Wanasheria wa JF,nisaidieni msaada wa kisheria.Hivi kisheria ni kosa kuendesha gari yenye fire extinguisher ambayo haijakaguliwa na watu wa FIRE na kupewa sticker?
hata wewe una kiherehere unaweka comment mbli zisizo na jibu muafaka unakurupuka kama unatumia masabri kufkri.kama serikali ipo makini na ao fire extinguisher makao makuu wanajua wajibu wao wapite maduka yote especial lumumba street wawapokonye wanaouza zile za maji wasiendlee kuziuza.waache kuish kiujanja ujanja mi ninayo iyo ya powder inamiaka mitano so am nt sure kama bdo ni mzima ninachofanya uwa nanunua stker akuna ukaguz wala nini nch inaendshwa kiujanja ujanja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.