CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
jaman kuuliza co ujinga, hv ni kipindi gani kinaendelea startv mbna km celewi elewi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jaman kuuliza co ujinga, hv ni kipindi gani kinaendelea startv mbna km celewi elewi?
mimi nawapenda startv. Mgeni wao kasema serikali ya Tanzania ni legelege. bajeti ikataliwe ili ikasukwe tena na Bunge liahilishwe hadi baada ya miezi 3. Mia
jaman kuuliza co ujinga, hv ni kipindi gani kinaendelea startv mbna km celewi elewi?
Judgement uko deep mkuu....mzima weyeCharmy, kila J'2 kuna Uzi maalumu ambao upo mda mrefu, ambapo nadhani ulianzishwa kwa mashirikiano baina ya Invisible na Yahya M. (Mtangazaji wa StarTV)
uzi huo upo jukwaa la Siasa ambapo yeye Yahya M. ni member wa Jf na anakaribisha members wengine kushare topics itakayokua kipindini.
That's why umemsikia akitaja sana Jf, na pia anachukua comments toka fcbk.
Au sicho hicho ulichotoka kujua?
Judgement uko deep mkuu....mzima weye
Charmy, kila J'2 kuna Uzi maalumu ambao upo mda mrefu, ambapo nadhani ulianzishwa kwa mashirikiano baina ya Invisible na Yahya M. (Mtangazaji wa StarTV)
uzi huo upo jukwaa la Siasa ambapo yeye Yahya M. ni member wa Jf na anakaribisha members wengine kushare topics itakayokua kipindini.
That's why umemsikia akitaja sana Jf, na pia anachukua comments toka fcbk.
Au sicho hicho ulichotoka kujua?