tutaweza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 634
- 457
Sina uhakika kama hii post ilishawekwa, ila sijawaelewa hawa Star Times kuendelea kuonyesha picha za marehemu kanumba katika mabango yao wanamaanisha nini?
Wanajamii naomebeni mnieleweshe kama kimaadili ya kitanzania hili jambo ni sahihi.
Nawasilisha.
Wanajamii naomebeni mnieleweshe kama kimaadili ya kitanzania hili jambo ni sahihi.
Nawasilisha.