yetu ndani ya chumba cha polisi , bila woga nikasogea kwenye computer yake

Aisha: we unafanya nini hapa?

JAmes: kuna kitu naangalia, nilishtushwa na picha zetu kuwepo kwenye computer yake kuchungulia nje namuona anaongea na mtu kwenye simu. nilijua tu anawasiliana na polisi wa marekani waje kutuchukua,

James: Aisha hapa tena sio mahali salama tutumie kila njia tuweze kutoroka

Aisha: sawa nakusikiliza wewe.

nililalamika kwa kumuita yule askari alivokuja tu hata sijauliza nilimpora bastola yake na kupiga kwa kitako chake kwenye uongo wa nyuma ili azimie. tukatoka kama sio sisi vile taratibu kufika nje tunakutana na askari wa marekani wamejaa ...


SEHEMU YA TANO
BINTI WA RAISI

Tunatoka nje tunakutana na pilisi wa marekani wamejaa wakitusubili tutokee, nguvu zote ziliniishia na nilikuwa tayari kufa lakini sio kujisalimisha.

Ghafla nkshangaa umeme umekatika sehemu yote ile nikaona mtu kwa mbali anakuja karibu yetu na kutuambia Lets go, hurry hurry bila kusita tuliongozana na Yule jamaa sikuweza kuiona sura yake kwana alikuwa amevaa kitambaa usoni na kuacha macho tu wazi,tuliingia kwenye gari haraka na kuondoka kwa kasi eneo lile .Mbele kidogo Yule jamaa alifungua kile kitambaa dah sikuamini macho yangu alikuwa ni Erick rafiki yangu wa utotoni ambaye nilikuwa nasoma nae secondary moja kule moshi lakini yeye baada ya kumaliza form six alipata udhamini na kwenda kusoma America sasa sijui huku Mexico anafanya nini, huyu ndo tulikuwa tunajifunza wote hacking lakini naona mwenzangu ameendelea sana hadi kuzima umeme wa kijiji…nilifurai sana hadi Aisha alipigwa na butwaa kwani hakuwai kuniona nikifurai kiasi kile.nikamuuliza Erick

James: umefikaje hapa na umewezaje kutupata?

Erick: ni story ndefu lakini ninafanya kazi na polisi wa Tausi na nilipoona jina lako kati ya ma agent wanaotumwa America nilikuwa nakufuatilia tokea kipindi iko, najua kuhusu familia yako na huja haja ya kuwaza sana kwani polisi wa Tausi walifanikiwa kumuokoa mdogo wako na sasa wako kwenye safe house da re s salaam.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

Baada ya kutofanikiwa kuwakamata wakiwa wazima na kushindwa kuwaua Aisha na James viongozi wa DP wakishirikiana na jeshi la marekani wakaamua kuwatangaza James na Aisha kama magaidi wanaosakwa na marekani kwa udi na uvumba na yeyote atakaye fanikisha kutoa maelezo yatakayosaidia kukamatwa kwao atapata donge nono la 200,000 USD.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

Kwa Tausi hakuna aliyejua kama Aisha ni mtoto wa raisi lakini ni mkuu wa jeshi la polisi na mimi tu ndo tuliokuwa tunajua siri hiyo nzito na tulikuwa tayari kufa kumlinda mtoto wa raisi, Taarifa zilifika Tausi Raisi alichanganyikiwa kusikia mtoto wake alitajwa kama gaidi wa kutisha kwa wazazi wangu haikuwa shida kwani walinyimwa kuangalia Tv wala kusikiliza radio …

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

Erick alitupeleka hadi kwenye nyumba yake kasha akapiga simu Tausi, Raisi akahaidi asubui na mapema atatuma ndege ije ituchukue na kwa kuwa waziri wa mambo ya nnje alikuwa nchini Marekani basi yeye ndo alipewa jukumu la kutusafirisha hadi Tausi. Tulipiga story nyingi sana na Erick ilikuwa siku ya furaha sana kwangu pamoja na kupitia machungu yote yale nilistahili kufurai. tulienda kulala na ilipofika asubui na mapema tuliamka tukisubilia gari ije kutuchukua,

Gari ilipofika Erick alituaga na kuanza safari ya kwenda kupanda ndege airport. lakini nilishangazwa na sehemu tuliyokuwa tunaelekea kwani haikuwa ni airport bali ni porini, mara gari ikasimama tukalazimshwa kushuka. sikuamini macho yangu alikuwa ni waziri wa mambo ya nje Mh Bernad Mjuni amesimama mbele yetu na kutoa amri kwamba tufungwe kamba na tupeleke kwa polisi wa marekani tukajibu mashtaka………





































SEHEMU YA SITA
BINTI WA RAISI

Tausi uchaguzi ulikuwa unaelekea ukingoni huku chama cha mapinduzi kikiongoza katika harakati ya kuingia ikulu, Japo Mh MAHMOOD alikuwa ana kila dalili ya kurudi ikulu lakini hakuwa mtu mwenye furaha hata kidogo huzuni ilimjaa akikujua kuwa mwanae hayuko salama na kila time anayopoteza mwanae anazidi kuangamia aliapa akiwa rahisi ataenda mwenyewe kumsaka mwanae popote pale alipo…

Erick akumuacha james hivi hivi alimuwekea tracking device so alishangaa kuona route imebadilika na wanaelekea mahali pasipojulikana aliamua kuwafuatilia ili ajue wanaelekea wapi alipigwa na butwaa kuona waziri wa mambo ya nnje akitoa amri James na Aisha wafungwe na wapelekwe kwa jeshi la marekani. Erick hakujua kuwa Aisha ni mtoto wa raisi lakini hakuwa radhi kuniona mimi rafiki yake nikifa mbele yake.

Tulipakiwa ndani ya gari tena Na kuanza safari ya kuelekea Kwa jehi la marekani nilishangazwa Na kitu ndani ya shati langu kuchungulia nikaona kitu Kama kinawaka taa nyekundu daah nikajisemea moyoni huku nikionyesha tabasamu “Erick is crazy”. Aisha alipigwa Na butwaa kuona natabasamu huku tukikabiliwa Na hatari kubwa mbele ya USO wetu nikamkonyeza Aisha nikimpa ishara ya Itakuwa sawa usijali sana.

Ghafla gari ilikuwa inatu sindikiza kwa nyuma ililipuliwa na risasi zilianza kusikika, nikamkonyeza Aisha kwa pamoja nilimpiga mlinzi aliyekukwa karibu name na Aisha nae alifanya ivo ivo na kuchukua na bastola yake na kumwambia dereva “pull over or else il kill you” akasimamisha gari na Erick alikuja na gari yake na kuondoka zetu.

