mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
nadhani kuna haja ya kutumia jina lako halisi ili akujue we ni nani...Laiti kama ungenijua mimi ni nani wala usingethubutu kutoa maneno ya rejareja. Inaelekea wewe bado ni mtoto sana na hivi vitu vinakushangaza. Kama mtu mzima ninasema 'kua uyaone'. Haya ya wanaume kumi tena kwa uwazi huo ni kitu kidogo sana! By the time you are of age if at all you will ever be hutashangazwa na hili wala hutauliza maswali. Si lazima na wewe upitie wanawake kumi au wanaume kumi maana kwa jina lako haieleweki jinsia, utajua kwamba ni kitu kidogo. Kuwa kwake staa au celebrity kama wengine mnavyomchukulia haibadilishi dhana kuwa yeye ni binadamu. Tumeona ya firauni, hili la musa halinishangazi chochote kwa hiyo kijana shika adabu yako ukiongea na wakubwa.