sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Kipindi cha kuelekea kuanza kwa mashindano ya Uero 2012 StarTimes walikuwa wanatoa matangazo kwamba kupitia kwenye king'amuzi cha Startimes.. watakuwa wanaonyesha moja kwa moja fainali hizo kupitia UBC.. Cha ajabu na kushangaza ni baada ya kuonyesha mechi moja ya ufunguzi jana.. wameshindwa kuonyesha mechi nyingine iliofuata ya Russia vs Check.. za leo Holland vs Denmark na Portugal vs Germany.. Kinachouma ni kitendo cha kwenda kununua voucher ya Startimes kwa ajili ya kuangalia fainali ambazo sasa hazionyeshwi tena.. Nikalalamike wapi..?
Kweli ambao hatuna hata hivi vidogo vitachukuliwa...
Kweli ambao hatuna hata hivi vidogo vitachukuliwa...