Standi ya Mabasi ya Mikoani Dodoma ni mtego wa Boss

Ukwaju

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
13,370
11,089
Standi ya mabasi ya Mikoani imehamishiwa nje ya Mji Kilometa 8 kabla hujaingia Mjini tokea Morogoro eneo la Nzuguni NaneNane yalipokuwa Maonesho ya Kilimo ya Kitaifa kanda ya Kati
Uwanja huu upo chini ya TASO ambayo ipo chini ya Mkuu wa Mkoa Dodoma
Tatizo limeanzia baada ya Kampuni ya Reli kudai inataka uwanja wake ambao unatumiwa na Stand ya Mkoa, wakati Standi halali uwanja wake upo Njedengwa ilipo NHC km CDA Mamlaka ya mji ilivyopanga
Kosa la 1 ni kutoza kiingilio sh 200/ kuingia Nzuguni Stand wakati humo ndani choo sh 500/
Kosa lla 2 usafiri kutoka Mjini alfajiri sh 10,000/ hadi 15,000/ toka Nkuhungu hjia ya Singida
La 4 Mkuu wa Mkoa kwa vile TASO tunawajua na ulaji wao wa Nanenane usijiingize na mkajifanya km Ubungo Terminal mtaumiza wasafiri wanaotumia njia zote 4 Singida, Iringa/Mtera, Arusha /Kondoa na Shirika la Reli wataumia (kwa njia za kutoka Dar ni ya Morogoro na Kilwa road tu)
5 Pia mmepandisha gharama za wasindikizaji na wapokeaji bora muweke vibanda vya ticket nje ya uwanja au Mkuu wa Mkoa shirikiana na CDA km huna mkono hapo
 
Standi ya mabasi ya Mikoani imehamishiwa nje ya Mji Kilometa 8 kabla hujaingia Mjini tokea Morogoro eneo la Nzuguni NaneNane yalipokuwa Maonesho ya Kilimo ya Kitaifa kanda ya Kati
Uwanja huu upo chini ya TASO ambayo ipo chini ya Mkuu wa Mkoa Dodoma
Tatizo limeanzia baada ya Kampuni ya Reli kudai inataka uwanja wake ambao unatumiwa na Stand ya Mkoa, wakati Standi halali uwanja wake upo Njedengwa ilipo NHC km CDA Mamlaka ya mji ilivyopanga
Kosa la 1 ni kutoza kiingilio sh 200/ kuingia Nzuguni Stand wakati humo ndani choo sh 500/
Kosa lla 2 usafiri kutoka Mjini alfajiri sh 10,000/ hadi 15,000/ toka Nkuhungu hjia ya Singida
La 4 Mkuu wa Mkoa kwa vile TASO tunawajua na ulaji wao wa Nanenane usijiingize na mkajifanya km Ubungo Terminal mtaumiza wasafiri wanaotumia njia zote 4 Singida, Iringa/Mtera, Arusha /Kondoa na Shirika la Reli wataumia (kwa njia za kutoka Dar ni ya Morogoro na Kilwa road tu)
5 Pia mmepandisha gharama za wasindikizaji na wapokeaji bora muweke vibanda vya ticket nje ya uwanja au Mkuu wa Mkoa shirikiana na CDA km huna mkono hapo

Embu andika vizuri ueleweke umejichanganya sana
 
Back
Top Bottom