Nakubaliana na wewe mkuu. Nakumbuka enzi za gazeti MOTOMOTO!
Jamani kuna mwandishi anhitwa Twaha Khalfani Jenerali Ulimwengu. Kwa kweli huyu naye ametoa mchango mkubwa kwenye tasnia ya habari..Of course kuna akina Ansebert Ngurumo lakini bado bado...Kama si uroho wa pesa akina Dr Shoo na Salva Rwey.. enzi za HCL walitia fora nao...Tunahitaji kizazi kipya cha uhandishi shime akina Ngurumo...