Siku ya uchaguzi ilikuwa imewadia hakukuwa na mambo ya kutisha kama ilivotabiriwa, hali ilikuwa shwari sana maeneo karibia yote, Jioni ilipofika maeneo mengi yalikuwa yalikuwa yakitoa matokeo kwa kweli DP (DEMOCRATIC PARTY) alikuwa anaongoZA sehemu mbali mbali walichukua majimbo mbalimbali lakini CP bado alikuwa anaongoza kwa kuchukua majimbo.

Siku zilipita bila kujua raisi WA Tausi ni nani, huku maeneo yote ya Tausi yakiwa yameshatangaza wabunge wake. Siku ya tatu CP ilitangazwa mshindi Na mh MAHMOOD akawa raisi tena wengi walitabiri ivo lakini hakuna aliyejua nyuma ya pazia nini kilikuwa kikiendelea.

Siku ya pili ya uchaguzi CP waliona kuwa DP wanaongoza kwa hiyo walichoamua ni kuingiza kura zao za bandia na kuzichanganya zihesabiwe hivi ndipo raisi MAHMOOD aliporushwa tena madarakani

Wengi walihusika katika wizi huo na walihadiwa sehemu mbali mbali katika serikali kuu pia na uingereza na mrekaniwalihusika kwa asilimia mia moja katika wizi huu, unaweza kujiuliza kwanini marekani walihusika wakati wao ndio wanaohusika na kumsaka mototo wa raisi wakishilikiana na DP (DEMOCRATIC PARTY). Marekani walikuwa wakimuhitaji Aisha kwa aajili yaku negotiate na raisi kupata mradi wa uranium na DP (DEMOCRATIC PARTY) walikuwa wanataka kumdhoofisha MAHMOOD ili asishinde so wote walikuwa na one enemy wakiwa na malengo tofauti, Baada ya kuona kumkamata Aisha inashindikana kwa hiyo wakaamua kuisaidia CP ili waweze kushinda lakini kwa kutaka mradi wa uranium…

Walifika tena Erick, akawaacha wenyewe ye akaondoka zake. Zilipita siku nyingi toka Aisha na James waongee so ulikuwa mda mzuri wao kuongea.

Aisha: James Asante kwa yote

James: Asante Na wewe pia.

Aisha: Erick nimefikiria Sana tena Sana now I know what I said back then sikusema kimakosa I really love you James

James: My mission is to protect you and not fall in love with you.

Aisha: I don’t care what you have to do I love you.

Aisha aliinuka Na kunisogelea kasha akaja mdomoni mwangu na kuanza kuninyonya mate mi uzalendo ukanishinda nikaanza kujibu mapigo mwisho tukajikuta tuvunja amri ya sita…





















SEHEMU YA SABA
BINTI WA RAISI

Mh Raisi Jakaya MAHMOOD anarudi tena madarakani huku akiwa Na mzigo wa ahadi kibao kutokana na watu waliomsaidia kurudi ikulu. Marekani ndo anakuwa mtu WA kwanza kukumbushia ahadi yao ya mradi wa uranium na mwingereza akitaka mradi wa gesi Mtwara.

MAHMOOD anagoma katu katu kuachia miradi hiyo mikubwa ya nchi ya Tausi, Marekani anashikwa na Hasira na kutaka kuanzisha vita baina ya Tausi na Marekani so kwa kubwa wanawatuma ma FBI kumi waje kuchunguza Tausi kuanzia mipaka hali ya usalama na hali ya jeshi la Tausi. Pia marekani inaongeza nguvu katika kumsaka mtoto wa raisi ili iwe raisi kwao kumshinikiza Raisi MAHMOOD aweze kuwaachia Miradi hiyo mikubwa ambayo nchi zote kubwa zinaitolea macho. Fbi wanatangaza hali ya hatari na kuanza kazi ya kumsaka Aisha popote halipo akiwa hai na mwingereza nae anajiunga katika harakati za kumsaka Aisha.

Wengi wanajiuliza marekani ni nchi kubwa duniani na wanaweza kuipiga Tausi muda wowote wanaotaka sasa kwanini waliamua kutumia mtu kuweza kufanikisha azma yao na sio kuipiga Tausi, jibu ni kwamba Raisi MAHMOOD alikuwa tayari ameshaendelea katika technologia ya nyuklia na tayari Tausi ilikuwa inamilikwa vyungu kumi vya nyuklia kwa siri kubwa na hakuna alikuwa akijua hili jambo zaidi ya wakubwa wa polisi wapelelezi (Mashushushu).

Raisi aliitisha marekani kama wakijaribu kuja kuipiga Tausi ataiangamiza marekani nzima kwa nyuklia kwa hiyo marekani hakuamua kufanya haraka na kuamua kutuma watu wake waje kuchunguza hiyo nyuklia na wengine kumsaka Aisha mtoto wa raisi


Aisha alikuwa chini yangu kitandania akilalamika unaniumiza unaniumiza haikuwa raisi kwake kwani ndo mara yake ya kwanza kukutana kimwili na mwanaume, nilipogundua kama Aisha Bikra nikaamua kwenda Taratibu hili sote tufurai na sio iwe mateso kwa mwenzangu. Haikuwa mechi ndefu kwa sababu mwenzangu alikuwa mwanafunzi kwa hiyo nilimuacha apumzike baada ya kazi nzito aliyoifanya, kwa kweri Aisha alikuwa amechoka na ukichanganya na maumizu dah alikuwa kama gunia maana alivojilaza kwenye kitanda alisahau hata kuoga, na mimi pia ikabidi niende kulala kwani nilichoka sana ukizingatia mambo tuliyokutana nayo mchana hakuna ambaye asingetaka kupata usingizi angalau hata kwa siku moja.

Tukiwa tumelala nikajisikia kama nahitaji hewa, ikanibidi nitoke nnje nipate hewa kidogo nilikaa nnje kama nusu saa hivi na kuona usingizi unakuja kuja so nikaamua kwenda tena ndani kulala, lakini ile naingia ndani tu nashangaa kuona kitanda kitupu na hakuna hata alama ya Aisha, nilizunguka huku na kule kumsaka lakini sikuweza kumuona sikuchoka kumtafuta pia sikufanikiwa , ikabidi nimpigie simu Erick nijue kama amemuona lakini anasema hajamuona na kusema anakuja haraka kujua kinachoendelea, Baada kama ya dakika kumi Erick anaingia na kuniuliza kwani imekuaje na mimi kwa haraka naanza kumsimulia.

Erick: usijali tutampata tu, alafu humu ndani kuna security camera lets check labda tutapata any lead

James: yeah let’s do it.

