Stephen Wassira umemwachia nani ofisi?

segwanga

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
2,789
729
Naomba wanabodi mnijuze sababu zinazo mfanya mtu kama wassira kuiacha ofsì yake na kwenda kwenye kampeni za chama kwa muda mrefu.Yeye ni waziri akiwa ni sehemu ya serikali,huko aliko mi navyoona hafanyi kazi ya serikali lakini nina uhakika atakuwa na gari la serikali na analipwa per diem kama waziri akiwa nje ya kituo cha kazi.Nashindwa kuelewa kazi zake za uwaziri anazifanya lini au ndo hayo mambo yake ya KUFANYA BUNGE KAMA SLEEPING ROOM?
 
Ndo maana tunataka katiba mpya ipige marufuku wabunge kuwa mawaziri tunataka mawaziri wasiwe wabunge kutoka vyama vya sihasa tuwe kama wenzetu walioko mbele jamani itaongeza nafasi za ajira kuliko sasa mtu mmoja ajira mbili na bado za chama tena!!
 
Naomba wanabodi mnijuze sababu zinazo mfanya mtu kama wassira kuiacha ofsì yake na kwenda kwenye kampeni za chama kwa muda mrefu.Yeye ni waziri akiwa ni sehemu ya serikali,huko aliko mi navyoona hafanyi kazi ya serikali lakini nina uhakika atakuwa na gari la serikali na analipwa per diem kama waziri akiwa nje ya kituo cha kazi.Nashindwa kuelewa kazi zake za uwaziri anazifanya lini au ndo hayo mambo yake ya KUFANYA BUNGE KAMA SLEEPING ROOM?
Mkuu hivi Wasira ana Ofisi? Katibu Mkuu wake ni nani vile?

Kama ulikuwepo miaka ya 80 utakumbuka mawaziri wasiokuwa na wizara maalumu! Kama hukuwepo basi kulikuwa na Mawaziri wanaitwa Waziri asiyekuwa na wizara maalumu au kwa lugha ya Malkia Minister without Portfolio. Ilikuwa ni kupeana tu kwa kuwa wizara zilikuwa zimejaa; sijui na Wasira alistahili kuwa waziri asiye na wizara maalum.
 
Kwani huyu bwana amepewa kazi gani? Maana yeye kazi yake ni mahusiano sasa kuna Taifa lina waziri wa wahusiano au ni sisi tu for the reasons good to ourselves. Pengine ndo anatimiza wajibu wake akienda kuongeza shamra shamra kwenye kampeni. Tingatinga si unajua hayupo tena kwenye hiyo biashara.
 
Naomba wanabodi mnijuze sababu zinazo mfanya mtu kama wassira kuiacha ofsì yake na kwenda kwenye kampeni za chama kwa muda mrefu.Yeye ni waziri akiwa ni sehemu ya serikali,huko aliko mi navyoona hafanyi kazi ya serikali lakini nina uhakika atakuwa na gari la serikali na analipwa per diem kama waziri akiwa nje ya kituo cha kazi.Nashindwa kuelewa kazi zake za uwaziri anazifanya lini au ndo hayo mambo yake ya KUFANYA BUNGE KAMA SLEEPING ROOM?

wizara kama hii ya wassira ndio zinatutia umaskini,anatumia pesa zetu kufanya kampeni za magamba bila hata aibu
 
Naomba wanabodi mnijuze sababu zinazo mfanya mtu kama wassira kuiacha ofsì yake na kwenda kwenye kampeni za chama kwa muda mrefu.Yeye ni waziri akiwa ni sehemu ya serikali,huko aliko mi navyoona hafanyi kazi ya serikali lakini nina uhakika atakuwa na gari la serikali na analipwa per diem kama waziri akiwa nje ya kituo cha kazi.Nashindwa kuelewa kazi zake za uwaziri anazifanya lini au ndo hayo mambo yake ya KUFANYA BUNGE KAMA SLEEPING ROOM?


Kwenye red kunahitaji ushahidi endapo kaonekana anatumia gari la serikali Arumeru na kama analipwa per diem na serikali japo inawezekana lakini habari sahihi zinaweza kutusaidia kutoa hukumu kwa wassira na serikali kwa usahihi zaidi.
 
