St. Marry Mazinde Juu iko juu

St.Mary's Mazinde Juu ni mchepuo wa St.Mary's Kifungilo Girls' Secondary School kwani baadhi ya walimu walitoka Kifungilo na kwenda kufundisha Mazinde Juu.Kwa wale wanaomkumbuka Sister Msaki alikuwa Kifungilo na Father Damian alikuwa Magamba Secondary. Hizi shule mbili ni best schools in Tz.Kazi ni msingi wa maendeleo kwa hivi wacha tu wafanye kazi. Tulifanya tulipokuwa Kifungilo ndio maana tupo tulivyo leo.Lol!! Keep it up St.Mary's Mazinde Juu as well as St.Mary's Kifungilo Girls'.

Father Damian alifundisha Magamba???miaka gani??mwenye data embu aseme...mie sijawahi sikia....

na pia kifungilo nayo ni st. naniii?
 
Rosylene kukufahamisha tu Kifungilo ilikuwa inaitwa Kifungilo St.Mary's Primary School kabla haijawa Secondary.
Father Damian alikuwa Magamba Secondary kama Padri ni sawa na Father Peter alivyokuwa Kifungilo. By the way nimesoma Kifungilo
Ukiweza mtafute Sister Fidesta nasikia amerudi Kifungilo atakujuza zaidi. Nadhani nimejitahidi kujibu swali lako.
 
Rosylene kukufahamisha tu Kifungilo ilikuwa inaitwa Kifungilo St.Mary's Primary School kabla haijawa Secondary.
Father Damian alikuwa Magamba Secondary kama Padri ni sawa na Father Peter alivyokuwa Kifungilo. By the way nimesoma Kifungilo
Ukiweza mtafute Sister Fidesta nasikia amerudi Kifungilo atakujuza zaidi. Nadhani nimejitahidi kujibu swali lako.

Magamba ni shule ya serikali na imebaki kuwa ya serikali...

nimekaa hapo MZJ for 2 years na sijawahi sikia Father damian km aliwahi kukaa magamba..

hao Magamba boys,walikuwa wanakuja kusali tu kila jumapili hapo MZJ...

Nimejaribu kuwauliza ex-MZJ pia,wanasema hawajawahi sikia jambo hili...
 
Ni miaka mingi kidogo tangu Father Damian alipokuwa Magamba tangu Kifungilo ni primary school
 
Dear Pakawa, It was interesting to read your questionings about me and Sister Msaki.

Actually I taught at Magamba boys from 1981 to 1988.Before that I taught at Nsumba in Mwanza from 1974 to 1981. I arrived in Tanganyika in 1960 and lived in the South(Lindi) building Namupa Seminary teaching at LIndi, Ndanda etc until I went to Mwanza.

Am still at Mazinde Juu, and Kongei building and being manager. We also have an english medium primary school at Mabughai. Sister Eveta is now the headmistress (class of 91). Sister Msaki is now Headmistress at Joyland Secondary in Same.

I am presently in the US for some eye and ear medical care but will return to Tanzania the beginning of June. I have written a book about some of my experiences in Tanzania, soon to be published.

I greatly miss all of my My Mazinde Juu Girls. God Bless and be good.

Father Damian
 
hizi picha zimenikumbusha mbali kweli,i used kuwa mpiga drum na hii ilikuwa kukimbia inspection..basi wapiga drumz wote tulikuwa tunajiita 'fujo'memberz..dah!
 


angalia vibinti Innocent kabisa,Mungu awalinde, vikifika mlimani au vikikua wengi mawazo yao yanabadilika na kuwaza haya

Miss+Tanzania+UK+Reharsels+108.JPG


tena wanakuwa wakali ukiwauliza jamani vipi, 'tunaenda' na wakati, tunataka kuiga,

HIYO PICHA YA kwanza kila mmoja atakubali it is real superb, ya pili tunajiuma uma na kusema tunaenda na wakati! nani katika hao hapo juu ni wife material? mapaja na hayo maungo mengine ni kwa ajili ya mume was never meant for public! was meant for private

Tuwaombee hao ma-binti

ha ha ha, mabadiliko ya kimwili hayo wakuu - hapo omba mungu tu mwanao asikuvalie nusu ya mwili nje -

kazi tunayo wazazi, mbaya zadi utangulize 3 wa kike then wawe kama hao picha ya chini - wao watakwambia Dad, were goint with time we wa zamani - things have changed dadiiii......
 
S0233 ST. MARY'S MAZINDE JUU SEC. SCHOOL: CSEE2009
DIV-I = 26 DIV-II = 10 DIV-III = 6 DIV-IV = 0 FLD = 0


S0224 KIFUNGILO GIRLS SECONDARY SCHOO:CSEE2009
DIV-I = 46 DIV-II = 27 DIV-III = 15 DIV-IV = 4 FLD = 0

Linganisha mkubwa percentage wise!
<table align="CENTER" bgcolor="LIGHTYELLOW" border="1" cellspacing="2" width="750"> <tbody><tr><td valign="MIDDLE" width="6%">
</td></tr></tbody></table>

kiasilimia Mazinde wako juu sana mkuu
MAZINDE KIFUNGILO
Div 1 = 61.9% Div 1 = 50.5%
Div 2 = 23.8% Div 2 = 29.3%
Div 3 = 14.2 Div 3 = 16.3%
Div 4 = 4.3%
 
Shule ina mandhari maridhawa sana, kama mtoto ana kichwa safi akipata admission tu hapo ni Divisheni II guaranteed, then anakomaa kidogo kuipeleka kwenye Divisheni I
 
nimekumbuka nilipokuwa st. mary's queen of the apostles... sengerema seminary

dah... niliingia pale nikiwa na wito kama tani 60.......lakini leo haujai hata kifuniko cha karamu.....

multi vo calte pauce electe........waitwao ni wengi wateule ni wachache.
 
Back
Top Bottom