Wanaingia server room na kuangalia ile footage ya ile room Erick alicheka sana alipokutana na picha ya James akifanya mapenzi na Aisha mwishowe wanakutana na kipande cha video kikionyesha Aisha akiangaika lakini hatuoni anahangaika kwa sababu gani mwishoni tutaona akiwa amebebwa na video inakata kuashiria somebody tempered with the camera. Kazi inaanza upya ya kumsaka mpenzi wangu na pia mtoto wa Raisi na kazi hiyo ikifanywa na marafiki wa muda mrefu mimi na Erick….
















SEHEMU YA NANE
BINTI WA RAISI

Tulifanikiwa kupata sura ya Yule jamaa aliyemchukua Aisha japo haikuwa nzuri sana lakini kutumia software ambazo Erick amezibuni tuliweza kuifanya ile picha ionekene vizuri kabisa kasha tukaingia kwenye data base ya FBI tuone ka tutapata kitu kuhusu Yule mtu tulifanikiwa kupata data zake lakini baada ya muda tukashangaa kuona all his data were erased sikushtuka sana maana nilijua tu walikuwa wanataka kumtengenezea identity mpya…

Jamaa aliyemchukua Aisha alikuwa ni mwanajeshi wa marekani ivyo moja kwa moja tukajua kuwa marekani ndio waliomchukua Aisha, kama ilivyokuwa ahadi nikiwa salama nitawasiliana na mkuu wa jeshi la Tausi lakini usalama haukuwapo tena ikabidi niwasiliane na mkuu na kumjulisha yote yaliyotokea mkuu akaniambia aniongezee watu lakini mimi nikakataa nikijua kuwa kuongeza watu kutahatarisha maisha ya Aisha.

Kazi ilikuwa ngumu kumsaka Yule jamaa lakini kwa kuwa picha yake tulikuwa nayo haikuwa ngumu, tulimsaka sehemu mbali mbali lakini mwishowe tukakutana na familia yake na baada ya kuongea na mkewe akatuambia kuwa mumewe alishakufa miaka miwili iliyopita katika vita ya Iraq. Kwa kuangalia macho ya Yule dada nilijua kabisa alikuwa anatudanganya hivyo ikabidi tuage lakini tulipofika nje nkamwambia Erick kuwa Yule dada alikuwa anatuficha kitu Erick anashauri tukae nje tusubili tuone kama kuna kitu kitatokea, kwa mbali tunamuona Yule dada anapiga simu kama kawaida yangu nilikuwa tayari nimeacha listening device kwa hiyo tukasikia yote aliyokuwa akiongea akimwambia mumewe wale watu wamekuja kukutafuta mumewe akamwambia awachukue wanae na waende kwa mama yake wakaishi huko kwa muda bila kupoteza muda naitrace ile simu na kufanikiwa kupata location ya Yule jamaa pia tunacheki picha za satellite na kumuona alipo haraka sana tunaanza safari ya kumfata Yule jamaa.

Tunafika eneo alilo Yule jamaa na kuanza kumsaka lakini wakati tunaingia tunapishana na gari SSSSSSinatoka moyo unanidunda sana lakini hamu yangu ilikuwa Yule jamaa atuonyeshe Aisha yuko wapi, tukaingia ndani na kukuta Yule jamaa akiwa peke yake akutupa tabu sana maana mimi na Erick hakuna aliyekuwa anaweza kusimama na sisi haraka tukaanza kumuuliza maswali

Me: where is the girl?

Jamaa: what girl?

Mateso yanaendelea

Me: where is the girl?

Jamaa: I don’t know

Mateso yanazidi Erick alikuwa ameshinda kisu akimtoboa macho

Jamaa: ok ok ok iwill tell you

You av just missed her coz she was here and they came to take her earlier.

Dahh moyo uliniuma na kujilaumu laity ningejua lile gari lilikuwa limembebe Aisha kingenuka. Tunaachana na Yule jamaa na kuanza kumsaka Aisha upya nachukua computer na tuna hack FBI system na kuzijua safe house zote pia tunacheki camera za safe house zote na kufanikiwa kuona Safe house ya MIAMI gari tulilopishana nalo lilikuwa limewasili kama masaa mawili yaliyopita, Safari ya kwenda Miami inaanza kwenye ile safe house kwanza tunapitia nyumbani kwa Erick na kuchukua bastola na risasi za kutosha na kwa kuwa Erick alikuwa mtalaam sana wa kushuti kwa mbali alibeba rifle kwa kazi hiyo tu . kila mtu kwenye gari alikuwa na hasira sana Erick akijua anaenda kumuokoa mpenzi wangu mimi nikijua naenda kumuokoa mtoto wa raisi kwa kuwa Erick alikuwa amenisaidia sana na alikuwa mtu wangu wa karibu sana ikabidi nimwambie ukweli wote kuwa Aisha ni mtoto wa raisi jakaya na mimi nilipewa jukumu la kumrudisha Tausi akiwa salama Erick anashangaa sana lakini kwa kuwa nay eye ni usalama alinielewa mapema na kusema James your job is mine coz sisi ni ndugu.














SEHEMU YA TISA
BINTI WA RAISI

Tulifika MIAMI tukiwa tuna hari ya kutaka kumuokoa mtoto wa raisi, tulijjua kabisa kuwa lile eneo lilikuwa likilindwa kwa usalama wa hali ya juu lakini hatukujali kichwani mwangu alikuwa ametawala Aisha nikifikiria kama hakifa ntaishi bila yeye mwanamke ninayempenda pia nilikuwa nalinda kazi yangu.

Marekani pamoja Na uingereza pamoja walikuwa tayari washapanga mipango ya kumtumia Aisha katika plani zao pia walituma ujumbe Kwa Raisi Kama anataka Tausi ijue Kama Aisha ni mtoto wake akatae hilo dili pia kama akikataa Aisha atauliwa mbele ya waTausi wote wakishuhudia.

Raisi MAHMOOD alikuwa hajui afanye nini akaamua kuwasiliana na mkuu wa majeshi ampe ushauri lakini mkuu wa majeshi aliweka maslai ya nchi mbele na kumwambia kamwe asithubuku kuwapa marekani, Generali anazidi kumchanganya Raisi na atamuachia mungu amsaidie mwanae kwani mikono yake imefika mwisho awezi kumsaidia kwa hilo.

