Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
kama ulisoma st mary's ya mama lwekatare kipindi cha mwaka 2001 kushuka chini naomba tukumbushane kipindi hiko cha kina Mr. Kidu,Mr Ang'ute na wengineo!!!!nachoka manake kila nikikuta post naona sijui waliosoma Ndanda!sijui Azania!hata kama hujasoma Mary Mary basi hata kama ulipitia F.K,Laureate au Green Acres na Loyola najua kuna vitu tunaweza kukumbushana kama siyo mambo ya slipway basi ndoto za kwenda Europe na U.S.A!!!!!Kings Tower!!!!!!