STJ 4486 ya TRA inaongoza kuomba rushwa TAZARA na Chang'ombe traffic

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,139
Najua kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake..wah wa tra emu angalienm hili gari linawaaibisha..watwamechoka..wanakamatwa watu awana stika za rd lsc waanaishia kuombwa 30-50 alfu kutegemeana na ulitakiwa kulipwa ngapi...jamani wajinga wale wanavaa tai wachafu lakini majuzi nilimkuta mmoja pale changombe anahesabu maelfu ya alfukumi kumi

hivi mnasema pesa amna hata a kutengeneza barabara za babu jamani watu wamekondeana wanajaza maelfu kwenye hili gari

kamshna wa tra mtusaidie jamani huu upuzi ufe..mnapoteza sh ngapi
 
Mkuu ungejitahidi kuandika katika mtiririko wenye kuleta maana, inavoelekea ujumbe ni mzuri lakini uwasilishwaji kidogo haujatulia
 
pdidy unataarifa nzuri lakini uandishi wa taarifa zako ni ziro ebu tulia acha papara kama unafukuzwa.
 
Back
Top Bottom