Nikiwa katika harakati za kujua ni jinsi gani twaweza ingia katika safe house aliyoko Aisha simu yangu inaita alikuwa ni mkuu wa polisi Juma Said akinipigia simu alinipa maelekezo kuwa tufanye kila tuwezalo tumuoke Aisha mikononi mwa marekani kwani Raisi awezi kumsaidia kwa mimi sikuweza kumlaumu Raisi kwani pamoja na kuwa baba wa Aisha MAHMOOD ni baba ya waTausi wote kwa hiyo awezi fanya maamuzi yatakayoumiza waTausi mwishi Mkuu akaniambia niongee na mtu, Nilishtushwa na sauti y upole iliyojaa huzuni ikiniambia naomba ufanye kila unaloweza umuokoe mwanangu kijana na nakuahidi makubwa ukifanikiwa hilo naam alikuwa ni Raisi akiongea na mimi nilijibu kwa unyenyekevu sawa mkubwa.

Tulianza mishe za kuingia katika ile safe house lakini cha kwanza tulichofanya ni kucheza na zile camera hadi tukafanikiwa kuziongoza sie zile camera pia tulifanikiwa kupata full control ya ile nyumba remotely, Erick akabaki nnje akinielekeza alipo Aisha mimi nikienda ndani kumuokoa mpenzi wangu. kwa kweli mzungu wa ajabu ile nyumba ilikuwa ikilindwa kutumia system tu hakuna mlinzi aliyehusika kulinda ile sehemu kwa hiyo sie baada ya kufanikiwa kucheza na system ilikuwa raisi sana kuingia nilipofika ndani nikamkuta Aisha akiwa mzima bin salimin ile namfungua tu kwenye sehemu aliyokuwa amefungwa alarm inaanza kulia.

James: Erick whats wrong?

Erick: I don’t know najaribu kufix hapa but inaonekana wameshagundua kama tumeingia humu ndani na wapo njiani wanakuja coz I can see them through their system na jinsi wanavyokuja you better hurry coz waweza fia humo humo ndani

Nilipomaliza tu kuongea Na Erick nikashangaa milango haifunguki na baada ya kuhangaika sana Erick akatuambia kuwa wameshafika na wanataka kulipua jengo zima wanaongea kidogo alafu mawasiliano yanakatika james akiwa ndani na Erick nje na pia jeshi la marekani likiwa limezunguka nnje pale. Wakati jeshi la marekani likiwa linajiandaa kuingia ndani mule walishtushwa Na mlipuko mkubwa Sana jengo zima lilikuwa likiteketea Kwa moto……









































SEHEMU YA KUMI
BINTI WA RAISI

FBI, INTERPOL, SWAT TEAM Pamoja na jeshi la polisi la marekani walibaki nje wakiwa wameduaa wasiamini kinachotokea mbele yao jengo lilikuwa likiteketea kwa moto. Vikosi vya kuzima moto Na Ambulance zilijaa eneo la tukio wajirabu kumtafuta Aisha hata wapate mwili wake tu lakini hawakufanikiwa Kwa hilo walisachi kina kona ya jengo lakini hawakufanikiwa kuupata mwili wake.

Huku jeshi la marekani wakiamini kuwa Aisha na aliyekwenda kumuokoa wameungua ndani ya moto huku Erick na James pamoja na Aisha walikuwa salama bin salmin najua wajiuliza why, ngoja nikueleze.

Wakati Erick akiangaika kuhack tena the system ili aweze kufungua milango alifanikiwa dakika za mwisho na kufanikiwa kufungua secret passage ambayo ilitupeleka mpaka Seamans park tukasogea mpaka Fisher Island afu tukaingia pale Miami Beach kule Erick alikuwa na Apartment tukafikia hapo tukaa tukipanga jinsi ya kurudi Tausi maana maisha ya kuhangaika yalikuwa yamenichosha, kwanza kabisa ilinibidi kupiga simu Tausi kwa mkuu wa jeshi la polisi kumjulisha huko kila mtu alikuwa amekaa akitafakari Mambo yatamalizika vipi huku wakiomba tufanikiwe kumuokoa Aisha so simu ilivoita moja kwa moja raisi aliikimbilia na kuanza kuongea kwa haraka vipi mnaendeleaje huko? , mwanangu mzima?

Nikamjibu kwa Tabasamu everything is alright and Aisha yuko sawa sawia hana hata kovu but naomba utusaidie tuweze kurudi Tausi. Raisi akajibu mkiendelea kukaa kwenye ardhi ya marekani hapo siwezi kuwasaidia cha msingi nendeni Canada huko mtapata msaada kwa mtu mmoja anaitwa jones Peterson mkifika mwambieni mmetumwa na dogo kutoka Tanznia hilo ndo jina langu wakati niko shule so atawajua and remember Dogo it’s a code ukifanya ujinga wowote mmekufa hapo hapo Jones si mtu wa kuchezea hata kidogo. Erick akanifafanulia safari tuliyokuwa nayo kufika Canda inatubidi tupitie Aventura alafu Holywood kasha Fort Laurdedale hapo tutakuwa tumeingia Canada hapo tulipofika kulikuwa hamna siri tena ikanbidi nimface Aisha nimwambie ukweli kuwa mimi nimetumwa kuja kumlinda na kumrudisha Tausi salama, Aisha alikasirika sana kwani aliamini kuwa mimi ni mwanaume wa maisha yake lakini kumbe ni mfanyakazi wa baba ake nilimwambia kuwa pamoja na mimi kuwa mfanyakazi wa baba ake but sikutegemea kama ningempenda na ninampenda kweli a bado penzi langu liko pale pale Aisha hakuamini lakini haukuwa muda wa kubembelezana tena nikamwambia tuondoke tuendelee na safari.

Erick alisema hapo ndoa mwisho wake nay eye inambidi arudi kwenye kazi yake so akaatuag a na kututakia safari njema.

Tuliondoka na Aisha huku bado akiwa na hasira na mimi lakini sikujali zaidi nilijali usalama wake tukapanda boti pale nakumbuka ilikuwa saa saba usiku hivi nakuelekea Canada kupitia Holywood.

Usa walichukia sana kumkosa Aisha hivo walikuwa na mipango mingine now kumfanya James ni Gaidi na anatakiwa katika mahakama ya kimataifa ICC kujibu mshtaka na yuko Tausi so wanataka kutuma jeshi wakamtafuta.





















SEHEMU YA KUMI NA MOJA
BINTI WA RAISI

Tuliingia Canada mida ya usiku sana ikatubidi tulale kwanza Aisha bado alikuwa na hasira na mimi so akaniomba tuchukue room yenye vitanda viwili, unajua Aisha pamoja na kuwa na hasira na mimi but alikuwa ananipenda sana so nkashangaa usiku anakuja kitandani kwangu akiwa hana nguo hata moja akaingia kwenye shuka na kujifunika kasha akanikumbatia na kusema James I love you sana hata nifanyaje siwezi kukuacha tulialala tu bila kufanya chochote na ilipofika alfajiri ikatubidi tuanze safari ya kwenda kwa Jones Peterson safari ilikuwa fupi sana kwani alikuwa anaishi karibu tu na border ya marekani tulipofika kulikuwa hamna tuligonga sana mwishowe kuamua kuingia ndani kufika ndani tulishtushwa na kuonyeshewa bunduki huku tukiulizwa Wewe ni nani?

