Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
rip galinoma,mshale umekosea njia.
Mzee Steven Galinoma aliyekuwa mbunge wa Jimbo la kalenga Mkoani Iringa 1995 - 2010 Amefariki Dunia akiwa njiani kupelekwa Hospitali Kuu ya Mkoa wa Iringa kutoka kijijini kwake Kalenga baada ya kupata shabulio la moyo Mchana Huu!!
Mzee Steven Galinoma aliyekuwa mbunge wa Jimbo la kalenga Mkoani Iringa 1995 - 2010 Amefariki Dunia akiwa njiani kupelekwa Hospitali Kuu ya Mkoa wa Iringa kutoka kijijini kwake Kalenga baada ya kupata shambulio la moyo Mchana Huu!!