Stars set off for Kilimanjaro: Balozi Maajar, opportunity hii umeipoteza!!

CottonEyeJoe

JF-Expert Member
Jan 8, 2008
331
72
A host of showbusiness names including Cheryl Cole, bandmate Kimberley Walsh and Take That's Gary Barlow have set off in a bid to climb Mount Kilimanjaro.

It's all to raise cash for this year's Red Nose Day campaign and more than £460,000 has been donated already.

The stars flew out from Heathrow on a Kenya Airways plane with its nose painted red for the occasion.

Boyzone frontman Ronan Keating nearly missed the outbound flight from Heathrow after his connection from Dublin was delayed by an hour-and-a-half.

The star had to be driven across the Heathrow Tarmac in order to catch the waiting flight.

A Comic Relief spokeswoman explained: "Ronan nearly didn't make it, it was touch and go.

"His flight from Dublin was delayed and once he did arrive at Heathrow he had to be driven over to the plane, luckily he was just in time."

Barlow said: "We've been planning to climb Mount Kilimanjaro for so long, it's only now that we're boarding the plane that it's really dawned on me just how tough this could be!"

Mount Kilimanjaro stands at 19,340ft above sea level, is the tallest mountain in Africa and the highest free-standing mountain in the world.

source: Stars set off for Kilimanjaro climb - Yahoo! News UK

Bongo media mpoo....au mnangojea kenyan media to capitalize on this as well...
 
Si media peke yake, hata serikali. Kwa nini washukie Kenya kama wanakuja kupanda Kilimanjaro!!!
 
Hapa tumepigwa bao la kisigino na watani wetu jadi kwa mara nyingine tena, watashukia Kenya na kuupandia mlima upande wa Kenya, sasa hapa uwaambie hao masupastaa kwamba Mlima Kilimanjaro upo Tanzania si utakuwa unatafuta kuchekwa tu! And poor Tanzanians, we didnt even know about this untill the very last minute........serekali imelala, media nayo imelala, sijui tutaamka lini.
 
Mpaka sasa hivi wakuu hii habari inapewa uzito mkubwa sana na media and it is being referenced kila mahali hadi kwenye mpira.

Kiufupi ni nafasi pekee tulikuwa nayo ya kujitangaza kupitia hawa ma celebs, lakini sina hakika kama kuna chombo chochote cha habari kimejitahidi walau kutoa habari zao?
I mean katika hali ya economic recession na tunalalamika hakuna watalii, surely hii ingewasaidia kubadili mawazo ya watalii wachache wakaja kutembea kwetu na sio sehemu nyingine, manake utalii umeathirika sana na hii recession.

Kinachoonekana ni kuwa wamekuja na kenya airways hadi nairobi...then ndo wakaja Tanzania na nadhani wametumia Machame route, hadi sasa Uk wapo updated na kila kinachoendela mlimani.

the good thing ni kuwa wana reference kuwa mlima upo Tanzania lakini kinachotamba zaidi ni Kilimanjaro, na sio Tanzania as a country.


angalia kwa mfano hapa na pia hapa vile vile

article-1160068-03C6E198000005DC-192_468x384.jpg


Picha kwa hisani ya the Daily Mail.
 
Last edited:
lol aibu si kiseng........media za bongo ziko dom zina cover mkutano wa ccm
 
We are too laid back, from the president to the man on the street... Tungepata dictator akatuchangamsha kidogo!!
 
We are too laid back, from the president to the man on the street... Tungepata dictator akatuchangamsha kidogo!!

We are fast asleep, tunategemea kila jambo lifanywe na serikali wakati nchi zilizoendelea wananchi wake wanapiga kelele kuzuia mambo ya biashara yasifanywe na serikali.
 
Nadhani kwa waandishi wa kwetu tusiwalaumu sana manake ni nani angewadhamini kupanda na hao ma Cel ?? Na jambo jingine kwa muda mrefu waandishi wetu wamekuwa wagumu wa kutafuta habari mpya zaidi ya zile ambazo zimezoeleka kama habari za mafisadi nk. Vile vile wanapenda zaidi kuandika habari ambazo wanapomaliza kuandika kuna bahasha wanapatiwa na watoa habari/hoja mfano katika makongamano na mikutano mbalimbali na matamasha.
Inabidi waandishi wetu wabadilike sasa katika kutafuta habari
 
ndio maana mie nikiwaambia bora nisome zeutamu mnaniona bwege......
 
ndio maana mie nikiwaambia bora nisome zeutamu mnaniona bwege......

...huwezi jua bana, labda wengine si washabiki wa nyimbo za Celebs hawa, wala hawana ufahamu REDNOSE Day charity inawasaidiaje waafrika...

Gary Barlow ( wa pili kulia) yumo kwenye kundi hili (minus Robbie William);
TAKE THAT.jpg
take that... "I found Heaven", "A million love song", "Could it be magic"

Kimberly Walsh (wa kwanza kushoto), na Cheryl Cole ( wa pili kushoto, Mke wa Ashley Cole wa Chelsea) wamo kwenye;
girls-aloud.jpg
Girls Aloud...

