StarTV Live: Mifuko ya hifadi ya jamii

Hizi fedha wanampango nazo 2015 tunajua kila kitu! kinachotakiwa ni action plana kama vyama vya wafanyakazi vinaweza kutusaidia vipi twende mahakamani waache kula michango yetu bure, sijaona kauli yao nzito yenye maana!

Ni kwamba nchi yetu imemsahau Mungu. Hata kwenye maandiko wamesema " You will reap what you sowed!" IT IS NOT THEIR MONEY. Ufanye kazi kwa shida, umvumilie bosi wa majungu na written warnings kibao halafu mtu anajitanua na hela ambayo ungewawekea watoto wako msingi bora. Naweza hata kuandika Position Paper kwenye ishu hii.

Nani atawaambia vizuri ili waelewe jamani. Yaani hii ishu isichukuliwe kimzaha mzaha na waache maamuzi ya kiimla. Mnyika TUNAWATEGEMEA SERIOUSLY.
 
HAbari nilizo nazo ni kuwa wafanyakazi wa migodi ya Dhahabu watakua na kikao na kamati ya muheshimiwa Jenister Muhagama, jumatatu ya wiki ijao, jamaa hawataki kusikia chochote zaidi ya fao lao kurudishwa, swali ni hili, hivi wafanyakzi wa sekta zingine vipi? au tumeridhika na hiyo sheria?

wengine ndo kwa heri!
 
Serikali haina fedha za kujiendesha na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo, sasa wameamua kukopa toka katika mifuko ya hifadhi ya jamii na wameshindwa kulipa. Wamekopa NSSF, PPF, PSPF na LAPF mabilioni ya fedha ambayo wameshindwa kuyalipa.

Kwahiyo njia pekee ya kujinusuru na aibu hiyo wakaona ni kwa kusitisha fao la kujitoa ili wajipange, kitu ambacho hakikubaliki hata kidogo kwetu sisi wanachama wa hiyo mifuko ya pensheni.

hawa jamaa ni wehu. Wengine tunasubiri wafute upuuzi wao ili tuchukue chetu
 
Hizi fedha wanampango nazo 2015 tunajua kila kitu! kinachotakiwa ni action plana kama vyama vya wafanyakazi vinaweza kutusaidia vipi twende mahakamani waache kula michango yetu bure, sijaona kauli yao nzito yenye maana!

Hata kwenye maandiko wanasema " You will reap what you sowed" . IT IS NOT THEIR MONEY! Mfanyakazi ahangaike kupata kazi kwa shida, ajira ya kusuasua, amvumilie bosi wa majungu, na written warnings kibao, halafu hata ashindwe kuandaa msingi bora kwa ajili ya watoto wake eti wamekuwekea rehani hela yako...Jamani naweza kuandika Position Paper kuhusu ishu hii maana inakera na kuuma sana.

Tumeshachoka na maamuzi ya kiimla na hasa inapowahusu watu wa kawaida. Mnyika tunawaomba msimamie ishu hii kwa nguvu zote. Na waheshimiwa wengine wooote wenye nia njema kwa watanzania na wanasoma uzi huu.
 
huku znz wameanza kuchinja watu.sasa naona.na.huku bara mnataka kununyonya watu mwishoe wachinjane
 
Tunasubiri hyo November kama hawajasoma kama walivyoahidi tunawapeleka mahakamani watengue u
 
Hili suala hakuna kulala, hadi keleweke. Mafao yetu wameshayachezea sana bila ridhaa ya wanachama. Sio kweli kwamba wafanyakazi wa sekta binafsi wamelala, ila wamekosa uwajibikaji wa pamoja kama wafnyakazi wa migodi.
 
nimemuona ndugai jana itv anasema hoja imepelekwa bungeni na mbunge wa kisarawe (ni hoja ya Mnyika). hwa watawala wamefikia sehemu hata aibu hawaoni tena!
 
Back
Top Bottom