BinMgen
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 1,854
- 262
HAKUNA KISICHOWEZEKANA watu wanaendelea kukamuaIredeto 2 ya DSTV haijawahi kuwa hacked so sahau kabisa kama unatafuta kuchakachua DSTV, card sharing ina matatizo mengi sana, kwanza key zinaweza kubadilika kila baada ya sekunde kadhaa meaning inabidi upate key mpya, kuna decoder zinaweza kuvuta keys kutoka net kama kuna mtu anashare keys zake ila tatizo jamaa anayeshare anajiweka hadharani so kukamatwa rahisi.
Pia kampuni nyingi hazitransmit unencrypted keys, key inabidi iwe decrypted ndani ya decoder na ni decoder official tu zinazoweza ku decrypt hiyo key someni Wiki ya Iredeto na cardsharing mtaona muziki wake.