Ronan Keating (mbele) yumo kwenye kundi hili;
boyzone.jpg
Boyzone ... "No matter what", "When you say nothing at all"
...

Gary Barlow, Cheryl Cole, Alesha Dixon, Kimberley Walsh and Ronan Keating are in serious training for a Red Nose Day challenge that is no laughing matter.

The pop stars will be joined by presenters Chris Moyles, Denise Van Outen, Fearne Cotton and Ben Shephard as they attempt to climb the tallest mountain in Africa, Mount Kilimanjaro.
 
Tz bado hatuinvest ktk kujitangaza!

Tunadhani watakuja tu wenyewe watalii!!

We have a long way to go!
 
Tz bado hatuinvest ktk kujitangaza!

Tunadhani watakuja tu wenyewe watalii!!

We have a long way to go!


...bana wweeeeh, we acha tu! imagine Challenge yenyewe hawa ma Celeb wanafanya ku raise funds kwa misaada yetu wenyewe miafrika, mnh...

They are embarking on the gruelling climb in a bid to raise enough money to buy a million malaria nets as well as raising money for good causes across Africa and the UK.

...halafu uchungu unazidi pale unapoona "jirani" ndio anayechukua ujiko kwa hilo...;

The celebrities flew out from Heathrow on a Kenya Airways plane with its nose painted red for the occasion on Friday.

Mount Kilimanjaro is the tallest mountain in Africa and the highest free-standing mountain in the world.

...Cheki hapa Crews wao (KQ) wanavyojimwaya-mwaya na hao ma Celebs, Gary Barlow na Cheryl Cole, ilhali mlima wenyewe upo Tanzania...

85146645.jpg
 
Sijawaelewa wakuu, concern yenu ni nin?

Kuhusu media coverage, sijajua mnazungumzia media gani, hii ya bongo au nyengine? Yaani ninyi watu wanapanga trip kwao huko UK, mlitaka wai-kave vipi hiyo tripkabla hawajakanyaga bongo?

Kuna wengine wanaoilaumu serikali, sasa sielewi wanailaumu nini? Kama hao mastaa wameweza kufika TZ na kuukwea mlima Kilimanjaro, inamaanisha mambo yameenda sawa bin sawia. Sijui mlitakaje au mlitaka ni kingine cha ziada.

Labda mnifafanulie wakuu.
 
Sijawaelewa wakuu, concern yenu ni nin?

Kuhusu media coverage, sijajua mnazungumzia media gani, hii ya bongo au nyengine? Yaani ninyi watu wanapanga trip kwao huko UK, mlitaka wai-kave vipi hiyo tripkabla hawajakanyaga bongo?

Kuna wengine wanaoilaumu serikali, sasa sielewi wanailaumu nini? Kama hao mastaa wameweza kufika TZ na kuukwea mlima Kilimanjaro, inamaanisha mambo yameenda sawa bin sawia. Sijui mlitakaje au mlitaka ni kingine cha ziada.

Labda mnifafanulie wakuu.

Mkuu Mtindiowauobongo, mimi binafsi na wengi wetu hapa concern yetu hapa ni media coverage ya hapa nyumbani..sio UK, na hoja hapo ni kuwa tungeweza kabisa kujitangaza zaidi kiutalii kama tungelivalia njuga suala huli kama wenzetu wa UK na hata hao KQ walivofanya,, tungeweza hata kuinfluence waje kwa ndege kama KLM na sio KQ wakatua moja kwa moja KIA pale, ingemake more sense

Sasa kuna mtu kasema waandishi 'hawakudhaminiwa' kupanda nao mlima na kuwa wamezoea habari za'bahasha'...sasa hilo ni suala zito, ina maana habari zinaandikwa kutegemea na uzito wa bahasha?

tuna safari ndefu lakini mi naona tumepoteza nafasi nzuri ya kujitangaza zaidi
 
Sijawaelewa wakuu, concern yenu ni nin?

Kuhusu media coverage, sijajua mnazungumzia media gani, hii ya bongo au nyengine? Yaani ninyi watu wanapanga trip kwao huko UK, mlitaka wai-kave vipi hiyo tripkabla hawajakanyaga bongo?

Kuna wengine wanaoilaumu serikali, sasa sielewi wanailaumu nini? Kama hao mastaa wameweza kufika TZ na kuukwea mlima Kilimanjaro, inamaanisha mambo yameenda sawa bin sawia. Sijui mlitakaje au mlitaka ni kingine cha ziada.

Labda mnifafanulie wakuu.

...tch-tch-tch! sisi watanzania ni wagumu kidogo kutafuta feedback, kutafakari, na kutafuta ufumbuzi, huh? Mtindio, pls read this article my brother;

International tourists flock Serengeti, cry foul over lack of publicity

By Lina Lorentz - Serengeti:
Though the number of tourists from Europe and America visiting Serengeti National Park has increased manifold this year over the past couple of years, most of them still lament lack of coordination, particularly between the transport and accommodation sectors, publicity and information on the world's largest habitat of wild beasts.

While number of American tourists has increased sharply, there has also been a significant increase in the number of tourists from countries like Spain and China which should convey a healthy sign to the government.

