Mimi sijakiangalia. Lakini ninachojua ni kwamba kipindi kikiendeshwa na Yahya m basi siku hiyo kipindi ni kibovu usipime. Huyu jamaa hajui maana ya mijadala huru hata kidogo. Anataka kusikia alichokipanga mwenyewe kichwani mwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.