Mkuu Star TV wako juu sana, kwanza kuwapata online imekuwa msaada mkubwa sana kwa sisi tulio mbali na nyumbani safi sana, na inaonyesha wanavyoenda na wakati.Hao TBCCM wamekalia siasa badala yakwenda na mabadiliko ya Teknolojia.
Wakuu,TBC ni channel ya Umma(Shirika la Umma)bt najaribu kukompea programme zake haidizevu kuitwa Channel ya Umma.Star,bg up hasa hiki kipindi cha BBC News kuanzia saa3 usku kwa lugha ya KISW..Mpewe ruzuku Za TBC.A.Diallo take 5.
Jamani mimi ninampenda sana samadu hassan katika anga za kimataifa 'kuvunjika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi pangu pakavu ntilie mchuzi' uko juu babaangu!