Me…dogo ametuagiza tuje kwakoJones…

oh you must be James and you Aisha right

Me and Aisha…yea

Nimeandaa kila kitu kesho asubui ndo mnaondoka so mtalala kwangu leo, mtapanda ndege hapa mpaka Amsterdam then from there mtaenda Dubai afu ndo mtaenda Tausi msijari hawawezi kuwagundua jinsi ntakavyowabadilisha.

Nililala kwa furaha sana siku hiyo nikijua mateso yameisha narudi Tausi nyumbani kila nilipomtizama Aisha alikuwa ni mtu wa kutabasamu tu, kwa hata ingekuwa wewe lazima ungefuarai tu ukizingatia mambo tuliyopitia ni makubwa sana.

Ilipofika asubui ikaanza kazi ya kutubadilisha tukapigwa picha fasta na hapo hapo paper zikatengenezwa tiketi zilikuwa tayari so tukaenda zetu uwanja wa ndege na kuelekea zetu Tausi.

Taarifa zilifika katika jeshi la marekani kuwa tumepanda ndege tukitaka kutoroka kutokea Canada but hawakuweza kutupata pamoja na kukagua sana mwisho wa siku walipanga kulipua ndege na kusingizia magaidi ndo wamefanya hivo. Mipango ilikuwa ishaiva ilikuwa inasubiliwa ndege iingie zone ya bahari ndo walipue.

Kwenye ndege mimi na Aisha tulikuwa watu wenye furaha sana kutoka katika ardhi ya wamarekani, ndege ilikuwa inakaribia Amsterdam nkaomba kuingia chooni wakaniambia ndege karibia ina land so nifanye haraka nafika toilet nakuta bomu limebakia dakika kama kumi kulipuka nkashtuka sana so haraka nikamuwai Aisha.

Watu walijaa katika uwanja wa ndege wa Uholanzi katika jiji la Amsterdam wakiwasubilia ndugu na jamaa zao but walishtushwa na mshtuko mkubwa mbele ya macho yao hawakuamini hata kidogo ndege ilikuwa katika process ya kuland ikaripuka hapo hapo na ilikuwa inateketea kwa moto na kwa jinsi ilivyokuwa inaonekana hakuna uwezekano wa mtu kuepuka moto ule…
























SEHEMU YA KUMI NA MBILI
BINTI WA RAISI

Katikati ya bahari tukiwa hatujui wapi kwa kuelekea tukiwa na maboya tu ukiangalia kule sioni mwisho wala sioni mtu pembeni yangu niko peke yangu katikati ya bahari ndo akili ikanjia kuwa nilikuwa na mtu ambaye ni Aisha nkaita sana hadi sauti ikankauka but wala sikupata jibu kwa mbali nkaona kama kisiwa hivi ikanbidi nianze safari ya kujisogeza karibu na kile kisiwa nkafanikiwa kufika pale na ile nimefika nchi kavu tu nkazungukwa na watu kibao ambao hata siwaelewi walikuwa wamevaa kiajabu pia waliongea lugha ambayo sikuielewa.

Dunia ikiamini kwamba james na aisha wamekufa na marekani akimframe Mwarabu kwa kulipua ile ndege watu walijaa sana katika ile ndege but katika uchuzi wao watu wawili hawakuonekana na blackbox ilithibitisha kuruka kwetu kabla ndege haijaripuka so marekani akaongeza ulinzi katika kile kisiwa ili waweze kutupata

Tausi hali so shwari kwani kila kukicha marekani anafanya kila awezalo aweze kumiliki uranium na mafuta yaliyopatikana Tausi na nguvu zao zote zilikuwa kwa Aisha mtoto wa raisi lakini wamemkosa so wanatishia kuingia vitani kuiteketeza Tausi wakidhani Tausi ni lele mama kama ya zamani wasichokijua Raisi MAHMOOD anatengeza nyuklia kwa siri na alikuwa tayari anavyungu kama kumi na viwili vingi vikiwa Arusha.Hali inazidi kuwa mbaya Raisi anatangaza hakuna raia wa marekani kuingia Tausi na marekani anatangaza vikwazo vya kiuchumi kwa Tausi but Tausi anapata support kubwa kutoka kwa nchi za kiafrika pamoja na Russia,china,german pia korea walikuwa wanaiunga mkono Tausi bega kwa bega so Tausi bado inaendelea kuwa imara pamoja na vikwazo vya marekani.

Erick alipoona kwamba ndege imeripuka haraka sana alichukua boti yake yenye kasi sana hadi shemu ambayo inasadikika kwamba tulirukia na kuanza kututafuta Erick pamoja na kuwa agent wa Tausi pia ni polisi wa marekani so ilikuwa raisi sana kwake kuruhusiwa katika hilo eneo kwani lilikuwa linalindwa balaa.

Nilichukuliwa na wale jamaa na kupelekwa nisipokujua but nilishangazwa na kumuona Aisha akiwa naye yuko huko moyo wangu ulilipuka kwa furaha sana na kwa mbali nkamuona Aisha akitabasamu, nikapelekwa sehemu nkafungwa afu nkashangaa kuona wale jamaa wanapiha ya aisha ikiwa imewekewa lile donge nono la mtu atakayempata niliamini mwisho wet undo umefika hapo hapo.

Baada ya kutafuta sana Erick anaona kisiwa so anaamua kwenda huko na kuanza kuonyesha zile picha na wale jamaa wanamleta kwetu na Erick anawaahidi kwamba donge nono lao litafuata baada ya sisi kukabidhiwa kwa polisi tunamchukua Aisha haraka tunampa huduma ya kwanza na haraka tunaondoka zetu.ilibidi tena tusiende Holland bali twende spain afu tuingie afrika huko tunaweza kusalimika maana kila nchi inaisupport tanzani safari ikaanza wale tukondoka zetu tukafika spain mida ya saa tatu za usiku so ikatubidi tupumzike kwanza Erick alienda kununua madawa tukamtibia Aisha tukauweka mguu sawa ili usiwe unacheza.

