Kumbe hata Agoro Anduru alishafariki, so sad. Hadithi za Kiswahili za magazetini zilizonivutia wakati huo ziliandikwa na huyu Anduru (RIP), Ben Mtobwa, Hammie Rajab, Sam Kitogo (napenda nisikie kuwa hawa bado wako hai). Siku hizi hakuna gazeti la kiswahili lenye hadithi nzuri, ule uandishi umeondoka na wahusika.