Startimes mambo si hayooo!!! Dstv wasitutese!!!!

Leo kwa mara ya kwanza tumeweza kuona Live game ya BARCELONA NA REAL MADRID kupitia ving'amuzi vya StarTimes
sisi mambo kama haya ndo tunayataka hatutaki kwenda baa!!!

afu nasikia from next seasons UEFA YOTE mmepata RIGHT ZA KUONYESHA afrika nzima!! big up sana, jitahidini sana

pia kumbukeni kuboresha huduma zenu!!!!!


startimes ' the real for tanzanian, tumkomeshe bebari DSTV'

Wanakuja zook tv ambao ni kama startime 2taona maringo yao
 
Leo kwa mara ya kwanza tumeweza kuona Live game ya BARCELONA NA REAL MADRID kupitia ving'amuzi vya StarTimes
sisi mambo kama haya ndo tunayataka hatutaki kwenda baa!!!

afu nasikia from next seasons UEFA YOTE mmepata RIGHT ZA KUONYESHA afrika nzima!! big up sana, jitahidini sana

pia kumbukeni kuboresha huduma zenu!!!!!


startimes ' the real for tanzanian, tumkomeshe bebari DSTV'

Hiyo Star Time nadhani itakuwa na channel tofauti tofauti je mpira ulionekana channel gani?
 
Jamani, mie wanangu wanaunganisha laptop zao kwenye screen na wanaona mipira yote, wanafanyaje hata sijui.

Labda wale watu wa ma gadget wawape maujanja. Poleni sana washabiki wa Real Madrid, nasikia mnatafuta mganga wa jadi awasaidie maana barca kwa vijana waliokuwa nao sasa hawakamatiki.
 
Kweli kukiwa na ushindani hawa DSTV watashusha bei kama walivyokimbizwa mputa na GTV ndio maana leo kidogo watoto wa mjiini kimjini mjini wanaweza weka DSTV ghetto .Kabla ya hapo ilikuwa inaonekana kuweka DSTV ni utajiri wa hali ya juu kwa sababu walikuwa hawana mpinzani wanaweka bei za kinyonyaji.
 
DStv bado haifananishwi mkuu...! hongereni kwa kuonyeshwa el classico jana but i will stick with "so much more'
 
Ukiacha EPL mechi za la liga, serie A, ligi ya Uhalanzi, France n.k zinaonyesha Star Times, ingawa si zote. Kinachokosekana kwenye Star Times ni EPL tu, na Epl yenyewe zinakosekana live lakini za kurekodi zimejaa kibao. Kama utavumilia kutazama mpira huku matokeo unayajua, basi pia nazo zinaonekana.

Mechi ya ManU na Bolton walionyesha kupitia UBC
 
Kweli kukiwa na ushindani hawa DSTV watashusha bei kama walivyokimbizwa mputa na GTV ndio maana leo kidogo watoto wa mjiini kimjini mjini wanaweza weka DSTV ghetto .Kabla ya hapo ilikuwa inaonekana kuweka DSTV ni utajiri wa hali ya juu kwa sababu walikuwa hawana mpinzani wanaweka bei za kinyonyaji.

Inasemekana DSTV waliwaendea AD Sports na kucomplain lakini jamaa wakawaambia wao hawana la kufanya ili TZ wasipate coverage ya AD.
 
EPL ndo mwisho wamchezo nyingine hazina msisimuko ukiancha Barc vs real. Bado hawajakonga nyoyo na watu wa upanga mipicha inaganda ganda utazania channel za kuvizia, mie siilipii kwa sasa kwa sababu ya mauzauza
 
Star times gani ile? Seriously kwa anaeitaji kingamuzi cha star times anione nimpe bure kabisaaaa
 
Mimi with Abudhabi Sports naona mechi zote za mpira na matukio mbalimbali ya michezo duniani live kwa gharama ya dola 109 tu kwa mwaka na zote nazipata kwenye HD.

How do you get to that? Tv Zanzibar pia uonyesha EPL matches kupitia Abudhabi Tv.
 
Anayefananisha DStv na Startimes nahisi atakuwa ni juha! Kiukweli hata kuweka hivi vitu viwili kwenye mizania moja ni sawa na kufananisha guta na Jumbo jet!!
 
Kiongozi hawa ofisi zao ziko wapi?

Hiyo unanunua dubai hapa ni ghali decoder na subcription kwa hapa inaweza kukucost kwenye $ 700 hizi ni baadhi ya details

Subscription includes

  • 1-year subscription to ADTV Network
  • 18 HD channels
  • 380 Barclays Premier League Games Live & Exclusive
  • Formula 1™, WWE, Grand Slam Tennis and more...
  • Blockbuster Movies, Award-Winning Series
  • Breaking News & Latest Documentaries
  • Access to all Free-to-Air Channels

Decoder features

  • High Definition
  • Dolby 5.1 Surround Sound
  • Dual Smart Card Slot
  • PVR ready Function Via USB Port
  • Internet Access Ready
  • Multi-satellite Receiver
  • Enhanced EPG Functionality
 
Back
Top Bottom