Usingizi haukuwa mtamu sana siku hiyo maana wote tulikuwa twawaza je kesho tunaweza kuingia Afrika, asubui inafika safari inaanza but ikawa ngumu sana kupitia majini so tukaamu tupitie jangwani safari ilikuwa ndefu sana lakini mwishowe tukaingia Rabat morocco pale baada ya siku mbili tukiwa salama fasta aisha tulimpeleka hospital na tuka[iga simu Tausi na Raisi alifurai sana akasema chukueini ndege yoyote iwalete Tausi so Aisha alivotoka tu kwenye matibabu tukampakia kwenye ndege na kwenda Tausi.

Safari ilikuwa ya rah sana kwani kw amara ya kwanza ilikuwa ni safari ambayo haina misukosuko na tukafanikiwa kuingia Tausi salama bin salmin, tukapokewa na watu wengi sana watu wakiamini sisi ni mashujaa tulioweza kutoroka marekani pasi kujua kuwa Aisha ni mototo wa Raisi.Baada tu ya aisha kuingia Tausi anapelekwa kwenye hospital private na huko wanamfanyia na vipimo vingine.

Nafanikiwa kupewa upolisi kamili na kupewa cheo ha juu sana na kazi yangu inakuwa kuhakikisha production ya nyuklia inaendelea bila matatizo yoyote. Baada kama ya siku tatu raisi anagundua kuwa aisha ni mjamzito na anapomuuliza aisha anasema mimba ni ya James Raisi anakasirika sana na kuapa kumfanyia kitu mbaya sana Aisha na Aisha anapigwa marufuku kutoka nje.













SEHEMU YA KUMI NA TATU
BINTI WA RAISI

Ilikuwa ni jumapili Asubuhi James alipokea Bahasha kutoka kwa Raisi ndani kulikuwa na Barua ikimuamuru Aende Iraq akasaidie Jeshi lTausi, kwa kuwa James hakuwa mwanajeshi alishangaa sana kuona kitu kama kile kinatokeaa lakini hakuwa na jinsi Amri imetoka kwa raisin a kukataa ni kosa la jinai adhabu yake ni kifo. Baru ilimuamuru James aondoke haraka pindi atakapopata tu Barua, james hakutaka kuondoka bila kumuaga Aisha so akawa anaenda kumuaga Aisha nyumbani kwake anafika nyumbani kwa Aisha anashtushwa na kukuta hamna mtu ang ghafla wanakuja watu kama sita hivi wamevalia suti nyeusi naamu niliwatambua kuwa ni maafisa upelelezi maana ndo kazi yangu hiyo wakanambia wametumwa kuja kunichukua, nikakubali nikaondoka nao nikapelekwa Jeshini nikakabidhiwa kila kitu tayri kwa safari ya kesho kuelekea Iraq kulinda Amani.

Raisi Mazanda alitoa amri kua nikifika tu Iraq wanajeshi wenzangu waniue wasingizie nimekufa katika shambulio la waasi wa Iraq, mimi japo sikuwa moyoni mwa raisi nilijuafika nini alichopanga raisi kunifanyia so na mie nkawa na plan zangu kichwani

Kesho ikafika tukaanza safari ya kuelekea Iraq tukiwa ndani ya ndege ya kijeshi,hali ya Iraq haikuwa nzuri wakati kwani waasi wallikuwa wameteka karibia nusu ya Iraq jiji la Baghdad lilijaa askari wa waasi kuanzia Al-jaheeda, Ghazaryal, Al-ubaid, dora , scade city kote kulikuwa kunalindwa vikali na wanajeshi wa waasi so tukaepuka kushukia A-Rasheed Airport badala yake tukaamua kushukia Baghdad Airport tukapitia Jihad kwenda Khadra kisha Abu-Ghraib ili tutoke nje ya jiji la Baghdad tukajipange vizuri tuliweka kambi Al-Ghraib mpakani kabisa mwa nchi ya Iraq na Syria maana hapo ndo palikuwa salama , siku hiyo ilitubidi tupumzike kabla ya kuanza kazi kesho yake.

………………………………………………………………………………………………

Aisha anaishi aisha yasiyo ya amani wala raha baba yake mzazi anaamua kumuweka ndani ili tu asiwasiliane na James kipenzi chake, Aisha anaamu kumpigia simu mama yake anayeishi Italy na kumwambia kila kitu na harka mama yake anakuja Tausi kumchukua mwanae, mama yake Aisha anamtishia Raisi mazanda kama asipomruhusu amchukue mwanae kila mwanaTasusi atajua kuwa Aisha ni nani so Raisi anakuwa hana jinsi zaidi ya kumwachia Aisha aondoke na mama yake, Aisha anaenda kuishi na mama yake Italy, huko anaahidi akijifungua tu lazima akamtafute mpenzi wake Iraq.

…………………………………………………………………………………………….

Kesho yake ilifika tukaingia kwenye magri tayri kwenda kulinda amani Baghdad mji mkuu wa Iraq, kichwani bado nilikuwa na mipango yangu ya kutoroka so nilijiandaa ipasavyo lakini nilishtushwa na gari nililopanda mimi likiacha wenzake na kuelekea nisipopajua hatukutembea sana gari ikasimama na kuamriwa wote tushuke tuliposhuka tukaona kwa mbali magai yanakuja dah sikuamini macho yangu walikuwa ni wamarekani walipokaibia tu wenzangu wote wakanigeukia na kunionyesha bunduki wakiniambia nisijarbu kufanya lolote maana ntakufa hapo hapo sikuwa na cha kufanya wale jamaa wakanikabidhi kwa wamarekani na kuniacha hapo.moyoni nilijua kabisa huo ndo mwisho wa maisha yangu na sitoweza tena kutoroka maana nikipelekwa marekani na wanavyonisaka kwa udi na uvumba lazima waniue tu.

Tuulitembea mwendo kama wa masaa manne hivi tukashuka then wakaniweka kwenye kagereza kamoja hivi nikisubiri watakachoamua, nilijikalia huku nikiwa na mawazo tele kichwani nashtushwa na mlio wa mabomu ilikuwa ikiendelea boom boom boom ghafla walinzi waliokuwa wananilinda wakauliwa wote akatokezea mtu akiwa amevaa maski akisema lets go we don’t have time to waste.,


















SEHEMU YA KUMI NA NNE
BINTI WA RAISI

Sauti ilikuwa nyembamba kama mrembo Fulani hivi lakini sikujua ni nani akavua maski na kuniambia fanya haraka John atatusubiri na gari nnje mama yangu sikuamini macho yangu kwani alikuwa ni mdogo wangu wa kike Jeny nilitaka nimuulize maswali mengi lakini sikuwa na muda ikabidi tuondoke tulipofika kwenye gari ndo nilizidi kushangaa kumuona mdogo wangu John faster nkaingia kwenye gari John akaondoka kwa spidi ya hatari.

