Hivi mnajiona sawa.Mpaka tv inayoendeshwa kwa kodi zetu tuilipie? Eti airtime ikiisha wanakata mpaka TBC1.Kwahiyo nayenyewe tuite chanel ya kulipia.Hii yenu ni TEKNOBANIA.Mnaboa
Hawa wachina wamenikera mno kwanza huduma zao ni za ovyo waliahidi ikifika tarehe 20/6/2012 wataanza kuonyesha channel zote za ndani bure mpaka leo hakuna Star,Itv, chanel 5, capital c2c ctn dtv, pia wanaweza ondoa chanel bila hata notes, kimsingi wanakera kama tbccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.