Tuhuma hizi za kukurupuka dhidi ya wassira zina tofauti gani na za Wassira kwamba Dk Slaa alikwiba kanisa katoliki.
 
na per diem anachukua wizarani

Jembe likikukata unakimbilia hospitali kupata tiba naona Wassira amekuwa mwiba Arumeru

....... wafuasi wa chadema wanakimbilia Jf kurusha mawe hovyo hovyo.

halahala msitupopoe tusiohusika!!!!!!!!!.
 
Labda amemwachia William Lukuvi kwani wote kazi zao ni SERA na URATIBU.


MaKatibu Mkuu pia hufanya kazi kwa utaratibu huo kama waziri hayuko.

Vivyo hivyo, kutokana na maendeleo ya teknolojia Wassira anaweza kufanya kazi za ofisi akiwa Arumeru hasa ambazo zinahitaji maamuzi yake kama waziri.
 
Mkuu hivi Wasira ana Ofisi? Katibu Mkuu wake ni nani vile?

Kama ulikuwepo miaka ya 80 utakumbuka mawaziri wasiokuwa na wizara maalumu! Kama hukuwepo basi kulikuwa na Mawaziri wanaitwa Waziri asiyekuwa na wizara maalumu au kwa lugha ya Malkia Minister without Portfolio. Ilikuwa ni kupeana tu kwa kuwa wizara zilikuwa zimejaa; sijui na Wasira alistahili kuwa waziri asiye na wizara maalum.
Hivi waziri wa MAHUSIANO maana yake nini?

Kwa mfano tunaweza kumfananisha na MSHENGA kwenye mambo ya mahusiano ya ndoa na mambo kama hayo??
 
Jembe likikukata unakimbilia hospitali kupata tiba naona Wassira amekuwa mwiba Arumeru

....... wafuasi wa chadema wanakimbilia Jf kurusha mawe hovyo hovyo.

halahala msitupopoe tusiohusika!!!!!!!!!.
Wewe hapa upo Face book au JF?
hapa unatupa mawe au unatafuta hawara?
Naona ****** makuuubwa kwenye avatar!!!
 
Raisi wetu ana vituko! Eti waziri wa mahusiano na uratibu!. Hapo hamna waziri ni janga. Tunajua mnapeana uwaziri kiskaji tuache haya mambo jamani ndo maana ufisadi hauishi!.
 
Hivi waziri wa MAHUSIANO maana yake nini?

Kwa mfano tunaweza kumfananisha na MSHENGA kwenye mambo ya mahusiano ya ndoa na mambo kama hayo??

Mkuu mimi hayo mahusiano hata siyajui. Nilidhani ni mahusiano ya vyama na serikali lakini sasa kama yuko upande mmoja anafanya mahusiano gani?
 
Raisi wetu ana vituko! Eti waziri wa mahusiano na uratibu!. Hapo hamna waziri ni janga. Tunajua mnapeana uwaziri kiskaji tuache haya mambo jamani ndo maana ufisadi hauishi!.

Hivi Ofisi zake ziko jengo gani ? na Katibu Mkuu wake ni yupi ?
 
Kwani ana kazi yoyote muhimu huyo? Sasa unapoona mtu hayupo "ofisini" kwa mwezi mzima, na mambo yanaenda kama kawaida hakuna kinachoharibika, unafikiri kuna umuhimu wa yeye au ofisi yake tena hapo? Upuuzi tu!
 
Kwani ana kazi yoyote muhimu huyo? Sasa unapoona mtu hayupo "ofisini" kwa mwezi mzima, na mambo yanaenda kama kawaida hakuna kinachoharibika, unafikiri kuna umuhimu wa yeye au ofisi yake tena hapo? Upuuzi tu!

haya ndo madhara ya kuingia madarakani,jk alilazimika kuacomodate mazee ya mtandao kama tyson ili mradi liwemo tu kwenye system
 
Hivi hapa hamna jinai ya matumizi mabaya ya ofisi ya umma? wanasheria tusaidieni maana huyu jamaa si mara ya kwanza kuaacha ofsi kwa mwezi mzima akiwa kwenye shughuli za chama ili hali akilipwa mshahara kwa kodi zetu. kwa taratibu za ajira hapa kuna kesi ya kujibu mimi ninavyoona. Chadema hebu ulizeni hili kwenye kampeni wananchi wa AruMeru wapime wenyewe kama ni sahihi kwa wasra kuacha kazi tuliye mwajiri kwa mwezi mzima na huku anaendelea kuchukua mshahara na posho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom