Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Wabunge wengi wa ccm wamekuwa na tabia ya kuipongeza na kuiunga mkono bajeti kwa 100%, halafu kwenye mchango wao wanaiponda bajeti kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Hii tabia ya kuwahadaa wananchi ni mbaya sana kwa mustakbali wa taifa. Kinachoonekana ni kujipendekeza kwa rais kwa kuitetea chama badala ya wananchi waliowatuma bungeni.
Another silly season.
Hii tabia ya kuwahadaa wananchi ni mbaya sana kwa mustakbali wa taifa. Kinachoonekana ni kujipendekeza kwa rais kwa kuitetea chama badala ya wananchi waliowatuma bungeni.
Another silly season.