Donkey JF-Expert Member Dec 17, 2010 1,431 1,448 Feb 16, 2012 #1 Nimenunua decorder ya startimes.nimetumia siku mbili tu.ya tatu inaleta no signal.nimehangaika na maelekezo ya antenna wapi.kwanini mnauza vitu vibovu
Nimenunua decorder ya startimes.nimetumia siku mbili tu.ya tatu inaleta no signal.nimehangaika na maelekezo ya antenna wapi.kwanini mnauza vitu vibovu
Angel Msoffe JF-Expert Member Jun 21, 2011 6,781 1,639 Feb 16, 2012 #2 Aliyekutuma ukanunue king'amuz cha startimes ni nani? Inamana haya malalamiko yoote wenzio tunayoyaleta hapa huyaonagi? UMEYATAKA MWENYEWE
Aliyekutuma ukanunue king'amuz cha startimes ni nani? Inamana haya malalamiko yoote wenzio tunayoyaleta hapa huyaonagi? UMEYATAKA MWENYEWE
S SWEET GIRL JF-Expert Member Dec 29, 2011 520 377 Feb 18, 2012 #3 mimi king`amuzi hiki toka juzi hakionyeshi kitu sasa sielewi tatizo nini kweli wananikera sana hawa startimes sijui nifanyeje
mimi king`amuzi hiki toka juzi hakionyeshi kitu sasa sielewi tatizo nini kweli wananikera sana hawa startimes sijui nifanyeje
Papa Mopao JF-Expert Member Oct 7, 2009 4,107 2,506 Feb 18, 2012 #4 Chezeni na antena tu! kama No signal ikionekana tatizo ni kwenye antena tu haijawekwa pazuri au imekaa vibaya!
Chezeni na antena tu! kama No signal ikionekana tatizo ni kwenye antena tu haijawekwa pazuri au imekaa vibaya!