"This year, more Americans have found their way to Tanzania. The fall in their numbers following the terrorist attacks in 2001 has apparently subsided and they are happy to fly overseas for their holidays," said Nick Dalfield, working with a balloon safari company in Serengeti, adding, "there has also been a sharp increase in tourists from Spain and other southern European countries. Notably, more Chinese visitors have come to spend time in Tanzania." This is a good sign for the government which is particularly targeting the Chinese market.

With the Christmas and New Year to come, the business is expected to rise further this year to touch an all time high.
Despite an increase in the number of tourists, it is still difficult to find one way through in the country due to poor dissemination of information, argues most of the travellers.


"The country could do much more in terms of advertising and marketing of major attractions and alternative ways of spending a week's safari. Regarding Serengeti, many tourists have come to know about the park though watching programmes on the Discovery Channel, not much easy access information is available from government run campaigns or sources," said Tom Davies, a British tourist visiting Serengeti.

According to him, it depends on how much time and effort one is willing to spend to get information on Tanzania. "To get information about the national parks you have to visit the websites of different tour operators. What is lacking is a website that gives you an overview of what there is on offer," he pointed out.

"We were told to fly to Nairobi and drive from there to Serengeti. Had I known more about domestic flights in Tanzania I would definitely have spared a day's car journey and opted to fly from Arusha or Dar es Salaam to the park," Davies said.

...mfano; hao Celebs kuupanda Kilimanjaro ni publicity ya kutosha, lakini kwa picha kwamba "ili uupande mlima Kilimanjaro, pitia Nairobi!"...
 
...tch-tch-tch! sisi watanzania ni wagumu kidogo kutafuta feedback, kutafakari, na kutafuta ufumbuzi, huh? Mtindio, pls read this article my brother;



...mfano; hao Celebs kuupanda Kilimanjaro ni publicity ya kutosha, lakini kwa picha kwamba "ili uupande mlima Kilimanjaro, pitia Nairobi!"...

Air Tanzania ingekuwa inakwenda Heathrow, ikarudi Dar kupitia KIA ingekuwa rahisi zaidi. Lakini kwa kuwa shirika limejaa siasa, matokeo yake ndio hayo!
 
Nadhani kwa waandishi wa kwetu tusiwalaumu sana manake ni nani angewadhamini kupanda na hao ma Cel ?? Na jambo jingine kwa muda mrefu waandishi wetu wamekuwa wagumu wa kutafuta habari mpya zaidi ya zile ambazo zimezoeleka kama habari za mafisadi nk. Vile vile wanapenda zaidi kuandika habari ambazo wanapomaliza kuandika kuna bahasha wanapatiwa na watoa habari/hoja mfano katika makongamano na mikutano mbalimbali na matamasha.
Inabidi waandishi wetu wabadilike sasa katika kutafuta habari
tatizo vyombo vya habari viko huru lakini waandishi hawako huruuu... wanaandika habari kwa influnce ya waajiri waoooo..

kwa sasa wako kwenye ufisadi mpaka 2015....labdaaaa.
wakati tuna habari nzito kama uwepo wa njaaa, kujitoa kwa barrick katika mradi wa umeme huko mtwara, kudoda kwa soko la pamba na kuumia kwa mabenki(crdb) waliokopesha sekta ya pamba...HIZO NI ZA KUPITAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

UFISADI NA UJINGA WA WANASIASA KUTAKA UMAARUFUU VIMETAWALA NEWS KILA KUKICHA
 
Mimi kwa upande wangu sishangai sana ila kinachonifanya nistuke ni kwamba mwaka jana jijini London si kulikuwa na kampeni ya kuitangaza Tanzania kupitia mabango kwenye mabasi?

Sasa hayo matangazo mbona siku hizi hayaonekani manake yangesaidia hata kuwaambsha watu wa huku majuu kuhusu wapi ulipo mlima wetu wa Kilimanjaro.
 
Mkuu Mtindiowauobongo, mimi binafsi na wengi wetu hapa concern yetu hapa ni media coverage ya hapa nyumbani..sio UK, na hoja hapo ni kuwa tungeweza kabisa kujitangaza zaidi kiutalii kama tungelivalia njuga suala huli kama wenzetu wa UK na hata hao KQ walivofanya,, tungeweza hata kuinfluence waje kwa ndege kama KLM na sio KQ wakatua moja kwa moja KIA pale, ingemake more sense

Mkuu,

Ishu ya media ya TZ, ni media gani unayoizungumzia, binafsi au akina TBC? Sidhani kama kwenye ishu kama hii ya matembezi ya kuchangia kitu fulani, ambayo ni ya kimataifa, kama local media vina-impact sana. Maana havina nguvu ya ku-cover hadi nje ya mipaka yetu na mvuto vilevile havina. Tunavilaumu bure tu. Labda wenzangu mnaliona tofauti.

Kuhusu usafiri na mpango mzima wa safari, hapa sielewi ni mechanism gani utakayoitumia kumpangia mtu apande KLM (obviously, the most expensive Airliner operating around TZ) na kuacha Kenya Airways, ilhali yeye ndiye anayejilipia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom