Star tv

MANGUNGO

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
1,536
352
Star tv kwanini inabagua kusoma gazeti la mwanahalisi na raia mwema?habari za upinzani hurukwa ktk magazeti,kwanini hv?
 
Star tv kwanini inabagua kusoma gazeti la mwanahalisi na raia mwema?habari za upinzani hurukwa ktk magazeti,kwanini hv?

Kwani gazeti la Mwanahalisi na Raiamwema ni magazeti ya kila siku? Hilo la kurukwa kwa habari za upinzani lisikupe shida kwani mtaani nako wanazuia watu kusoma au wewe ukishasomewa vichwa vya habari haununui tena gazeti?
 
Yani humu mkuna watu mawazo yao kila kitu ni kuwaza upinzani kwa kila anachokiona, hamna kazi za kufanya? kuweni busy na kazi siyo kusubili upinzani unafikili wao hata wakichukua dora watakujazia pesa mfukoni bila kufanya kazi. Halafu hata ratiba za magazeti hujui unawaza upinzani tu.
 
Ww ndo hujaelewa na sio kuwaza upinzani kwani kuna hoja hapo. HABARI ZA UPINZANI hii ni sehemeu kuu ya swali halafu anza kujibu. Usiwaze kinyume kila siku hukusoma kiswahili????????????????? Darasani
 
Mkuu,kabla sijatoa mchango wangu,ni LAZIMA ukumbuke kuwa:
1:MAGAZETI yana MAANA PANA SANA!!!
Hii ni kutokana na sababu ZIFUATAZO:
a/MAGAZETI ni MAJARIDA yenye MAANDISHI yaliyo undwa na MANENO ambayo yana VIPENGELE vidogovidogo zaidi vinavyo itwa HERUFI!!
Kila herufi Kubwa hapo juu inabeba maana inayojitegemea!
2.WAPINZANI ni MAANA mbaya ZAIDI!!
Kwani lina maana kama NNE HIVI:
a/Walio zoea kupinga
b/Wahaini Nk!
3. MWANAHALISI,MTANZANIA,RAIA MWEMA,TBC au TV TUKUYU zina MAANA zinazotofautiana!!
KWANI:
1.KILA MOJA INA MAANA YAKE.
2.kila moja Linatoka Mara MOJA KWA WIKI na
MBAYA ZAIDI,
Kila wiki kwa Kila moja maudhui yanatofautiana!!

INAYO UMIZA KICHWA SANA ni kuwa MWAKA una WIKI 52 na sina UHAKIKA wewe UNA WIKI NGAPI?
-Baada ya kuyasoma maswali yangu na Kuyaelewa,hivyo kukupa uwanja mpana zaidi wa kujieleza:
1.RUDI HAPA.
2.Soma MAELEZO YANGU ili YAKUSAIDIE kujenga HOJA NZURI ZAIDI.
3.MIMI na GREAT THINKERS WENZAKO TUTARUDI HAPA,ili Kuona Uwezekano wa Kuchangia Kwa kukufungukia zaidi!
MY TAKE:
ubongowamwananchi says thanks for this very useful post!!
 
Mkuu,kabla sijatoa mchango wangu,ni LAZIMA ukumbuke kuwa:
1:MAGAZETI yana MAANA PANA SANA!!!
Hii ni kutokana na sababu ZIFUATAZO:
a/MAGAZETI ni MAJARIDA yenye MAANDISHI yaliyo undwa na MANENO ambayo yana VIPENGELE vidogovidogo zaidi vinavyo itwa HERUFI!!
Kila herufi Kubwa hapo juu inabeba maana inayojitegemea!
2.WAPINZANI ni MAANA mbaya ZAIDI!!
Kwani lina maana kama NNE HIVI:
a/Walio zoea kupinga
b/Wahaini Nk!
3. MWANAHALISI,MTANZANIA,RAIA MWEMA,TBC au TV TUKUYU zina MAANA zinazotofautiana!!
KWANI:
1.KILA MOJA INA MAANA YAKE.
2.kila moja Linatoka Mara MOJA KWA WIKI na
MBAYA ZAIDI,
Kila wiki kwa Kila moja maudhui yanatofautiana!!

INAYO UMIZA KICHWA SANA ni kuwa MWAKA una WIKI 52 na sina UHAKIKA wewe UNA WIKI NGAPI?
-Baada ya kuyasoma maswali yangu na Kuyaelewa,hivyo kukupa uwanja mpana zaidi wa kujieleza:
1.RUDI HAPA.
2.Soma MAELEZO YANGU ili YAKUSAIDIE kujenga HOJA NZURI ZAIDI.
3.MIMI na GREAT THINKERS WENZAKO TUTARUDI HAPA,ili Kuona Uwezekano wa Kuchangia Kwa kukufungukia zaidi!
MY TAKE:
ubongowamwananchi says thanks for this very useful post!!



Mkuu wewe ni noma mara hii tu umekuja na ID mpya!!?
 
Mkuu,kabla sijatoa mchango wangu,ni LAZIMA ukumbuke kuwa:
1:MAGAZETI yana MAANA PANA SANA!!!
Hii ni kutokana na sababu ZIFUATAZO:
a/MAGAZETI ni MAJARIDA yenye MAANDISHI yaliyo undwa na MANENO ambayo yana VIPENGELE vidogovidogo zaidi vinavyo itwa HERUFI!!
Kila herufi Kubwa hapo juu inabeba maana inayojitegemea!
2.WAPINZANI ni MAANA mbaya ZAIDI!!
Kwani lina maana kama NNE HIVI:
a/Walio zoea kupinga
b/Wahaini Nk!
3. MWANAHALISI,MTANZANIA,RAIA MWEMA,TBC au TV TUKUYU zina MAANA zinazotofautiana!!
KWANI:
1.KILA MOJA INA MAANA YAKE.
2.kila moja Linatoka Mara MOJA KWA WIKI na
MBAYA ZAIDI,
Kila wiki kwa Kila moja maudhui yanatofautiana!!

INAYO UMIZA KICHWA SANA ni kuwa MWAKA una WIKI 52 na sina UHAKIKA wewe UNA WIKI NGAPI?
-Baada ya kuyasoma maswali yangu na Kuyaelewa,hivyo kukupa uwanja mpana zaidi wa kujieleza:
1.RUDI HAPA.
2.Soma MAELEZO YANGU ili YAKUSAIDIE kujenga HOJA NZURI ZAIDI.
3.MIMI na GREAT THINKERS WENZAKO TUTARUDI HAPA,ili Kuona Uwezekano wa Kuchangia Kwa kukufungukia zaidi!
MY TAKE:
ubongowamwananchi says thanks for this very useful post!!
Mkuu nimesoma post yako kuhusu Vipi Gazeti la Mwananchi sikukuelewa. Nimesoma hapa.sijakuelewa tena!
Unatoa kauli kama alizokuwa anazitoa John Okello baada ya mapinduzi ya Zanzibar!
 
Back
Top Bottom