fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Yangu ni DVBT2 kwahiyo mzee nasubiri maelekezo...KAMA DECODER YAKO NI DVBT2 UNAPATA BILA TABU. Lkn wale wenye Dvb T1 hakuna tena. Hii inatokana na Ting kuhama kutoka mfumo wa dvb t1 na kwenda ktk dvb t2 HD. Chnl zote hz ni package ya Ting na sii za startimes.