Startimes: kweli wandugu tumekubali kushindwa?

StarTimes my foot! Hawa jamaa hawafai....channel zenyewe wakatimwingine zinapotea tu.....wala hazina mvuto. Mie naendelea na dish langu hadi hapo 31.Dec. ndo nijue cha kufanya. Kwa sasa siwahitaji kabisa! Ujuzi wa 'kuwachakachua' sina, ila kama watu siku hizi wanasurf net bure kupitia modem, ije kuwa king'amuzi tu! Najua watakudadavulia.
 
StarTimes my foot! Hawa jamaa hawafai....channel zenyewe wakatimwingine zinapotea tu.....wala hazina mvuto. Mie naendelea na dish langu hadi hapo 31.Dec. ndo nijue cha kufanya. Kwa sasa siwahitaji kabisa! Ujuzi wa 'kuwachakachua' sina, ila kama watu siku hizi wanasurf net bure kupitia modem, ije kuwa king'amuzi tu! Najua watakudadavulia.

Ahsante na kuhusu hayo madish yenu kuna kifaa mtatakiwa kukinunua kuendele kupata chanel
 
Heshima mbele wadau,

Ni mwezi wa 7 sasa tangu ninunue king'amuzi cha startimes, lakini ni mwezi mmoja tu ndo nimeweza kulipia.

Gharama zake kweli mi zimenishinda ila kukitumia napenda hivi kweli hakuna mtu mwenye ujuzi wa kuchakachua kuangalia chaneli zote bila kulipia??

Tafadhari mwenye ujuzi jamani aje atuwekee au kama vp aniPM maana king'amuzi changu kimekuwa kama pambo ndani,

naomba kuwasilisha.
Kama Startimes umenyoosha mikono hao wengine utagusa kweli?
 
Habari njema kwako: waweza kuangalia chaneli zote kwa sh.900(mia tisa)tu kwa siku. Ukilipia ijumaa sh.2,700/= unaburudika weekend nzima, hii inakuepusha kulipia mwezi mzima wakati matumizi yako si kila siku.

Jaribu leo uone raha yake bila ya kuchakachua!

Mbona nimejaribu imegoma, mkuu au hii unanunuaje?
 
StarTimes my foot! Hawa jamaa hawafai....channel zenyewe wakatimwingine zinapotea tu.....wala hazina mvuto. Mie naendelea na dish langu hadi hapo 31.Dec. ndo nijue cha kufanya. Kwa sasa siwahitaji kabisa! Ujuzi wa 'kuwachakachua' sina, ila kama watu siku hizi wanasurf net bure kupitia modem, ije kuwa king'amuzi tu! Najua watakudadavulia.

Ahsante na kuhusu hayo madish yenu kuna kifaa mtatakiwa kukinunua kuendele kupata chanel

...Matangazo ya Television kwa njia ya sattelite yataendelea tu ata baada ya 31/12/2012, na ili kuendelea kupata matangazo hayo hautahitaji kuwa na kifaa chochote zaidi ya vile ambavyo tayari unavitumia sasa.

..Yatakayofungwa ni matangazo ya Television yanayorushwa kutoka minara iliyosimikwa ardhini, matangazo ambayo majumbani mwetu tunayanasa kwa kutumia Antenna za kawaida
k9312689.jpg
au
42-21058858.jpg
........


...So Mkuu endelea na Dish lako
k9121996.jpg
ata baada ya 31/12/2012, hakuna mabadiliko yoyote hapo...
 
imenishnda kwanini nifiche mdau

Kama hiyo amount imekushinda lakini kila siku umo JF bundle unanunua hapa inabidi tuanze kuangalia mahusiano ya hivi vitu viwili maana sijasikia kama kuna promotion ya bundle za internet, jitahidi tu mkuu utaweza kwani gharama ya kuchakachua itakua kubwa kuliko hiyo buku 9
 
Kama hiyo amount imekushinda lakini kila siku umo JF bundle unanunua hapa inabidi tuanze kuangalia mahusiano ya hivi vitu viwili maana sijasikia kama kuna promotion ya bundle za internet, jitahidi tu mkuu utaweza kwani gharama ya kuchakachua itakua kubwa kuliko hiyo buku 9

...Wahenga walisema, "Kupanga Ni Kuchagua", inawezekana ana pesa nyingi tu za kutumia kwenye mambo mengine ila sio kwenye "Star Times"....
 
Kwa bahati bahati mbaya sana watu humu JF hamuaminiki, kila mtu anataka kuonekana mjanja kwa wengine..


Ndio maana ukiweka maujanja hapa wengine wanayachukua na kuenda kutundika FB..

Na wengine kupiga simu kwenye kampuni usika wakitaka kuelezwa namna ya kutumia huduma zao bure..

Watu kama hawa wamefanya baadhi yetu tuwe wachoyo wakushare maujanja hapa hivyo vitu vingi tuna faidi wenyewe kwa sababu kama hizo hapo juu. Tunahitaji kubadilika jamani.
 
...Matangazo ya Television kwa njia ya sattelite yataendelea tu ata baada ya 31/12/2012, na ili kuendelea kupata matangazo hayo hautahitaji kuwa na kifaa chochote zaidi ya vile ambavyo tayari unavitumia sasa.

..Yatakayofungwa ni matangazo ya Television yanayorushwa kutoka minara iliyosimikwa ardhini, matangazo ambayo majumbani mwetu tunayanasa kwa kutumia Antenna za kawaida
k9312689.jpg
au
42-21058858.jpg
........


...So Mkuu endelea na Dish lako
k9121996.jpg
ata baada ya 31/12/2012, hakuna mabadiliko yoyote hapo...

Umenifumbua sana...sasa mbona hili hawalitangazi hawa jamaa wa MAWASILIANO? Au ni mbinu ya kutangaza biashara kwa StarTimes na wenzie! Dunia hii
 
Kama hiyo amount imekushinda lakini kila siku umo JF bundle unanunua hapa inabidi tuanze kuangalia mahusiano ya hivi vitu viwili maana sijasikia kama kuna promotion ya bundle za internet, jitahidi tu mkuu utaweza kwani gharama ya kuchakachua itakua kubwa kuliko hiyo buku 9
Bundle zinachakachuliwa njomba!
 
Kwa bahati bahati mbaya sana watu humu JF hamuaminiki, kila mtu anataka kuonekana mjanja kwa wengine..


Ndio maana ukiweka maujanja hapa wengine wanayachukua na kuenda kutundika FB..

Na wengine kupiga simu kwenye kampuni usika wakitaka kuelezwa namna ya kutumia huduma zao bure..

Watu kama hawa wamefanya baadhi yetu tuwe wachoyo wakushare maujanja hapa hivyo vitu vingi tuna faidi wenyewe kwa sababu kama hizo hapo juu. Tunahitaji kubadilika jamani.

Umewasahau wale wengine ukishawapa wanaenda kuuza kitaa au kuyagawa waonekane nao Magwiji, Kwa mtindo huo lazima wafanyakazi wa kampuni husika ambao tunakaa nao kitaa watainyaka tu nao watawatonya mabwanyenye wao ili wapandishwe vyeo au kuongezewa kiasi ya mboga
 
Back
Top Bottom