Tukiwa kwenye gari nilikuwa na shauku kubwa sana ya kujua wamefikaje huku na wamepatia wapi mafunzo ya kijeshi, Jeny aliniambia kuwa baada ya Jeshi la Tausi kuwaokoa mkuu wa majeshi aliwachukua na kuwapeleka kwenye camp ya mafunzo ya kijeshi ngere ngere huko ndipo walipopata mafunzo ya kijeshi na mkuu ndo amewatuma waje kumuokoa kaka yao.

Erick alifurai sana kutoka kwenye mikono ya kifo lakini hakutaka wadogo zake wajiusishe na matatizo yake so akawaambia tukifika Jordan mtarudi Tausi mimi nitaenda nnapopajua maana sasa hivi mimi ni mwalifu hamfai kukaa na mimi, John akasema wewe ni kaka yetu hatuendi kokote bila wewe hata wazazi wametupa Baraka tuje kukuokoa so tutakaa na wewe hadi kieleweke, James akakubali kwa shingo upande.

Italy….

Aisha anaamua kuanza mpango wa kumsaka James popote alipo cha kwanza anachofanya anamtafuta Erick ili aweze kumsaidia kumpata James. Anafanikiwa kumpata kwa simu na wanakubaliana wakutane America then ndo wapande mipango yao.

Jordan…….

James anawaambia wadodo zake kuwa yeye anataka kufanya mission moja ya hatari sana kama wapo tayari waende wote kama hawawezi ndo muda wa kurudi nyumbani huo pia anawaambia kuwa inambidi aelekee USA wote wanashangaa maana wanajua akikanyaga ardhi ya USA lazima atakamatwa tu maana anatafutwa sana na USA anawatuliza hofu na kuwaambia wasijali kila kitu kipo katika mstari kinachotakiwa ni kufata tu mstari.

Kesho yake wanaboard ndege hadi USA, na baada ya masaa kadhaa wanafika USA but wakati wanakanyaga Ardhi ya USA James anakamatwa na askari wa huko but kabla hajaachana na wadogo zake anawaachia karatasi ikiwa na jina moja tu la ERICk, Jeny na John wanamkummbuka Erick so Hawakuwa na shaka ilibidi wamtafute Erik.

Nadhani wengi hatujui hata Aisha mwenyewe Hajui anayejua ni mkuu wa polisi na Raisi mwenyewe ili kumuondoa Aisha katika mission Raisi alilazimika kumkera mwanaye kwa kumuachanisha na kipenzi wake ili James aende kwenye Mission, Erick mwenyewe alikuja kujua alivokuwa kwenye ndege baada ya kuisoma vizuri ile barua coz yeye alikuwa anaisoma direct kumbe ilikuwa imeandikwa kwa mfumo wa code,

James anapelekwa katika prison amabayo ina ulinzi mkali sana na hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kutoroka wala kujaribu kutoroka,

Jame mission yake ni moja tu kwenda kumlocate mtalaam wa nyuklia wa kutoka Tausi aliyechukuliwa na wamarekani bila idhini yake akiwa mapumzikoni Ibiza Spain kasha amrudishe Tausi……….

Je, unadhani James atafanikiwa??





















SEHEMU YA KUMI NA TANO FINALE
BINTI WA RAISI

Erick alikuwa tayari alishapata ujumbe kutoka Tausi, Erick alikaa muda mrefu sana kama undercover agent na ilikuwa time yake kufanya kile kilichompeleka USA na Mkuu pamoja na Raisi wanakitegemea.

Muda mfupi tu Jeny na John wanampata Erick lakini Aisha nae anatokea kwa pamoja wanaunda timu ya watu wane jukumu lao ni moja tu kumtoa Erick pamoja na mtaalam wa nyuklia aliyetekwa pamoja na Familia yake everything was in order Aisha na Jeny wakapewa jukumu la kwenda kuichukua Familia ya Yule mtalaam wa nyuklia and John na mimi ilikuwa kazi yetu ni ngumu sana kwenda kubreak in kule Guantanamo bay na kumrudisha salama Erick pamoja na Yule mwanasayansi.

Aisha and Jeny…

Walifika nyumbani kwa Yule mtalaam wa nyuklia wakakuta walinzi ni wengi sana but kwa Erick tayari alikuwa na Security details zote za ile nyumba so ilikuwa like peace of cake, it was a mission ambayo Raisi aliipanga kwa muda mrefu sana ndo maana hata akamtuma James akamchukue mwanae Aisha ili wakifanikiwa USA wasipate sehemu ya kuanzia. Tulikaa out kama Dakika tano hivi tukisubilia John na Erick wafike kwanza tuanze mission kwa pamoja and tuweke timeframe ya kufanya ile mission.

Erick and John

Tulifika karibia na ile cell and ikatubidi tuwataarifu akina Aisha kuwa tumefika and its time to start the mission, its was like hit and run thing coz we had to do it quick and perfectly to avoid mistake and being caught. Me and my laptop and John na skills zake lakini sikusema ichi kuwa nilikuwa tayari nimegundua hardware niliioipa jina la Mwizi ambayo kazi yake ilikuwa ina uwezo wa kuzuia any electronics device kutokufanya kazi kwa muda flani ambao wewe umeamua so tukaideploy ile outside the cell and pia nika hack umeme wa mji mzima na nikazima mji wote pia ilikuwa rahisi sana sababu ni kitu ambacho nilikuwa najifunza kwa miaka mingi sana ili nije kukifanya. Tulikuwa watu wawili tu lakini ni kama Jeshi la watu mia.

Aisha and Jeny…

Tulisogea karibu tulikuwa tunajiamini coz tulijua kabisa no electronics device inayofanya kazi so milango yote itakuwa Raisi kufungua dah uwezi amini macho yako mtu na wifi ni hatare balaa walikuwa wanaua mmoja mmoja and kimya kimya until wakaingia ndani wanakutana na Yule mama na watoto wawili wanawaambia kwa Kiswahili ”hatuna muda wa kutosha tuondoke haraka” mama anawauliza “na mume wangu je” Aisha kwa haraka anasema don’t wory kuna watu watamleta tuondoke haraka kabla jeshi la marekani halijajua.


