Aiseee umenikumbusha msemo wa mbali sana, kudinyana. Mzee2011 kudinyana na kusex.Samahani mkuu nini maana ya kudinyana.
2. Kutaga
Mkuu katika top 3 starehe ni kudinyana, kama haupo hapo basi kaulabu katakuteka na ukikosekana hapo basi spots lazima ikuzoe. Kulala siyo starehe kwa sababu kila mtu ni lazima alale. Maana ya starehe ni kile kitu ambacho mtu kwa hiari yake anakipenda kukifanya ili kuiridhisha nafsi yake. Uchaguzi wa maridhisho ya nafsi unatofutiana baina ya mtu na mtu na hapo ndipo kila mtu anapokuwa na starehe yake.Kila mtu ana vitu anavyopenda, list your top three starehe. 1 means unaipenda zaidi , mfano are;
1. Kudinyana
2. Kutaga
3. Kulala
TUSKER bariiiiiiiiidiRugby
Gym
Bia baridi. .....
Kwa hiyo magroup ni kama matatu, michezo, unywaji na kale kaasili ketu tulikoumbiwa mapenzi siyo?Rugby
Gym
Bia baridi. .....
TUSKER bariiiiiiiiidi
Kwa hiyo magroup ni kama matatu, michezo, unywaji na kale kaasili ketu tulikoumbiwa mapenzi siyo?
1.Pombe
2.Mademu
3.Kuangalia English Premier League
Kila mtu ana vitu anavyopenda, list your top three starehe. 1 means unaipenda zaidi , mfano are;
1. Kudinyana
2. Kutaga
3. Kulala
Bwax
Veve
Cha ukucha.