Star Times nao wameanza magumashi!

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
Wadau kuanzia leo eti star times nayo wamekuwa kama ting na dstv,wanatoa huduma kwa mafungu au category,kuna mambo category na uhuru category!kwa nn msitoe taarifa mapema?,kwa huduma zipi za maaana?au ni hiyo UBC kuanza kuonyesha UEFA?
Acheni ubabaishaji tutahamia ting sasa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom