Ninja
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 348
- 535
WAKUU WANA JF JINA LA BWANA YESU KRISTO LITUKUZWE
Yoh 3:16 inasomeka hivi ' kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa mwana wake wa pekee ili kila amwaminie asipotee, bali awe na uzima wa milele.'
Ni vizuri pasaka hii tukaisheherekea kwa kukumbuka kwamba Mungu kwa kutupenda, alimtoa mwana wake pekee kwa ajili ya dhambi zetu yaani Yesu Kristo(Math 1:21).
Unaposhawishiwa na shetani kufanya maasi wakati huu wa pasaka, kumbukumbu hii ya upendo wa Mungu kwetu na ikuzuie wewe ili usimwasi Mungu.
PASAKA NJEMA KWENU NYOTE NA BWANA AWABARIKI SANA!
Yoh 3:16 inasomeka hivi ' kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa mwana wake wa pekee ili kila amwaminie asipotee, bali awe na uzima wa milele.'
Ni vizuri pasaka hii tukaisheherekea kwa kukumbuka kwamba Mungu kwa kutupenda, alimtoa mwana wake pekee kwa ajili ya dhambi zetu yaani Yesu Kristo(Math 1:21).
Unaposhawishiwa na shetani kufanya maasi wakati huu wa pasaka, kumbukumbu hii ya upendo wa Mungu kwetu na ikuzuie wewe ili usimwasi Mungu.
PASAKA NJEMA KWENU NYOTE NA BWANA AWABARIKI SANA!