King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,638
- 68,576
Je hoja itapelekwa november au February? Hipi kauli tuichukue ya makongoro au masele?
wageni dsm:marcus na mnyika
wageni dsm:marcus na mnyika
warudishe haraka fao la kujitoa, waache kucheza na sisi. sio pesa zao, na HATUTAKI KUWAKOPESHA, kwani ni lazima???
Mkuu acha haraka, elezea tuelewe basi , mara StarTV, oooohh Makongoro mara wageni DSM etc tunashindwa kukupata
HAbari nilizo nazo ni kuwa wafanyakazi wa migodi ya Dhahabu watakua na kikao na kamati ya muheshimiwa Jenister Muhagama, jumatatu ya wiki ijao, jamaa hawataki kusikia chochote zaidi ya fao lao kurudishwa, swali ni hili, hivi wafanyakzi wa sekta zingine vipi? au tumeridhika na hiyo sheria?
warudishe haraka fao la kujitoa, waache kucheza na sisi. sio pesa zao, na HATUTAKI KUWAKOPESHA, kwani ni lazima???
Hizi fedha wanampango nazo 2015 tunajua kila kitu! kinachotakiwa ni action plana kama vyama vya wafanyakazi vinaweza kutusaidia vipi twende mahakamani waache kula michango yetu bure, sijaona kauli yao nzito yenye maana!
Serikali haina fedha za kujiendesha na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo, sasa wameamua kukopa toka katika mifuko ya hifadhi ya jamii na wameshindwa kulipa. Wamekopa NSSF, PPF, PSPF na LAPF mabilioni ya fedha ambayo wameshindwa kuyalipa.
Kwahiyo njia pekee ya kujinusuru na aibu hiyo wakaona ni kwa kusitisha fao la kujitoa ili wajipange, kitu ambacho hakikubaliki hata kidogo kwetu sisi wanachama wa hiyo mifuko ya pensheni.
wamenikata maini kabisa hawa jamaa, mbona wanapiga danadana?
au wanataka tusahau.
wafanyakazi naomba tuungane tulianzishe wasichezee pesa zetu
Huu mtindo wa kuungana humu kwenye mitandao halafu hatuchukui hatua nimechoka,
natamani nikaungane na watu wa madini niunganishe nguvu huko ili nidai haki yangu kwa
hawa mafisadi wanaonilazimisha kuwakopesha mpaka nifikie huo umri ambao sina waranty nao.