Steps kuelekea ndoa

Yeye (mchumba) mwenyewe pia anaweza kukusaidia. akaulizie kwa ndugu jamaa na marafiki watamwelekeza mambo yanakuwaje kwa mila za kabila lao. na pia nadhani inatofautiana kati ya ukoo na ukoo. Mimi kwa mfano husband tunatoka kabila moja lakini mambo ya posa kwa ukoo wetu ni tofauti kidogo na kwao. so, mimi nilimwuliza bibi, akanitajia mtiririko wote, nikaenda kumdesesha
Hiyo ndo nilishampa kama homework,nasubiria majibu nadhani itakua nzuri zaidi!.
Thanks!
 
bwananyie mnaleta complication za ajabu .kwetu sisi wachaga huwa tunamchukua mwamnamke tunamweka ndania asubuhi mzee anaamka na mbuzi anapeleka kwa wakwe ngomo inaishia hapo unakuwa tayari umeshaoa


kijana uchaga wa kizamani huo.
 
Du!! Mkuu hiyo sidhani kama inawezekana kwangu,Kwani nataka Ndoa ya kanisani!
Ndoa sio kanisani wewee!!.....ina maana unataka kufuata mlolongo wa mila sijui madudu gani ili uende kanisani au ili uingie kwenye ndoa?
 
Du!! Mkuu hiyo sidhani kama inawezekana kwangu,Kwani nataka Ndoa ya kanisani!

Ndoa sio kanisani wewee!!.....ina maana unataka kufuata mlolongo wa mila sijui madudu gani ili uende kanisani au ili uingie kwenye ndoa?

Birigita hiyo pointi muhimu sana. Watu wanasahau ukienda kanisani/msikitini ni mila inayojitegemea na ukiweka ndani mzee apeleke mbuzi nayo ni mila inayojitegema. Unaweza kuchanganya na ndo maana kuna zoezi linitwa kubariki ndoa
 
jamani ndugu zangu kuelekea ndoa ni pagumu sana na sijui sisi kama wanaume tunampango gani maana dada zetu wamekuwa kama pweza wanacheza karata katika ndoa tusaidiane wanaume kwa ushauri me sijaingia katika ndoa ila naona mambo yanavyofanyika kwa wenzangu na mimi pia nia hatari
 
hii mambo imetofautiana toka kabila moja hadi jingine kaka, nway utapata majibu kwa wale wa jamii yako
 
Wadau naombeni mnijuze steps zinazofaa unapoanza Mahusiano na mtu ambaye mmekutana katoka mikoa Tofauti,yaani mfano mmoja anatokea Mwanza na Wewe kwenu ni Arusha halafu mmekutana Dar Mkapendana!.Mnaanza upande gani kutambulishana?
Pia ningependa ufafanuzi kidogo juu ya POSA,posa ni nini? Ni vitu gani vinawekwa kwenye posa na ni nani anaruhusiwa kupeleka Posa,maneno gani husemwa wakati wa kutoa posa?.
Ntashukuru kwa maelezo yenu!
Asanteni!
tafuta mshenga
 
kweli mkuu maana lazima ajue kwani kabila zingine wanakuwa kama valey ya baiskel asije akakataliwa au vipi hapo wakuu mmmh
Conquest-kwetu uchumba unakwea mbuyu
 
Wadau naombeni mnijuze steps zinazofaa unapoanza Mahusiano na mtu ambaye mmekutana katoka mikoa Tofauti,yaani mfano mmoja anatokea Mwanza na Wewe kwenu ni Arusha halafu mmekutana Dar Mkapendana!.Mnaanza upande gani kutambulishana?
Pia ningependa ufafanuzi kidogo juu ya POSA,posa ni nini? Ni vitu gani vinawekwa kwenye posa na ni nani anaruhusiwa kupeleka Posa,maneno gani husemwa wakati wa kutoa posa?.
Ntashukuru kwa maelezo yenu!
Asanteni!

Kwa uwelewa wangu Ndoa ni mchakato wa kijamii na kisheria, ndio maana mtu akiingia ndani ya Ndoa ana haki fulani fulani za kisheria na kijamii. Ndoa bwana ina mlolongo ufuatao:

1. Uhiari (consent) ya wote wawili bila ya kushawishiwa na mtu wa tatu (third part)
2. Kujitambulisha (declaration) - mkishakubaliana inabidi watu wajue, hapo ndio wengine wanasema pete ya uchumba, labda nenda kwa wazazi, au tuma mshenga n.k.
3. Shukrani (appreciation) - shukrani hii inaweza kuwa katika mfumo wa mahali au malipo fulani au kitendo fulani cha kuonyesha shukrani kwa wale wote waliochangia kwa namna moja au nyingine mpaka nyinyi wawili mkafikia hapo. Yaweza kuwa umezaliwa ukatoa shukrani kwa wazazi au umersomeshwa n.k.
4. Utambulisho kwa Umma (public event) - ndoa ni mchakato wa kijamii, hivyo umma inabidi ujulishwe. Hapa kuna matangazo ya ndoa na kitendo chenyewe cha kwenda aidha kanisani au kwa shekh au kwa chifu na kufungishwa ndoa. Lazima umma ujulishwe ili kuondoa migongano baada ya kufungishwa ndoa. Maana kabla ya hapo any body can pair with you without breaking any law.
5. Ratification (au intimacy relationship) - yaani kitu cha mwisho ambacho kinakamilisha ndoa ni kile kitendo cha wawili hawa kupeana kile mwenzako anakosa (to complimate each other) - bila ya kuzunguka sana watu wengi hukiita "tendo la ndoa".

Bila ya hayo kutimia ndoa hiyo ni "bugulu"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom