Tayari bao moja. Ngome ya ulinzi nishai!Lete khabari waungwana bado tu hatujafungwa?!!
Mambo ya aibu haya yanaelekea kutufika leo!
Tumepigwa kadi ya njano!
Hewalaaa nakushukuru emungu unawapa wahitaji kama Moroco ila vilaza kama Tz we wabanie tu!!Tayari bao moja. Ngome ya ulinzi nishai!
Mungu yuko nasi hii game, ingekuwa 4 saa hizi.