WILSON MWIJAGE
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 276
- 76
Hii nchi ina vivutio vingi sana......
Nyerere aliamua kuanza kuweka vivutio vya Utalii pale ikulu,
Aliweka Tausi, ndege wazuri sana wale, akaweka hata ndege Mbuni...
Naona marais waliomfuata wameiga nyayo zake!! Kudos!!!
Ndugu,
Kumbe leo hajalala au hayupo bungeni