Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Na wewe rekebisha basi hiyo 2011 au hii thread ni ya huo mwaka...!Mkuu, rekebisha hiyo tarehe. Ni 21.07.2011 na siyo 21.08.2011
vinginevyo uko sawa kabisa.
Na wewe rekebisha basi hiyo 2011 au hii thread ni ya huo mwaka...!Mkuu, rekebisha hiyo tarehe. Ni 21.07.2011 na siyo 21.08.2011
vinginevyo uko sawa kabisa.
Itakuwa wamekodi, manake kuna halmashauri nyingi hufanya biashara ya kukodisha baadhi ya magari yake..Mf. Maswa
Lete picha. Lakini inategemea ni video kwa ajili ya matumizi ya Ofisi husika. There is a need for more investigation on this!!
STJ na Halamashauri wapi na wapi? ingekuwa SM may be....
Wivu wa kike wa kijinga
Wewe kweli ni walewale Sasa unataka uchunguzi gani tena?
Mkuu na ww rekebisha ni 21.07.2012 na sio 21.07.2011..
Mfumokristo uko kazini! Ingekuwa niwaislam basi comment zote zingeelekea kwa Watu flani kwamba wanaleta udini! UDINI wenyewe ndio huo! Hii inatokana na Mfumokristo ambapo inaonekana sio tatizo kabisa. Jamani Mfumokristo unaifilisi hii nchi.
Mfumokristo uko kazini! Ingekuwa niwaislam basi comment zote zingeelekea kwa Watu flani kwamba wanaleta udini! UDINI wenyewe ndio huo! Hii inatokana na Mfumokristo ambapo inaonekana sio tatizo kabisa. Jamani Mfumokristo unaifilisi hii nchi.
Mleta mada ameweka wazi kwenye moja ya post zake kuwa yeye ni mkristo. Ufisadi hauna dini.
Gari ya serikali, Defender yenye usajili STJ 974 iko cocobeach imeleta wanakwaya ku-shoot video, imewaleta imewasubiri wamefanya shooting na sasa ninapoandika hii wanapakia mizigo yao kwenye gari tayar kwa safari ya kuondoka.
Haya ni matumizi sahihi ya haya magari?
hizi picha nilipiga kwa simu, na sikusogea karibu sana bse nilijua itaniletea dhurumai, lakini mnaweza kuona
View attachment 59430View attachment 59431View attachment 59432