Stephen Owawa ajipanga kugombea ubunge Rorya 2015

Ni hoja ya muda mrefu na sasa ni bayana Owawa ndiye mgombea ubunge kupitia CDM jimbo la Rorya. Nimefanikiwa kumsikia jukwaani wanarorya hawatajuta kuwa na Owawa kama mbunge wao. Tumpe support.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom