Star tv haipo hewanii!!!.

String Theorist

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
203
179
Habari wana JF.
Wiki inaisha sasa hapa mbeya STAR TV kupitia satellite dish (hasa haya ya futi 6)haishiki kabisa. TATIZO LINAWEZA LIKAWA NINI?. naomba mwenye data na majibu atumwagie hapa. NATANGULIZA SHUKRANI.
 
Habari wana JF.
Wiki inaisha sasa hapa mbeya STAR TV kupitia satellite dish (hasa haya ya futi 6)haishiki kabisa. TATIZO LINAWEZA LIKAWA NINI?. naomba mwenye data na majibu atumwagie hapa. NATANGULIZA SHUKRANI.

hata sisi hatupati star tv na radi free even channel 10 na itv,,sisi hapa tunapata tbc na radio zao pekee,,labda wenye satilite zao wamewapiga ban
 
hata sisi hatupati star tv na radi free even channel 10 na itv,,sisi hapa tunapata tbc na radio zao pekee,,labda wenye satilite zao wamewapiga ban
hata huku hata tbc1 na atn zimeanza kusumbua. yaani zinashika kwa machale mno.
 
Back
Top Bottom