- Thread starter
- #21
Hiyo ndo nilishampa kama homework,nasubiria majibu nadhani itakua nzuri zaidi!.Yeye (mchumba) mwenyewe pia anaweza kukusaidia. akaulizie kwa ndugu jamaa na marafiki watamwelekeza mambo yanakuwaje kwa mila za kabila lao. na pia nadhani inatofautiana kati ya ukoo na ukoo. Mimi kwa mfano husband tunatoka kabila moja lakini mambo ya posa kwa ukoo wetu ni tofauti kidogo na kwao. so, mimi nilimwuliza bibi, akanitajia mtiririko wote, nikaenda kumdesesha
Thanks!