Staa wa bongo akiri kuliwa uroda na wanaume 10

Laiti kama ungenijua mimi ni nani wala usingethubutu kutoa maneno ya rejareja. Inaelekea wewe bado ni mtoto sana na hivi vitu vinakushangaza. Kama mtu mzima ninasema 'kua uyaone'. Haya ya wanaume kumi tena kwa uwazi huo ni kitu kidogo sana! By the time you are of age if at all you will ever be hutashangazwa na hili wala hutauliza maswali. Si lazima na wewe upitie wanawake kumi au wanaume kumi maana kwa jina lako haieleweki jinsia, utajua kwamba ni kitu kidogo. Kuwa kwake staa au celebrity kama wengine mnavyomchukulia haibadilishi dhana kuwa yeye ni binadamu. Tumeona ya firauni, hili la musa halinishangazi chochote kwa hiyo kijana shika adabu yako ukiongea na wakubwa.
nadhani kuna haja ya kutumia jina lako halisi ili akujue we ni nani...
 
duh! Huyo ni muongo kumi tu! Kwa maisha haya ya kibongo. Kwanza ana umri gani? Wakati anasoma alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na watu wangapi? Baada ya hapo? Hiyo kumi kapunguza saana idadi ni very rare kumkuta msichana ana ka 25 yrs afu kasema katembea na less than 15, sio ka namnanga ila ndo hali halisi ya bongo ukiwa kijana mahitaji ni mengi na mafataki yako ya kutosha yana mbinu nyingi saana so angekuwa muwazi tu wala tusingemuona malaya tungemuelewa kwan ndo hali halisi
Mkuu Pukudu, wewe ume "DO" na wangapi mwaka huu?
 
Back
Top Bottom