simon41
Member
- Apr 25, 2009
- 99
- 54
Ni miezi nane toka wanafunzi wa chuo cha St.Joseph wamalize mwaka wa nne lakini mpaka leo hawafanyiwa graduation kwa kisingizio kwamba wanamtaka waziri mkuu Pinda au Jk ndio awe mgeni rasmi na kwa taarifa za ndani zinasema kuwa Pinda amewajibu kuwa atakuwa na nafasi mwezi wa tisa na Jk akawaambia kuwa nafasi atapata nafasi mwakani. Besides that bado kuna baadhi ya wanafunzi hawajapewa nafasi ya kufanya final presentation ya project zao za mwisho kwa sababu wanadaiwa ada na michango mbalimbali. Halafu ni chuo kilicho kuja na kusajiliwa kwa mgongo wa dini.
Mtazamo wangu.
Huu ni ukandamizaji mkubwa kwa sababu mtu atatafutaje kazi muhimu bila kuwa na cheti baadhi ya makampuni hawataki transcripts.Na ina maana hakuna watu wanaoweza kuwa wageni rasmi mpaka hawa politicians,ni uonezi wa hali ya juu.
Mtazamo wangu.
Huu ni ukandamizaji mkubwa kwa sababu mtu atatafutaje kazi muhimu bila kuwa na cheti baadhi ya makampuni hawataki transcripts.Na ina maana hakuna watu wanaoweza kuwa wageni rasmi mpaka hawa politicians,ni uonezi wa hali ya juu.