Pumbaf sana,kwanin mmetuwekea chanal zakipuuzi alafu zakijanja kama mtv base,komfu na ubc mmezitenga...
Navyojua mimi kuna vifurushi viwili, kimoja kinaitwa MAMBO na kingine kinaitwa UHURU, kwenye tangazo lao wanasema MAMBO ina chanel zipatazo 35+ bei yake ni 9,000 kwa mwezi, na UHURU yenye chaneli kama 45+ bei yake ni 18,000 kwa mwezi! Kwa kifupi ni hivyo!
kamugisha dish zinapatikana zenj nenda Sameer store mchangani street,au muzamil shop eneo la darajani,kama una mtu zenj muagize utapata bila tabu, Abudhabi sport2,abudhabisport 3 na abudhabisport 4 kuna chanel kama 5 zinaonesha lig ya uk,na chanel zingine unajionea muvi na habari nzuri sana.Mwera.... ebu nibip tuongee angalau nipate information ya ilo dish, nimeweka hapo no zangu, hata ya tigo ni 0718 808844
Hawafai ni wasanii tu,hata bure silitaki decorder lao,kwa wale wanaotaka kuona ligi ya uk wakanunue dish zenj 150000 tu unapata mechizote,ni dish la arabsat chanel inaitwa abudhabi sport iko chanel 4, kwakiarabu inaitwa abudhabi riyadhiya.hakuna malipo yamwezi hata sumni na unaona mechizote ligiya uingereza live!
hata mie nimeona tangazo lao linapita kwenye tv jana nimejaribu kuwapigia ile namba ipo kwenye answer machine hakuna anayepokea sasa sijajua wanataka nini hasa na pia wameweka ili channel ya ubc kwa hapo nimewasifu kwani sasa tutaweza kuona mech za uk prem na uefa bila tatizo
mkuu kamugisha usijali kesho mchana nitakupigia simu nikupe maelekezo yakina,pia kama upo dar nitakupa namba yajamaayangu alieko zenj atakuletea mpk ulipo hilo dish.nasubilia unibip kaka, ninahamu na hzo chanel, vp hazna vkwazo? je ukiweka receiver uki-search mwenyewe au kuna frequency unatakiwa kuwa nazo ili uzipate? naitaji darasa tafadhari