Wadau naombeni mnijuze steps zinazofaa unapoanza Mahusiano na mtu ambaye mmekutana katoka mikoa Tofauti,yaani mfano mmoja anatokea Mwanza na Wewe kwenu ni Arusha halafu mmekutana Dar Mkapendana!.Mnaanza upande gani kutambulishana?
Pia ningependa ufafanuzi kidogo juu ya POSA,posa ni nini? Ni vitu gani vinawekwa kwenye posa na ni nani anaruhusiwa kupeleka Posa,maneno gani husemwa wakati wa kutoa posa?.
Ntashukuru kwa maelezo yenu!
Asanteni!
Pia ningependa ufafanuzi kidogo juu ya POSA,posa ni nini? Ni vitu gani vinawekwa kwenye posa na ni nani anaruhusiwa kupeleka Posa,maneno gani husemwa wakati wa kutoa posa?.
Ntashukuru kwa maelezo yenu!
Asanteni!