Zasasule
JF-Expert Member
- Aug 12, 2009
- 1,001
- 103
ndiyo mkuu inawezekana hata hapa jamvini kuna thread niliwahi ianzisha kuna mdau akadai inawezekana na alitoa some tricks nilipo mtafuta kwa PM akazamia moja kwa moja akizani kuwa mim ni mkuda wa star times.
So wewe unajua kuhusiana na hiyo trick hata kidogo? na je hiyo thread ilitoa maujanja hata kidogo jamavini ama jamaa ali fanya hizo tricks kwa njia za PM?