Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
.........UPDATES..........
Hatimaye Rado anauwawa na Prosephina,Aireen nae anatupwa toka juu ya
gorofa na kufariki,anabaki Hommer na Prosephina.
Prosephina anafanikiwa kumpata mama yake mzazi.maisha yanaendelea.
............................THE END..............................
STAR TV
DANGEROUS LOVE-MOVIE
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa movie kali inayokwenda kwa jina
la "DANGEROUS LOVE",Ama kweli kuna picha ambazo unaweza kuziona
ukadhani hazikutungwa hapa duniani na binadamu wenzetu,ukweli
ni picha ambayo imenifanya kuwahi nyumbani ili tu nipate muda
mzuri wa ku-watch mpaka nione mwisho wake.
Kuna mastaa kama watatu lakini kiongozi wao anaonekana zaidi
ni Mr Hommer,kijana mtanashati,mwenye mapenzi ya kweli kwa
Prosephina mwanamke ambaye alikuwa chaguo la Mr Rado kijana
tajiri aliyetokea kumpenda sana Prosephina kiasi cha kutumia muda
wake mwingi sana kumlinda asitoroke kwenye nyumba alimohifadhiwa.
Lakini hata hivyo anamwajiri mtu aliyejifanya mfanyabiashara kwake kazi
ya kumlinda Prosephina kutahamaki kaajiri mpenzi wake na mpango unasukwa wa
kutoroka makazi yao na hatimaye wanakuwa wote mipango ya kufunga harusi inafanyika
lakini harusi yenyewe inaingia utata baada ya msichana aliyekuwa kipenzi cha Mr Hommer
aitwaye Aireen akituma majambazi kuteka gari la bibi harusi na kumshikilia ndani ya jengo
lisilojulikana na hatimaye harusi kuvunjika.
Leo ni wmendelezo wa picha yenyewe ukitaka usikose kuangalia STAR TV jioni saa 3.00 usiku
baada tuu ya vichekesho vya uwanjani.
Nawashukuru STAR TV kwa kurusha Movie kali hewani ambayo imenifanya niwahi kurudi
nyumbani na kukuta watoto wakinisubiri kuangalia picha.
Hatimaye Rado anauwawa na Prosephina,Aireen nae anatupwa toka juu ya
gorofa na kufariki,anabaki Hommer na Prosephina.
Prosephina anafanikiwa kumpata mama yake mzazi.maisha yanaendelea.
............................THE END..............................
STAR TV
DANGEROUS LOVE-MOVIE
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa movie kali inayokwenda kwa jina
la "DANGEROUS LOVE",Ama kweli kuna picha ambazo unaweza kuziona
ukadhani hazikutungwa hapa duniani na binadamu wenzetu,ukweli
ni picha ambayo imenifanya kuwahi nyumbani ili tu nipate muda
mzuri wa ku-watch mpaka nione mwisho wake.
Kuna mastaa kama watatu lakini kiongozi wao anaonekana zaidi
ni Mr Hommer,kijana mtanashati,mwenye mapenzi ya kweli kwa
Prosephina mwanamke ambaye alikuwa chaguo la Mr Rado kijana
tajiri aliyetokea kumpenda sana Prosephina kiasi cha kutumia muda
wake mwingi sana kumlinda asitoroke kwenye nyumba alimohifadhiwa.
Lakini hata hivyo anamwajiri mtu aliyejifanya mfanyabiashara kwake kazi
ya kumlinda Prosephina kutahamaki kaajiri mpenzi wake na mpango unasukwa wa
kutoroka makazi yao na hatimaye wanakuwa wote mipango ya kufunga harusi inafanyika
lakini harusi yenyewe inaingia utata baada ya msichana aliyekuwa kipenzi cha Mr Hommer
aitwaye Aireen akituma majambazi kuteka gari la bibi harusi na kumshikilia ndani ya jengo
lisilojulikana na hatimaye harusi kuvunjika.
Leo ni wmendelezo wa picha yenyewe ukitaka usikose kuangalia STAR TV jioni saa 3.00 usiku
baada tuu ya vichekesho vya uwanjani.
Nawashukuru STAR TV kwa kurusha Movie kali hewani ambayo imenifanya niwahi kurudi
nyumbani na kukuta watoto wakinisubiri kuangalia picha.