mkayala
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 555
- 72
Katika matangazo yenu mmetoa namba 0764 700800 ili tupige kwa matatizo mbali mbali.CHA AJABU kila nikipiga nakutana na saut iliyorekodiwa kuwa nisubir ntaunganishwa,inakwena had dakika 2 kisha inakatika na sjaongea na mhudumu lakin hela inakatwa,acheni hizo!