Habarini wandugu,
kuna stendi imefunguliwa mwanzoni mwa mwezi huu mlandizi kibaha. Nilichoshuhudia ni kila basi la mkoani lazima liingie na kulipa ushuru. Je hii mbona haifanani kama stand ni kama barabara ya vumbi iliyochongwa.
Nani aliidhinisha stendi kama hii kufunguliwa wakati hakuna hata sehemu ya kukaa abiria.
Nini madhumuni ya stand hii mlandizi wakati kuna nyingine maili moja kila basi lazima liingie lilipe ushuru.
Naomba wanajamii tusaidiane kuliona hili na kulitolewa mawazo je kuna tija? Na km kuna tija mbona stand ya mlandizi haina kiwango ni vumbi tupu. Nimejionea mimi mwenyewe kama msafiri. Mungu ibariki tz.
kuna stendi imefunguliwa mwanzoni mwa mwezi huu mlandizi kibaha. Nilichoshuhudia ni kila basi la mkoani lazima liingie na kulipa ushuru. Je hii mbona haifanani kama stand ni kama barabara ya vumbi iliyochongwa.
Nani aliidhinisha stendi kama hii kufunguliwa wakati hakuna hata sehemu ya kukaa abiria.
Nini madhumuni ya stand hii mlandizi wakati kuna nyingine maili moja kila basi lazima liingie lilipe ushuru.
Naomba wanajamii tusaidiane kuliona hili na kulitolewa mawazo je kuna tija? Na km kuna tija mbona stand ya mlandizi haina kiwango ni vumbi tupu. Nimejionea mimi mwenyewe kama msafiri. Mungu ibariki tz.