Steven Kajumulo

Ni nani aliyekwambia kuna mtu ambaye anahitaji huu upumbavu wako mpaka unasema tumuulize Mama yake? watu hovyo kweli kweli, ningekuwa mimi ni Rais wa nchi hii watu kama wewe ni wakutandikwa risasi au kunyongwa hadharani mpaka kufa.

This category of people ni mzigo kwa taifa na nchi hii kamwe haitokaa ipate maendeleo kama inaacommodate mijitu ya hovyo na mizembe kama huyu.
 
Sijaelewa sababu ya wewe kuandika yote haya ns mwenye shida ya kubisha ni nani? Pumba.com
 
"Face Book" kuna nafasi tosha za kuandika "status" zako zisiokuwa na mantiki. Hapo umepotea mlango!
 
Alikuwa aitwe Steven Kajumulo, baba yake na mama yake waliachana wakati hajazaliwa ndiyo maana baba yake wa kufikia hakuona umuhimu wa kuhudhuria mazishi, anaebisha amuulize mama yake. Mzee Kajumulo bahati mbaya alifariki miaka mitano iliyopita. Watoto wa kajumulo wanalijua hili na walikwisha fahamiana na ndugu yao, na walikuweko kwenye msiba....kwa wabishi muulizeni mama yake awafahamishe kuhusu ndoa yake hiyo ya kwanza iliyoleta watoto wawili.
Hacha pombe!
 
Huu ni ujinga uliopitiliza, kama hujui kitu kaa kimya, miye nimeoa kwenye hiyo jamii ya Kajumulo pale kibamba, huyo steven ni mdogo wake na Abela Kajumulo coz wamezaliwa na mama mmoja ila baba tofauti, familia ya marehemu mzee kajumulo ina watoto 7, wa kike 4 & wa kiume 3 ila steven si mmoja wao then mzee kajumulo hajafa miak mitano iliyopita kama ulivyodai.
 
Kama huna uhakika bora usiandike kitu kwa nini ujichumie dhambi za bure mimi ni ndugu wa karibu wa mzee kajumulo me nahisi ulikuwa wataka habari kuhusu kajumlo na kagame ameshakujulisha nenda katoe gazetini basi na wasiwasi na elimu yako wewe mtoa thread kama umesoma sana basi ni shule ya vidudu.manina zako umekaa kuchafua familia za watu kama huna cha kuandika si bora ukakaa kimya.kumbaf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom