Startimes na vingamuzi vyao

drphone

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
3,542
281
kwa wale tuliochakachua vingamuzi vya startimes naona wamestuka hawa jamaa tangu lastweek ukifungua zile channel zetu inatoa icon ya warning NON COMAX PROGRAM alafu akitoki kinakaa katikati ya tv tangu jana nimefungua azionyeshi chochote kile tena mimi nawashangaa kwa nini wasiziongeze official kabisa kwanini watubanie wakati ipo free on air tu nimeshindwa kuwaelewa kabisa
 
wakuu jana nimefungua imekubali lakini bado ile warning alert ipo na inaziba sehemu kubwa sana cjui wana mpango gani
 
Mkuu, Ni vizuri kuona wanafuatilia nyendo zako, ila kweli inasikitisha kuona wanabania program za free to air, hususan nyingi zikiwa za maadili ya Ulokole!

Mifumo mingi ya program inatumia Conax card hapa kwetu isipokuwa dstv wanaotumia Irdeto.

Hata hivyo tusikate tamaa, Ndugu zetu wa ATN wana king'amuzi ambacho kinarusha free to air channel zote 12, TBC1 ikijitegemea.

Uzuri wa ziada wa king'amuzi cha TING, kina facilities za kuwasiliana na kompyuta.......
 
Mkuu, Ni vizuri kuona wanafuatilia nyendo zako, ila kweli inasikitisha kuona wanabania program za free to air, hususan nyingi zikiwa za maadili ya Ulokole!

Mifumo mingi ya program inatumia Conax card hapa kwetu isipokuwa dstv wanaotumia Irdeto.

Hata hivyo tusikate tamaa, Ndugu zetu wa ATN wana king'amuzi ambacho kinarusha free to air channel zote 12, TBC1 ikijitegemea.

Uzuri wa ziada wa king'amuzi cha TING, kina facilities za kuwasiliana na kompyuta.......
mkuu hawa watu wanakaba mpaka penati ilitakiwa waruhusu hii kitu kama mm nafaidi chenel moja tu ndio napenda emmanuel tv bac tayari wanaibania watoto wanafaidi katuuni angalau nimepunguziwa mzigo wa kununua dvd nafikiri kilichobaki kuchakachua hzo card zenyewe
 
Wakuu tujaribu frequency setup 570.

Pamoja na kuonekana 530 iko scrambled, ni mkongo wa TING ila wamejisahau na kupachika kifungo kwenye kurusha, ndio maana kingamuzi hiki cha startimes kinamengenyua hivyo, 'non conax....'

570 haiko scrambled, iko clear isipokuwa unaweza kuona 'chanel sivyo ndivyo', wanajiandaa!!!

Tuwapongeze wana maombi hawa, kwa kujitwalia TING a multimedia DTV Terrestrial Receiver.
 
mkuu gomer thanks in advance nikifika om tu chakwanza ni hicho nimechoka warning error nashindwa kuona picha kwa raha
 
jamani ebu nitoeni ushamba kidogo mnachakachuaje hicho kingamuzi cha star time cos mie ninacho na nina lipia kawaida 2 so ebu nipeni ujuzi wataaalamu
 
Wakuu tujaribu frequency setup 570.

Pamoja na kuonekana 530 iko scrambled, ni mkongo wa TING ila wamejisahau na kupachika kifungo kwenye kurusha, ndio maana kingamuzi hiki cha startimes kinamengenyua hivyo, 'non conax....'

570 haiko scrambled, iko clear isipokuwa unaweza kuona 'chanel sivyo ndivyo', wanajiandaa!!!

Tuwapongeze wana maombi hawa, kwa kujitwalia TING a multimedia DTV Terrestrial Receiver.

mkuu njia hii inachanel 10 na hazipo local chanel kama hii 530 na nikweli azina ile error
 
jamani ebu nitoeni ushamba kidogo mnachakachuaje hicho kingamuzi cha star time cos mie ninacho na nina lipia kawaida 2 so ebu nipeni ujuzi wataaalamu

mkuu ni kwamba kunanjia ya kuchakachua na kupata chanel 12 za ziada nenda kwenye menu kisha shuka mpaka chini kwenye itemu ya 4 bonyeza ok kisha bonyeza mchale wa kushoto bonyeza ok kwenye manual kisha andika 530 bonyeza ok itasearch chanel ikimaliza close rudi mwanzo utaona chanel zimeongezeka mpaka itv ndani karibu ktk uchakachuaji
 
Wakuu big up sana kwa haya maneuver let me go to try, japo nasikia zile decoder za zamani(toleo la mwanzo during FIFA world cup) hazifai kuchakachua but nitaenda kutest na nitawajuza wadau
 
Wakuu big up sana kwa haya maneuver let me go to try, japo nasikia zile decoder za zamani(toleo la mwanzo during FIFA world cup) hazifai kuchakachua but nitaenda kutest na nitawajuza wadau
zinachachua through frequency 570.try!

 
mkuu njia hii inachanel 10 na hazipo local chanel kama hii 530 na nikweli azina ile error

Wakuu, tujaribu hizi
650,
666,
698,
714,
778

Ndugu zetu wako kwenye matengenezo, huku wakiendelea na mapambio,

BWANA ASIFIWE!
AMINA.
 
mkuu ni kwamba kunanjia ya kuchakachua na kupata chanel 12 za ziada nenda kwenye menu kisha shuka mpaka chini kwenye itemu ya 4 bonyeza ok kisha bonyeza mchale wa kushoto bonyeza ok kwenye manual kisha andika 530 bonyeza ok itasearch chanel ikimaliza close rudi mwanzo utaona chanel zimeongezeka mpaka itv ndani karibu ktk uchakachuaji

Mkuu weka ile link ya kuset hizi frequency nimetafuta nimeishia.. itafaa kwa bigginers.
 
Wakuu, tujaribu hizi
650,
666,
698,
714,
778

Ndugu zetu wako kwenye matengenezo, huku wakiendelea na mapambio,

BWANA ASIFIWE!
AMINA.

thanks mkuu nimeshazinakili kama kawaida nitakwenda kujaribu na nitarudisha mrejesho hapa
 
Mkuu weka ile link ya kuset hizi frequency nimetafuta nimeishia.. itafaa kwa bigginers.

poa mkuu nikama ifuatavyo

1)unabonyeza menu kwenye limoti
2)unatumia mchale wakwenda chini mpaka mwisho kwenye system unabonyeza ok
3)unatumia mchale wa kwenda kulia utaona option 2 chagua manual bonyeza ok
4}zitatokea no andika namba 530 au 650,666,698,714 na 778 kisha bonyeza ok itaanza kusearch utaona chanel zilizoongezeka bonyeza exit ikimaliza kusearch anza kutumia
sorry kwa maelezo yangu yanaweza yasijitosheleze ila ndivyo nilivyokariri
 
Back
Top Bottom