Steven Kanumba Profile

pia CV yake inaonesha aliwahi kualikwa kwenye jumba la big brother Africa as a celebrity! na akaongea kidhungu kikali..
 
Nina mtazamo huu
kama mimi najiona kipanga siwezi mzunguzia kilaza.
Ukimzungumzia kilaza wakati wewe ni kipanga jua huyo kilaza anakunyima usingizi.
 
Kina Kanumba wanaogopa nini kuweka profile zao mezani wapenzi wa filamu zao wakawajua kiundani kama hawa mastar wa nje?

Mkisha jua kiundani mtapata nini?
Endeleeni kuangalia maigizo yake mburudike
 
Nimechungulia site zote hamna kitu....
Nadhani hiyo inaelezea zaidi ye ni msanii wa namna gani na management yake kama ipo.
 
Hahahahaaaa "THE GREAT" na 0 form6 hahahahahahaaaa! Ajiendeleze tuu tena nw hana haja ya kuxoma atoe kidogo apate cheti cha div1 serikali ya JK nikutabasamu tuu kama una vijisenti
 
Sio kwamba namtetea kanumba,la hasha,nimemaliza mwaka mmoja nae pale jite alikuwa hkl yeye na myamba,kanumba ana div 2
Hahahahaaaa "THE GREAT" na 0 form6 hahahahahahaaaa! Ajiendeleze tuu tena nw hana haja ya kuxoma atoe kidogo apate cheti cha div1 serikali ya JK nikutabasamu tuu kama una vijisenti
 
Sio kwamba namtetea kanumba,la hasha,nimemaliza mwaka mmoja nae pale jite alikuwa hkl yeye na myamba,kanumba ana div 2

Wewe utakuwa kanumba kama siyo then hawara yake Kijana we2 wa Kisukuma
 
0938
m
stephen kigina
16
iv
general-f physics-s chemist-s biology-d basic a-f
0939
m
stephen zacharia
10
ii
general-s history-d kiswahi-c english-c
0940
m
steven kanumba
12
ii
general-s history-c kiswahi-d english-e
 
0938
m
stephen kigina
16
iv
general-f physics-s chemist-s biology-d basic a-f
0939
m
stephen zacharia
10
ii
general-s history-d kiswahi-c english-c
0940
m
steven kanumba
12
ii
general-s history-c kiswahi-d english-e

Duuh..nadhani umemaliza utata wote wa division 0 sasa...#Umenyoosha!!
 
Kwa msanii ukimuuliza kuhusu elimu hapo ndo atakapochanganyikiwa kama mwanaume asiye na tohara anapokutakana na mwanamke asiyetaka kufanya mapenzi na wanaume wenye govi
Hii hapa. . . .
Info zaidi chungulia Kanumba, The Great


Steven Charles Kanumba (born January 8, 1984), is a multi award winning Tanzanian actor, with a career spanning more* than a decade. Kanumba has received numerous awards, including; Best Actor of the Year, 2006, Best Actor in Tanzania Award, 2007, Best Artist of the Year* Award, 2007/2008.

Kanumba began acting at an early age, acting in as many church plays as he could, until he had the opportunity after leaving school to act and train with the Kaole Sanaa Group and receive special training with Dr Nyoni at the University of Dar es Salaam which served as a* major stepping stone for his mainstream acting career.

Kanumba began his acting career with appearances in a host of local Tanzanian soap operas like, Jahazi, Dira and Tufani just to name a few. He then expanded his horizon by venturing into the film industry, his first movie being Haviliki,* which was just the beginning of great journey, for* “The Great”.

Not only is Kanumba a Tanzanian household name, but he's also acted in Nollywood (Nigeria) with some of the greatest names on the Nollywood scene which expanded his career and experience from just being a Tanzanian star to an African star with ambitions of acting in Hollywood.
Having achieved so much before the age of thirty, Kanumba feels that he's only just begun. He looks forward to a long and fruitful career in every area of* the film industry.

Not only is he a successful film star and producer, he is also very active in philanthropy. He has recently been named the OXFAM GROW ambassador for Tanzania.
*
Kanumba extends his love and gratitude to each and everyone that has helped along the way in his career; "first and foremost The Lord God, My Family especially my Mother, Chrissant Mhengga, Kaole Sanaa Group, Mr & Mrs. Mtitu G Game, Sharifa Kalala, Sanura Husein,* Vicent Kigosi, Producers, Directors, Artists, Friends and Loved ones and last but not least my fans all around the world".
 
0938mstephen kigina16ivgeneral-f physics-s chemist-s biology-d basic a-f
0939mstephen zacharia10iigeneral-s history-d kiswahi-c english-c
0940msteven kanumba12iigeneral-s history-c kiswahi-d english-e

Acha urongo wewe hayo majina mbona hayajafuata mpangalio wa alphabet kama NECTA wanavyopangaga?
 
Huo ni unafiki tu, na tatizo lingine kubwa wabongo ni kukurupuka mtu hujafanya utafiti kutafuta profile kwenye blog yake unaleta mada zisizo na kichwa wala miguu na kwa kuwa wabongo kwetu majungu ndiyo kazi wakaanza mara ooh hawana cha kuandika wewe unacho, na comment zingine ambazo ukizisoma kwa umakini utagundua kwamba watu wanataka kuandika tu. Weka profile yako wewe kwanza tuione acha maneno yasiyo na maana. Elimu yako haimsaidii yeye kama unaona wewe umesoma sana kushinda yeye basi mwache kijana wa watu.Fanya kazi mwaka mpya huu.
 
Kweli Kanumba kazaliwa 1984??? 1994 Alikuwa na miaka 10??? 2004 Alikuwa na miaka 20??? na kesho anatimiza miaka 28??? JESUS CHRIST!!!
 
Huo ni unafiki tu, na tatizo lingine kubwa wabongo ni kukurupuka mtu hujafanya utafiti kutafuta profile kwenye blog yake unaleta mada zisizo na kichwa wala miguu na kwa kuwa wabongo kwetu majungu ndiyo kazi wakaanza mara ooh hawana cha kuandika wewe unacho, na comment zingine ambazo ukizisoma kwa umakini utagundua kwamba watu wanataka kuandika tu. Weka profile yako wewe kwanza tuione acha maneno yasiyo na maana. Elimu yako haimsaidii yeye kama unaona wewe umesoma sana kushinda yeye basi mwache kijana wa watu.Fanya kazi mwaka mpya huu.

Afadhali umewaambia ukweli coz washageuza JF kijiwe cha majungu.Wapeleke majungu U-Turn kwa wenzao.Kuna wengine nimetoka kuwachana live wameanzisha thread ya kumuhusu Chalz baba kuchapia kingereza.Wabongo hatuendelei kutokana na hii tabia ya majungu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom