segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Naomba wanabodi mnijuze sababu zinazo mfanya mtu kama wassira kuiacha ofsì yake na kwenda kwenye kampeni za chama kwa muda mrefu.Yeye ni waziri akiwa ni sehemu ya serikali,huko aliko mi navyoona hafanyi kazi ya serikali lakini nina uhakika atakuwa na gari la serikali na analipwa per diem kama waziri akiwa nje ya kituo cha kazi.Nashindwa kuelewa kazi zake za uwaziri anazifanya lini au ndo hayo mambo yake ya KUFANYA BUNGE KAMA SLEEPING ROOM?