mkuu msishangilie.....leo mnapigwa bao..hamchomoki mbele ya mambazGooooooooooooooooooooooooooooooooooooo! Mwinyi Kazimoto.
mkuu msishangilie.....leo mnapigwa bao..hamchomoki mbele ya mambaz
Wewe ndo huchomoki, mburundi wewe.
mkuu msishangilie.....leo mnapigwa bao..hamchomoki mbele ya mambaz
hali ya kipindi cha kwanza ilikuwaje wadau, au kama kawaida yetu ni kubutua tu mpaka mpira uingie wenyewe golini...
poa arifu ila nakuambie kweli...hamchomoki....nimesema mkishinda leo....sitaingia JF week.......Wewe ndo huchomoki, mburundi wewe.
hali ya kipindi cha kwanza ilikuwaje wadau, au kama kawaida yetu ni kubutua tu mpaka mpira uingie wenyewe golini...
huyu kocha ni kama mgonjwa bwana yaani havutii kabisa kuwa kocha...yaani yuko kama mateka kwa jinsi alivozubaa
hali ya kipindi cha kwanza ilikuwaje wadau, au kama kawaida yetu ni kubutua tu mpaka mpira uingie wenyewe golini...
ahahahahaha.......mkuu inaonekana upo serious!
poa arifu ila nakuambie kweli...hamchomoki....nimesema mkishinda leo....sitaingia JF week.......