Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
inasikitisha.
inasikitisha.
Ng'wanangwa hivi hii nayo ni thread unajiaibisha mkuu wewe ni mkongwe humu JF.
inasikitisha.
alipo kuwa anamwambia deo filikunjombe asiitishe maandamano kwenye jimbom lake
Thread inaweza kuwa na neno moja tu na ikawa na uzito kuliko thread ya maneno mengi
Ng'wanangwa hivi hii nayo ni thread unajiaibisha mkuu wewe ni mkongwe humu JF.
Si haba, mkuu wa kaya alimteua kuwa RC Rukwa, huenda ndio anamuandaa hivyo siku akifanya reshuffle anamuingiza kwenye cabinet.