Erick and John

Ilikuwa Raisi sana kwani kila kitu nilikuwa nakontroo mimi so nilikuwa namuongoza John hadi akafanikiwa kuingia ndani kulikwa na walinzi watattu tu ndani maana kila kitu kilikuwa systematic and we killed everything faster nkamkuta James akiwa yuko hoi faster akaniambia nfungue faster twende tukamchukue , nkamfungua then hao hadi room kama ya nne hivi tukmkuta jamaa bado yupo kazini coz wao walikuwa wanabackup Generator we killed everyone and tukamwambia tuondoke haraka cha kwanza alimuwaza mke wake tukamwambia she is safe so lets go haraka

Tulikutana tulipopanga kukutana and nikamkuta Aisha na Jeny pamoja na wale watoto na mke wa Yule jamaa, nilimkimbilia Aisha nikamkumbatia. Nilifurahi sana tena sana lakini sikuwa na muda wa hayo mambo tukapanda helicopter faster hadi Mexico then kule tukapanda ndege hadi Ethiopia then hao hadi Tausi.

Tausi…

Sijawai kupokelewa na umati wa watu katika maisha yangu kama ule nashuka kwenye ndege tu napokelewa na Raisi kwa mbali nawaona wazazi wangu it was such an exciting moment coz ilikuwa miaka sijawaona al I did was mission nikawasalimia pale then kutoka nnje nakutana na umati wa watu kama million hivi, tuliandalia sherehe ikulu then Raisi aliridhia mimi kumuoa Aisha kumbuka kwanza kwa dini tulikuwa tofauti so ikatubidi tufunge ndoa ya kiserikali tuishi pamoja. Tausi ilikuwa ya amani tena.

Baada ya miezi nane….

Ilikuwa siku ya jumapili hivi Aisha anapatwa na Uchungu nampeleja Hospitali na nawataaifu ndugu zangu wote wanakuja Hospitali, tunkaa nnje ya chumba anachozalia Aisha na mimi nikiwa ndani lakini naitwa mara moja na Raisi kwenda kuongea nae nnje tunaongea sana inapita kama nusu saa ndo napatwa na wasiwasi mbona hawatoki, kuingia ndani nakuta Aisha Amezimia na hakuna mtoto wala daktari……





SEHEMU YA KWANZA
BINTI WA RAISI SEASON II

Ni usiku wa manane hakuna aliyekuwa hata na mwazo wap alipoenda mtoto wa James na nani amemfanya vile Aisha maana Aisha alizimia mpaka wakati ule na so tukawa hatuna jinsi ya kujua ni nani aliyemchukua Yule mtoto, Tukaanza na kumsaka Yule daktari pamoja na wakunga wake watueleze alipo mtoto but tunafika ofisini kwa Yule dokta tunamkuta akiwa amefariki huku hana hata Jeraha hata moja, tukaanza kazi ya kuwasaka wale wakunga tukaenda kucheki details zao kwa management na kukuta kumbe wale si raia wa Tausi walijitolea kutoa huduma kwenye ile hospital na walikuwa Raia wa Afighanstan, na kuwai kwenda Airport tunakuta walishafanya booking three weeks before na tayari walikuwa wameshaondoka.

Machozi yalikuwa yananitiririka, sikuwa na la kufanya Raisi alikasirika sana WanaTausi wote baada ya kujua kilichonikuta walifurika nje ya nyumba yangu na kuniwekea maua ya pole wengine walijaa ikulu kumpa pole Raisi. Nilirudi hospital kumchek Aisha alikuwa bado yuko vile vile daktari anasema Aisha alipata shock baada ya kumuona mwanae akichukuliwa huku yeye akiwa hana nguvu zozote zile za kumsaidia. Na tiba yake ilikuwa kumuona mwanae tu maana hata akiamka hali yake itakuwa vile vile hatoweza kuongea wala kufanya lolote. James alizidi kuchanganyikiwa alipopewa hizo habari lakini alikaza moyo konde na kuamua kuondoka zake na kwenda ikulu kujua atafanyaje ampate mwanae.

Walipanga na rais jinsi ya kwenda Afighanstan kumtafuta mwanae lakini kabla hawajaongea sana John anampigia simu na kumwambia brother relax we will do everting for you we muuguze shemeji na mimi na Jeny tayari tupo Afighanstan na pia Erick atakuja Kesho kuungana na sisi ili mradi tumpate mwanao, James anakubali kwa shingo upande na kuwaachia kazi wadogo zake na rafiki yake mpenzi,

AFIGHANSTAN….

Kazi inaanza ya kuwasaka wale manesi wawili waliondoka na yule mtoto na kazi ya kwanza inakuwa kuhack database ya Afighanstan ili nione kama ntawapata lakini naangaika bila mafanikio naamua kuxpand my search n analog in kwa FBI database and kumbuka mimi ni bado nilikuwa askari wa marekani so nilikuwa na access ya kuingia kwa database ya FBI but naandika majina yao na kutana na kitu TOP SECRET nashangazwa sana na naamua kuingia kiujanja ujanja kwenye CIA system na fanikiwa kuwaona but napigwa na butwaa kuwaona kuwa kumbe wale manesi ni BLACK AGENT wa USA kumbuka black agent ni balaa kwenye mission za hatari ndo uwaga wanatumwa wale ku neutralize hali so ikanibidi kwanza nitulie na kufikiria watakuwa wampeleka wapi na wamemchukua mtoto kwa sababu gani maana hadi BLACK AGENT wamehusika basi lazima litakuwa jambo la balaa.

USA…

Monica na kemberly wamafanikiwa kuingia USA salama wakiwa na mtoto wa Aisha moja kwa moja wanaenda hadi ikulu ya marekani na kumuonyesha Raisi, Raisi anatoa Baraka moja kwa moja mtoto anapelekwa mahabara kwenda kufanyia uchunguzi na kama walivodhania wanamkuta na chembe chembe za virus ambazo zinauwezo wa kuua karibia watu milioni na tabia za hao virus Carrier anakuwa salama na wanasambaa kwa kugusana. Marekani walijua toka mapema kuwa James anahao virus na walipanga kuwaextract toka kwenye mwili wake lakini walichelewa baada ya james kuokolewa kipindi kile so wakafanya juu chini wampate mtoto wake na watumie wale Virus kuiangamiza Tausi pamoja na Afrika nzima na wale Virus.

Wale Virus walkuwa ni hatari sana maana ukiguswa tu na mtu mwenye wale Virus ukitoa Origina Host hua wanajizalisha kwa kasi na baada ya masaa 72 mtu hufariki……

Wanaplan kuwapandikiza wale virus kwenye nyama ya kuku iliokuwa inakuja Tausi kutokea Houston.


AFIGANSTAN……

Erick anawaambia jenny na John kuwa hawana jinsi zaidi ya kurudi kwenye ardhi ambayo walikuwa hawatamani kurudi nchini USA kwenda kumsaka mjomba wao, kesho yake safari ya kwenda USA kama watalii inaanza.

Je, watampata mtoto,
Ok
 
Back
Top Bottom