mwisho lini wa usajili mkuu?? maana wengine hatujawasiliDah usinikumbushe nilikuja saa 3 nimemaliza saa 10
mwisho lini wa usajili mkuu?? maana wengine hatujawasili
hahahaha lakin vp hostel na fain inaanza lini???Nadhani leo ndio mwisho maana orientation ni kesho ...lakini njoo tuu usiwe na shaka..amna fimbo za kuchelewa
Hakuna usumbufu kinachotakiwa ni ada yako kwa wale wenzangu na mimi first year NON PRIOLITY COURSE ufike na 733,000/= tofauti na hapo NO registration.Usumbufu hakuna kwa leo mimi nimetumia 30 minutes tu.
wanakagua vitu gani na gani kwani?na wanasemaje kuhusu Watu wanaotegemea kulipiwa mkopo na bodi?
hahahaha lakin vp hostel na fain inaanza lini???
mi nauza rum la off campus kwani za ndani zimejaa