Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Mi bado sijajua mwezi kwa startimes ni siku ngapi, mana hata nikilipa tarehe 20 mwezi unaofata tarehe 12 wanasema nilipe tena nikajaribu kuwapigia wakanipa maelekezo ambayo hayajasaidia sasa nafikiria kuweka dstv yaishe, nimechoka nao
 
habari yako

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.

Nina remot yenu haifanyi kazi kabisa tangu king'amuzi kinunuliwe ni mpya!
Mnanisaidiaje?

Pia kwann ,king'amuzi kipya hakibakizi local channels km vya zamani?
 
Azam anashika soko la visimbusi na tv kwa bongo kwa sasa......Kwa sisi tusioelewa tamthilia za kizungu wameweka Swahili subtitles imekaa Safi Sana hii.
 
Hii nchi ina viwanda vya kuzalisha uongo na uzandiki. Hivi unawezaje kuibua tuhuma ambazo huna uhakika nazo??.

Watanzania tuna matatizo ya kufikiri na kufanya maamuzi sahihi..

Kukosa Elimu ni nusu ya uwendaazimu...
 
startimes

Naomba kujuzwa namna ya kupata Radio kupitia King'amuzi chenu..
 
Last edited by a moderator:
eatv na star tv ni wiki ya pili sasa hazipo kwnye kingamuzi cha star times.
 
Habari,
kuanzia juzi majira ya saa 6 mchana, channel ye EATV imeondolewa kutoka kwenye king'amuzi cha STARTIMES. tunahitaji majibu toka kwenu na mamlaka Husika TCRA. its not fair! STATIMES mna matatizo gani na hizi stations! tumekurupuka kuingia digitaliMbona wengine tunaiona? We upon wapi labda networking
 
habari yako UNGA UNGA na wanajamii forum wote kwa ujumla

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.

Hebu acha uongo mi mwenyewe toka juzi EATV, I TV haipo kabisa kwenye list napiga cm mnaniwekea mamiziki cm haipokelewi najuta kununua hili ling'amuzi mmenikera kweli bora mngekuwa wastaarabu mnapokea cm utadhani na angalia bure wapuuzi kweli
 
Customet care yenu mbovu mbovu mbovu...hawapokei cm..aliekua zamu jana.asubuh ameboa sanaaaa..fuatikieni

Hata customer care aliyekuwa leo asubuhi mpuuzi kweli nimekereka u napiga cm mara nyingi hadi zinakata nimekereka kweli leo
 
Hebu acha uongo mi mwenyewe toka juzi EATV, I TV haipo kabisa kwenye list napiga cm mnaniwekea mamiziki cm haipokelewi najuta kununua hili ling'amuzi mmenikera kweli bora mngekuwa wastaarabu mnapokea cm utadhani na angalia bure wapuuzi kweli

Mi nimefanya hivyo zikarudi zote zilizokuwa zimepotea (tbc2,AMC,star tv,aljazeera n.k)
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie? Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi?
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

Ahsanteni sana na karibuni nyote

Habari!
Mnapokua na ving'amuzi vya aina mbili tofauti yaani cha antena na dish ni vizuri pia mkaweka utaratibu kua kama ulikua na king'amuzi cha antena then ukahama maeneo ambayo kinafanyakazi na kwenda sehem nyingine ambako ni lazima utumie satellite dish kupata channel zenu basi uwepo utaratibu wa kubadirishiwa king'amuzi chako.hii itapunguza kua na ving'amuzi vingi vya kampuni moja.
 
Kwangu tbc 1&2, tv1,channel 10,startv,itv,eatv na clouds tv hazipatikani....napata cartoon channels tu.
Nimefanya hiyo auto search mpaka nimechoka.
 
Habari mm tatizo langu ni kuhusu bollwod Swahili watu mliowatumia kutafasili picha wanarafuzi mbaya haiendani na picha mfano sauti ya amitabh sauti inasikia haifanani na mtu mwenye umri wake halafu jamaa mliowatumia in Kenya kiswahili chao hakivutii,tupo Wa tz tumebibea kwanini msiwape nafasi?hao wakenya watafusili huko huko kwao
 
Back
Top Bottom